thesuperman
Member
- Nov 6, 2016
- 5
- 1
Ni maeneo gani hayo ? Kidevuni au ni pengine?
Jibu tafadhari ili niweze kukusaidia.
Jibu tafadhari ili niweze kukusaidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kisogoni mkuu.....huo mkunjo ni nyama za shingo tuu...[emoji47] [emoji47]Ni maeneo gani hayo ? Kidevuni au ni pengine?
Jibu tafadhari ili niweze kukusaidia.
ok..[emoji47] [emoji47] ...!!...but my wallet ni soo romantic....kabisa..[emoji1] [emoji1] ...!!..u'r w'll come.......kisogo chako sio romantic kabisa
ni kisogoni mkuu.....huo mkunjo ni nyama za shingo tuu...[emoji47] [emoji47]
Mhmm,Miaka 6 ni mingi sana. Kwa misingi hiyo utakuwa umejaribu kuonanan na madaktari wakakushauri na kukuandikia dawa za msingi. Hivo ningekushauri pia ujaribu kutuelezea vizuri dawa ambazo umewahi kutumia pia kuna na viupele vya aina nyingi,ni vema ukapiviga Picha ili iwe vema kugundua ni ugonjwa UPI. Otherwise fika kwa daktari for physical observation of our problem. Pole mkuu.
Mkuu unakumbuka jina la hilo dawa..Wako watu wengi wenye ilo tatzo me nafanya biashara za saloon kunyoa nmeshaona watu kama wa4 wenye ilo tatzo wameshakubaliana nalo ilo tatzo ebu jaribu kutafta kidude flani ivi kiko kama magadi vinauzwa kwenye maduka ya wahindi ukimaliza kunyoa unajipaka
MorningHellow,
Nasumbuliwa na vipele vidogo vidogo chini ya kisogo zaidi ya miaka 6,
Nimejaribu dawa mbalimbali lakin hazija saidia, naomba msaada wa tiba kwa mwenye uhakika jinsi ya kutibu hili,
Kwan naamin bado kuna tiba ila mdo bado cjaipata bado,
Karibun
Hizo dawa unachanganya au unatumia kila dawa kwa wakat wake.Morning
Pole sana nimekuwa na huo ugonjwa for more than 10 years
Nilitumia dawa hadi za kienyeji kuna dawa iko arusha inaitwa kibiriti upele but hapakuna na nafuu
Nimepata dawa yake
Kutoka kwa dr bingwa wa ngozi yupo mwanza
Bofore
![]()
After 3 weeks
![]()
Current
![]()
Tiba yake
Utatumia dawa aina mbili pekee
1.Mupirocin ointment
2.pyodine solution![]()
Matumizi
Tumia asubuh na jion
Kila siku
Then leta feedback
Hope nimeeleza vizur (HAPPY ESTER)
Pole sana ila nifahamuvyo mimi ni kuwa watu wengi ambao ni overweight ndo wanakuwa na hiyo kitu, jaribu kufanya mazoezi ambayo ni serious excersise na pia jaribu kubadili diet yako, kuƙa mbogamboga zaidi na nyama yoyote ila isizidi robo kilo, pia kunywa juice ya matango iliyochanganywa na kitunguu swaumu, kitunguu maji, giligilani, celery, limao na nazi robo kutwa mara 2kwa muda wa mwezi utaona mabadilikoHellow,
Nasumbuliwa na vipele vidogo vidogo chini ya kisogo zaidi ya miaka 6,
Nimejaribu dawa mbalimbali lakin hazija saidia, naomba msaada wa tiba kwa mwenye uhakika jinsi ya kutibu hili,
Kwan naamin bado kuna tiba ila mdo bado cjaipata bado,
Karibun
Zote unatumia pamojaHizo dawa unachanganya au unatumia kila dawa kwa wakat wake.
Wako watu wengi wenye ilo tatzo me nafanya biashara za saloon kunyoa nmeshaona watu kama wa4 wenye ilo tatzo wameshakubaliana nalo ilo tatzo ebu jaribu kutafta kidude flani ivi kiko kama magadi vinauzwa kwenye maduka ya wahindi ukimaliza kunyoa unajipaka
Linakuwa jeupe hivi, jina hata mimi silifahamuMkuu unakumbuka jina la hilo dawa..
Mkuu ata underweight wanavyo.. Mm nmegundua chanzo ni saloon.. Mana nikinyoaga ndo hutokea.. But nikikaa mda mrefu bila kunyoa vinapotea.. Pia tumia betacort-N na sonaderm uwe una altenate..na kupunguza kunyoa nyoa nywele baada ya mwez mmoja utaleta mrejeshoPole sana ila nifahamuvyo mimi ni kuwa watu wengi ambao ni overweight ndo wanakuwa na hiyo kitu, jaribu kufanya mazoezi ambayo ni serious excersise na pia jaribu kubadili diet yako, kuƙa mbogamboga zaidi na nyama yoyote ila isizidi robo kilo, pia kunywa juice ya matango iliyochanganywa na kitunguu swaumu, kitunguu maji, giligilani, celery, limao na nazi robo kutwa mara 2kwa muda wa mwezi utaona mabadiliko