Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
yawezekana alikauaoapoa wewe nini? mbona umekimbilia huko?
Hapana boss wangu, huwa kabla ya kusoma thread napenda kuperuzi history ya muanzisha mada ili ninachochangia kiandane na hali halisi . . . .
Niaje Teacher? Mgomo umekwisha kwa Mkwala wa JK na Mahakama au Mkoba kawauza?