Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini wasitumie kitabu chao peke yake kuwaingiza watu kwenye dini yao?Kwa nini watumie vitabu vya dini nyingine?Kwa nini wasiwe kama walokole wanaomtangaza Yesu na kuvuta waumini bila kuchambua Quran.Au ndo tuseme Quran haijiuzi?Ile ni miadhara kama una utetezi kuhusu dini yako nenda pale mkapeane vifungu kutoka uko uko kwenye dini yako
Kwa nini msiishike Quran na kuinadi mpate waumini wengi?Kama wewe unaogopa sawa ila sisi tunaishika bible yenu na kuichambua yote kifungu kwa kifungu
Hawezi kukupa majibuKwa nini msiishike Quran na kuinadi mpate waumini wengi?
Sio kweli,waislamu wanafuatilia dini yao.Ndio maana kukawa na madrasa kiarabu(shule kwa kiswahili,school kwa English,na sule kijerumani).Labda mtu ajiite muismu,awe hakupitia madrasa(shule),ndio haujui uislamu.Nasikitika kwa padre wa White Fathers kutekwa nchini Nigeria. Lakini, we must not take it personally. Kule Nigeria utekaji nyara watu ni national pastime. Ni hobby.
Lakini Mwislamu anaonyesha kukosa imani na dini na kwa hiyo haifuati.
Always lazima utofautishe kati ya Mwislamu na dini ya Kiislamu. Haya maadili yote utayaona katika Vitabu vyao,lakini hawayafuati.
Sasa,nimeandika haya mambo, sijui jambo litatokea. Labda nitasomewa Al Badiri.
Of course, hata mtu akiwa Mkristu, au dini nyingine, usidhani kwamba anafuata maagizo yote ya dini yake. Lakini tatizo hili kwa Waislamu linajitokeza sana.
Uislamu unaieleza dini kwa ufasaha, so much so that Wakristu ambao hawana Brain
Power, wanaipendelea dini ya Kiislamu .
Lakini Waislamu hawaifuati dini yao,kwa kukosa Imani na dini yao.
Huyu katekwa na watu wa karibu yake.Mtu wa mbali hawezi kujua watakupata vipi.Kama alitekwa si akaokolewe na Mungu wake.
Malaika si wapo waende kumuokoa
Dini ya mudi nani alikwambia ni nzuri?
Umetumia vigezo vipi kufikia suluhisho?
umesema sahihi....Wako waislamu wenye dini na walioshika bila vurugu uko muscat...Tz wapo...Congo wakina kisedee wapo...upande wa pili nako ni hivo hivo...na kila sehemu kuna wahuni wake
Sio kweli.Madrasa ni kiarabu,kiswahili ni shule.Vipi sasa shule kuwe na shida.Huyu katekwa na watu wa karibu yake,mtu wa mbali hawezi kujua habari zako akuteke.Kwanza Nigeria hakuko salama,kuna makundi mengi ya uhalifu,vipi mtu apelekwe kusoma huko.Ni sawa kumpeleka mwanafunzi akasome Sudan,wakati huu,ambapo hao wanafunzi wa huko wametawanywa duniani kumalizia masomo yao.Au upelekwe Urusi au Ukraine ukasome,sehemu hatarishi.Usalama kwanza.shida inaanzia madrasa
Sio kweli.Wakulaumiwa ni hao waliompeleka huyu aliyetekws huko Nigeria.Kule kuna makundi mengi ya uhalifu.Ni sawa hivi sasa umpeleke mwanafunzi Sudan,Urusi au Ukraine,unategemea nini?Usalama kwanza,mengine baadaye.Mafundisho yao yanawakataza kuchanganyika na jamii nyingine hasa wakristo na wayahudi ndio adui zao namba moja ukiondoa shetani,sasa mafundisho kama haya kwa dunia ya sasa yana maana gani kama sio kuzalisha jamii yenye utengano na chuki kwa wengine.
Yesu pia kavyaa kubadhi(sio Kobazi kiswahili unakiarabu!)Kwanini unapenda kuwachokoza kobazi wakati unajua wana hasira za karibu
Biblia haina watu maalumu.Imeandikwa Habari njema kwa watu wote.Huwa nawashanga Sana wanavyo jikita kuisoma bibilia wkt cc Wala hata kushika quruan hatutaki ,Ni Kam umeshika uchawi
Sio kweli.Ni hisia zako tu. kulikuwa na msichana wa kikristo kwao ni Rwanda,nilimkuta stend ya bus,ataka arudi kwao,tukampa chakula,pakulala,na hela ya nauli,na ya kutumia njiani,na kuna mama wa kiarabu akamchukuwa ili awahi mabasi ya alfajiri,arudi kwao.Waliomchangia ni waislamu watupu.Alisema aliletwa na jirani zao,huko Rwanda,akamkimbia,wakati yeye ni wa miaka 18 tu.Na wapo wengi,sio waislamu,wamechangiwa wakiwa na matatizo.Mafundisho yao yamejaa chuki dhidi ya Dini nyingine
Biblia haina mtu maalumu.Kile kitabu kimeandikwa Habari njema kwa wote.Uislamu ni dini yenye misingi dhaifu,hivyo hishikilia dini zenye misingi imara ili wapate hoja za kujisemea,
Acha kudanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji.Qur'an ukuanza kuisoma,unamlani shetani,na aya nyingi zimo ndani ya Qur'an zinamlani shetani.Ukiritadi ndugu zako wanakuua
Adui mkubwa wa muislamu ni mtu wa dini nyingine
Kuuwa watu wa dini nyingine ni sawa tu
Kwenye hiyo dini hakuna Mungu
Kuna shetani na ushetani wenyewe.
Mafundisho yao yanawakataza kuchanganyika na jamii nyingine hasa wakristo na wayahudi ndio adui zao namba moja ukiondoa shetani,sasa mafundisho kama haya kwa dunia ya sasa yana maana gani kama sio kuzalisha jamii yenye utengano na chuki kwa wengine.
Biblia haina watu maalumu.Kimeandikwa Habari Njema kwa Watu wote.Kwa nini wasitumie kitabu chao peke yake kuwaingiza watu kwenye dini yao?Kwa nini watumie vitabu vya dini nyingine?Kwa nini wasiwe kama walokole wanaomtangaza Yesu na kuvuta waumini bila kuchambua Quran.Au ndo tuseme Quran haijiuzi?