Tatizo la Wanawake Kupata Maumivu Wakati na Baada ya Kujamiiana: Fahamu Sababu na Suluhisho la Tatizo

Tatizo la Wanawake Kupata Maumivu Wakati na Baada ya Kujamiiana: Fahamu Sababu na Suluhisho la Tatizo

Hallow buddies ningependa kupata solution ya hili tatizo,kila nifanyapo sex na mtu wangu hulalamika anapata maumivu
chini ya kitovu..nimetumia nafasi hii kuleta mada hapa jamvini niweze pata pakuanzia ikiwa ntahitaji kumuona dakitari.

Kwavile tupo hapa kwa lengo la kusaidiana wacha tusaidiane.

Je, unazijua dalili za mwanamke aliyefikishwa kileleni (Climax/Orgasm).

Kama jibu ni ndiyo:-

Je, unaposex na huyo mwenzio huwa unamfikisha kileleni (Climax/Orgasm)?
Kama haumfikishi basi jitahidi kufanya hivyo kwani ni tiba tosha. Lakini pia kutofika kileleni kwa mwanamke ni sababu ya kupata kwa Lower Abdominal pain.
Na kama hizo dalili huzijui utarudi tena hapa.

Ahsante.
 
Jamani nakufa polepole.

Nina tatizo la kuumwa sana na tumbo baada ya kutoka kwenye "mchaka mchaka" wa kujenga Taifa.

Na huwa ni mpenzi wa "mbio ndefu" na "mbio fupi". Nilienda kwa daktari nikashauriwa nijaribu kuchambia maji moto, ila akawa kama kaniongezea spidi ya "mchaka mchaka".

Naomba nishaurini.
Nini itakuwa tatizo?

NB: Mwenzi wangu hana mashine kubwa wala ndefu.
 
Hemb ni PM tuache masihara if u r serious!!unapataga post-coital bleeding?(Damu inatoka pia)?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hemb ni PM tuache masihara if u r serious!!unapataga post-coital bleeding?(Damu inatoka pia)??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

mwekundu, Damu haitoki bali nahisi kama ganzi fulani kisha tumbo huuma sana.
Na hali hiyo hudumu kwa siku nzima.
 
Last edited by a moderator:
Nenda kafanye Obstetrics Ultrasound. sidhani km umefanya vipimo vyote like u say. Btw, do u sit on it? ashakhum si matusi. (some positions are dreadful). in medical field we call a spade a spade, haturembi lugha.
 
mwekundu, damu haitoki bali nahisi kama ganzi fulani kisha tumbo huuma sana. Na hali hiyo hudumu kwa siku nzima.
Pima pelvic ultrasound,urine microscopy na HVS hapo lazima mzizi wa fitina utakatika tu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Jipe rikizo kama mwezi mzima bila kufanya then resume uone kama hali itabadilikamaana bwana vitu vingine vinahitaji kuliwa kwa nafasi
 
Mbio ndefu au fupi badilisheni, tumieni Cunningulus kwani akiingia chumvini utapona tu, awe mtundu kwa kila dizain au mtakua mmechokana kila akijisikia ni mtalimbo na shimo, SHIMO NA MTALIMBO hapo maumivu ni lazima,
huyo aingie uvunguni acheki oil ya Diffu
 
Nenda kafanye Obstetrics Ultrasound. sidhani km umefanya vipimo vyote like u say.
btw, do u sit on it? ashakhum si matusi. (some positions are dreadful). In medical field we call a spade a spade, haturembi lugha.

My dear, mie huwa ni mtu wa kujaribu jaribu ila sidhani kama hilo laweza kuwa tatizo mkuu Kimamu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom