Difo
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 111
- 170
Linakuwa jeupe hivi, jina hata mimi silifahamu
Hilo jiwe as shown
Nimetumia pia bila matumain
Kwa ndevu linasaidia
But kwa huo upele hapo juu no home
Natoa hili kama mgonjwa na sio dr
Huo upele inatesa hasa kipondi cha joto ni balaaa
Please lets opt dawa nilizotoa hapo juu
Zimenisaidia kwa muda mfupi sana
Ikumbukwe miaka 10+ sikupata nafuu