Tatizo la Waislamu ni kwamba dini yao ni nzuri lakini hawaifuati

Tatizo la Waislamu ni kwamba dini yao ni nzuri lakini hawaifuati

Koran
5;51. Enyi mlio amini!(waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....

Asante.

Ila kila mtu anahitaji kufahamu lugha ya kiarabu kidogo ili aweze kuielewa Quran. At least uweze kutumia tu kamusi au Google translator...

Kiswahili kina upungufu wa maneno ya kuitafsiri lugha ya kiarabu. Hivyo wanaoandika tafsiri hawawezi kuwasilisha maana halisi, you need an original text. Ila nitajitahidi kurahisisisha hapa:

Rafiki ni
صَدِيق، صَاحِب، رَفِيق، خَلِيل، نَصِير، مُعَاشِر، خدين، جَليس au

Aya ulizo nukuu zinataja أَوْلياء neno linalomaanisha watunza siri, au wandani, au walinzi (guardians), au wasimamizi wa mambo (patron), au watu wanaotegemewa (supporters).

یَـٰۤأَیُّهَا ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوۤا۟ ءَابَاۤءَكُمۡ وَإِخۡوَ ٰ⁠نَكُمۡ أَوۡلِیَاۤءَ إِنِ ٱسۡتَحَبُّوا۟ ٱلۡكُفۡرَ عَلَى ٱلۡإِیمَـٰنِۚ وَمَن یَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَأُو۟لَـٰۤىِٕكَ هُمُ ٱلظَّـٰلِمُونَ
[Surah At-Tawbah: 23]


یَـٰۤأَیُّهَا ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ ٱلۡیَهُودَ وَٱلنَّصَـٰرَىٰۤ أَوۡلِیَاۤءَۘ بَعۡضُهُمۡ أَوۡلِیَاۤءُ بَعۡضࣲۚ وَمَن یَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَإِنَّهُۥ مِنۡهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا یَهۡدِی ٱلۡقَوۡمَ ٱلظَّـٰلِمِینَ
[Surah Al-Māʾidah: 51]

Sehemu nyengine wameitwa بِطانَة

یَـٰۤأَیُّهَا ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ بِطَانَةࣰ مِّن دُونِكُمۡ لَا یَأۡلُونَكُمۡ خَبَالࣰا وَدُّوا۟ مَا عَنِتُّمۡ قَدۡ بَدَتِ ٱلۡبَغۡضَاۤءُ مِنۡ أَفۡوَ ٰ⁠هِهِمۡ وَمَا تُخۡفِی صُدُورُهُمۡ أَكۡبَرُۚ قَدۡ بَیَّنَّا لَكُمُ ٱلۡـَٔایَـٰتِۖ إِن كُنتُمۡ تَعۡقِلُونَ
[3: 118]
Enyi mlio amini! Msiwafanye wasiri wenu watu wasio kuwa katika nyinyi. Hawataacha kukufanyieni ubaya. Wanayapenda yanayo kudhuruni. Imekwishakuwa wazi chuki yao katika midomo yao. Na yanayo fichwa vifuani mwao ni makubwa zaidi. Tumekubainishieni ishara ikiwa nyinyi mutazingatia.

Hizi zinakataza kutoa siri za waislamu kuzipeleka kwa wasiokua waislamu hata kama ni watu wa karibu, hazikatazi urafiki.

Ukitaka kuelewa zaidi angalia pia aya hizi:
لَّا یَنۡهَىٰكُمُ ٱللَّهُ عَنِ ٱلَّذِینَ لَمۡ یُقَـٰتِلُوكُمۡ فِی ٱلدِّینِ وَلَمۡ یُخۡرِجُوكُم مِّن دِیَـٰرِكُمۡ أَن تَبَرُّوهُمۡ وَتُقۡسِطُوۤا۟ إِلَیۡهِمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ یُحِبُّ ٱلۡمُقۡسِطِینَ (8) إِنَّمَا یَنۡهَىٰكُمُ ٱللَّهُ عَنِ ٱلَّذِینَ قَـٰتَلُوكُمۡ فِی ٱلدِّینِ وَأَخۡرَجُوكُم مِّن دِیَـٰرِكُمۡ وَظَـٰهَرُوا۟ عَلَىٰۤ إِخۡرَاجِكُمۡ أَن تَوَلَّوۡهُمۡۚ وَمَن یَتَوَلَّهُمۡ فَأُو۟لَـٰۤىِٕكَ هُمُ ٱلظَّـٰلِمُونَ (9)
[Surah Al-Mumtaḥanah: 8-9]

Allah hakukatazeni kwa wale ambao hawakupigeni vita kwa ajili ya dini, wala hawajakufukuzeni katika miji yenu, kuwafanyia wema na uadilifu. Hakika Allah anapenda uadilifu. Isipokua Allah anakukatazeni kuwafanya WANDANI wenu wale ambao wanakupigeni vita kwa ajili ya dini, au wanawasaidia wengine kukutoeni katika miji yenu. Na yeyote atakae wafanya hao kuwa wandani wake, basi hao ndio madhalimu.

Kwa hivyo, uislamu haukatazi rafiki mkristo wala myahudi, ila unakataza kuvujisha siri na mipango. Na hilo ni uhaini na usaliti katika jamii au taasisi yoyote ile, uislamu sio exception. [60:8-9].
 
Asante.

Ila kila mtu anahitaji kufahamu lugha ya kiarabu kidogo ili aweze kuielewa Quran. At least uweze kutumia tu kamusi au Google translator...

Kiswahili kina upungufu wa maneno ya kuitafsiri lugha ya kiarabu. Hivyo wanaoandika tafsiri hawawezi kuwasilisha maana halisi, you need an original text. Ila nitajitahidi kurahisisisha hapa:

Rafiki ni
صَدِيق، صَاحِب، رَفِيق، خَلِيل، نَصِير، مُعَاشِر، خدين، جَليس au

Aya ulizo nukuu zinataja أَوْلياء neno linalomaanisha watunza siri, au wandani, au walinzi (guardians), au wasimamizi wa mambo (patron), au watu wanaotegemewa (supporters).

یَـٰۤأَیُّهَا ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوۤا۟ ءَابَاۤءَكُمۡ وَإِخۡوَ ٰ⁠نَكُمۡ أَوۡلِیَاۤءَ إِنِ ٱسۡتَحَبُّوا۟ ٱلۡكُفۡرَ عَلَى ٱلۡإِیمَـٰنِۚ وَمَن یَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَأُو۟لَـٰۤىِٕكَ هُمُ ٱلظَّـٰلِمُونَ
[Surah At-Tawbah: 23]


یَـٰۤأَیُّهَا ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ ٱلۡیَهُودَ وَٱلنَّصَـٰرَىٰۤ أَوۡلِیَاۤءَۘ بَعۡضُهُمۡ أَوۡلِیَاۤءُ بَعۡضࣲۚ وَمَن یَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَإِنَّهُۥ مِنۡهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا یَهۡدِی ٱلۡقَوۡمَ ٱلظَّـٰلِمِینَ
[Surah Al-Māʾidah: 51]

Sehemu nyengine wameitwa بِطانَة

یَـٰۤأَیُّهَا ٱلَّذِینَ ءَامَنُوا۟ لَا تَتَّخِذُوا۟ بِطَانَةࣰ مِّن دُونِكُمۡ لَا یَأۡلُونَكُمۡ خَبَالࣰا وَدُّوا۟ مَا عَنِتُّمۡ قَدۡ بَدَتِ ٱلۡبَغۡضَاۤءُ مِنۡ أَفۡوَ ٰ⁠هِهِمۡ وَمَا تُخۡفِی صُدُورُهُمۡ أَكۡبَرُۚ قَدۡ بَیَّنَّا لَكُمُ ٱلۡـَٔایَـٰتِۖ إِن كُنتُمۡ تَعۡقِلُونَ
[3: 118]
Enyi mlio amini! Msiwafanye wasiri wenu watu wasio kuwa katika nyinyi. Hawataacha kukufanyieni ubaya. Wanayapenda yanayo kudhuruni. Imekwishakuwa wazi chuki yao katika midomo yao. Na yanayo fichwa vifuani mwao ni makubwa zaidi. Tumekubainishieni ishara ikiwa nyinyi mutazingatia.

Hizi zinakataza kutoa siri za waislamu kuzipeleka kwa wasiokua waislamu hata kama ni watu wa karibu, hazikatazi urafiki.

Ukitaka kuelewa zaidi angalia pia aya hizi:
لَّا یَنۡهَىٰكُمُ ٱللَّهُ عَنِ ٱلَّذِینَ لَمۡ یُقَـٰتِلُوكُمۡ فِی ٱلدِّینِ وَلَمۡ یُخۡرِجُوكُم مِّن دِیَـٰرِكُمۡ أَن تَبَرُّوهُمۡ وَتُقۡسِطُوۤا۟ إِلَیۡهِمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ یُحِبُّ ٱلۡمُقۡسِطِینَ (8) إِنَّمَا یَنۡهَىٰكُمُ ٱللَّهُ عَنِ ٱلَّذِینَ قَـٰتَلُوكُمۡ فِی ٱلدِّینِ وَأَخۡرَجُوكُم مِّن دِیَـٰرِكُمۡ وَظَـٰهَرُوا۟ عَلَىٰۤ إِخۡرَاجِكُمۡ أَن تَوَلَّوۡهُمۡۚ وَمَن یَتَوَلَّهُمۡ فَأُو۟لَـٰۤىِٕكَ هُمُ ٱلظَّـٰلِمُونَ (9)
[Surah Al-Mumtaḥanah: 8-9]

Allah hakukatazeni kwa wale ambao hawakupigeni vita kwa ajili ya dini, wala hawajakufukuzeni katika miji yenu, kuwafanyia wema na uadilifu. Hakika Allah anapenda uadilifu. Isipokua Allah anakukatazeni kuwafanya WANDANI wenu wale ambao wanakupigeni vita kwa ajili ya dini, au wanawasaidia wengine kukutoeni katika miji yenu. Na yeyote atakae wafanya hao kuwa wandani wake, basi hao ndio madhalimu.

Kwa hivyo, uislamu haukatazi rafiki mkristo wala myahudi, ila unakataza kuvujisha siri na mipango. Na hilo ni uhaini na usaliti katika jamii au taasisi yoyote ile, uislamu sio exception. [60:8-9].
NImemaliza kazi , silaha ya mwisho ya muislamu ni lugha
 
Kwa hiyo mkristo hatakiwi kabisa kuishi kwa mjibu wa quruani,dini zingine bana ,ni za ajabu ajabu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Allah anamchukia mkristo na myahudi kuliko maelezo ,

Walimpa tabu Sana alivyokuwa anaanzisha dini yake
 
Hizo Pombe zinawekwa eostrogeni homoni ya kike mwisho wa siku wanywa pombe wengi mnaota vitambi,matiti ,ukosefu wa nguvu za kiume na baya zaidi wengine mnakua gays kabisa.


Kunywa Pombe sio sifa .
Sasa mbona Allah ame ahidi mito ya pombe peponi?
 
Zamani kulikuwa na watu wanaitwa Mafarisayo. Watu washika dini lakini wenye giza totoro ndani ya mioyo yao .
Mafarisayo ni watu wenye SAUTI za upole, watulivu wawapo kwenye hadhara lakini moyoni hawana Mungu.
Mimi ni Mkristo, pentecostal.
Origin yangu ni uislamu. Nimekulia katika familia ya Kiislamu haswa, sio uislamu wa kukataa kitimoto tu , no, uislamu haswa. Baba yangu mpaka sasa ni kiongozi wa dini au tuite sheikh wa kata na bro wangu ni sheikh wa wilaya na kaimu sheikh wa mkoa.
Muislamu yuko radhi azini siku zote lakini si kipindi cha Ramadhani. Huu ni unafiki , kama zinaa ni dhambi yapaswa kuwa dhambi siku zote.
Waislamu wengi wanafunga kinafiki ili jamii iwaone wamefunga huku maagizo ya msingi ya funga wakiyatupilia mbali.
Kila mmoja ni shahidi, Zanzibar ukila mchana mbele za watu Mafarisayo lazima wakupige.
Hivi mtu aliye serious na mambo ya rohoni anaweza kukwazika mtu mwingine kula chakula chake halali?
Mafarisayo wa Zanzibar ukipika chakula ndani mwako hakikisha hata harufu ya kitunguu isitoke nje.
Kuhusu uchawi na ushirika kila mtu anajua waganga wengi ni ma sheikh na ma ustadhi.
Almost ma sheikh na maustadhi ni waganga aidha kwa Siri au kwa wazi.
Hii dini ndio inaongoza kwa waumini wenye roho mbaya, uchawi na fitina. Ndio maana mikoa yenye waislamu maendeleo yanapatikana kwa shida kwasababu ya uchawi.
 
Zamani kulikuwa na watu wanaitwa Mafarisayo. Watu washika dini lakini wenye giza tororo ndani ya mioyo yao .
Mimi ni Mkristo, pentecostal.
Origin yangu ni uislamu. Nimekulia katika familia ya Kiislamu haswa, sio uislamu wa kukataa kitimoto tu , no, uislamu haswa. Baba yangu mpaka sasa ni kiongozi wa dini au tuite sheikh wa kata na bro wangu ni sheikh wa wilaya na kaimu sheikh wa mkoa.
Muislamu yuko radhi azini siku zote lakini si kipindi cha Ramadhani. Huu ni unafiki , kama zinaa ni dhambi yapaswa kuwa dhambi siku zote.
Waislamu wengi wanafunga kinafiki ili jamii iwaone wamegunga huku maagizo ya msingi ya funga wakiyatupilia mbali.
Kuhusu uchawi na ushirika kila mtu anajua waganga wengi ni ma sheikh na ma ustadhi.
Almost ma sheikh na maustadhi ni waganga aidha kwa Siri au kwa wazi.
Hii dini ndio inaongoza kwa waumini wenye roho mbaya, uchawi na fitina. Ndio maana mikoa yenye waislamu maendeleo yanapatikana kwa shida kwasababu ya uchawi.
Kama tunaiona michambo ya Mademu tulio pitiaga!!

Na sisi tulivyo wanyonge tabia ya kuwajibu hatunaaaga...

Taaalalalalaaaaaaaa😎
 
Back
Top Bottom