Mada ya kijinga haina kichwa wala miguu hata mtoto Wa darasa la saba atarajiae kufanya mtihani mwezi Wa 9 hawezi kuja na upupu kama huu..ila kwa sababu inawasagia kunguni waislam basi na wachangiaji imepata wa kutosha tu
Kwani nyie mafundisho yenu mnayafuata kama ulivyokuja na ujinga wako hapa???
Nguruwe si mnakula nyie?? Na kuanza kuleta pointi dhaifu eti najisi ni kitokacho si kiingiacho kwahiyo hata nyama ya mtu ni luksa pia maana ni kiingiacho, kula nyoka ni sawa kadhalika mbwa according to this weak point, agano la kale mmewachia wasabato nyie mnalitumia kwenye vifungu pendwa vinavyowafurahisha tu kama vile malaki 3, 10..kutoa fungu la kumi na kula walawi kwenye Malawi siyo??
Mafundisho yenu yanasema litoe goliti kabla ya kuona kibanzi kwa mwenzio haya mbona unayavunja na kuja kuwasema waislam??
Kuna uislam na waislam, njoo na ponti za Ku argue uislam sio kuwa ng'ong'a waislam maana kila binadamu ni mwenye kukosea upo????
Na utapenyeza sana uislam na rate ya watu kuslim lazima iwe kubwa maradufu maana huko kuna vitu mnafanya mtu kwenye akili yake anaona mmmh hapa si kweli mfano tafuta wale wanaoungamanaga kwa viongozi wao wa dini tafuta age inayo range 25-50 watafute 1000 waulize Mara ya mwisho wamefanya hivyo lini utawapata 10 tena wamefanya mwaka Jana maana ukishakuwa mtu mzima kuna vitu huwezi shikiwa akili
Uislam lazima upate much followers koz ndio dini ipo realistic, logically na inafit kila zama, huwezi nikand niswali msikiti flani, naswali inaoonikuta swala, huwezi nikomand nikienda mkoani nikajitambulishe kwa jumba flani la ibada eti ooh ooh so nitakuwa nanyi kwa miezi mitatu, mke wangu asilimia 99 ibada zake atamalizia nyumbani hivyo keshastirika tayari na fitna, natoa nilicho nacho tena kwaajili ya mwenyezi mungu huwezi nikafilisha michango out of my will, binadamu wote
Tufanye kazi tuache majungu haya
Sent from my TECNO KB7j using
JamiiForums mobile app