BAK, nimepitia Hosp kama tatu, huko nimeishia pewa dawa lakini tatizo bado halikomi. Na tena safari hii ndio kasi imezidi. Asante sana kwa ushauri labda nitafute tiba zaidi.
King'asti ukweli ni kuwa mie si mtu wa mazoezi kiviile.
Na maumivu hayo huanzia kinenani mpaka ndani ya tumbo. Na huwa nikijaribu kuingiza kidole, hukuta uke umevimba si kawaida na maumivu ya tumbo makali.
Mhhhh!!! labda style nyingine ni za kuziepuka 🙂🙂🙂 fuatilia hili kwa karibu wakati huo huo ukiendelea kwa kifo cha mende tu 🙂🙂 na labda unaweza kugundua ni ipi ambayo hukuletea hii dhahama.
Unajua BAK kwa hili la style sikuliwazia kbs, najua labda urefu wa jamaa ndio huweza ibua matatizo mbalimbali, ila kuna baadhi ya style huwa situmii kbs kuogopa kutoboa kizazi....lol! 🙂🙂
Malafyale, labda nikurudishe nyuma kidogo, huwa nilikuja hapa Jf Dr baada ya tumbo kuuma sana, uke kuvimba na kuwasha sana kila nimalizapo kuingiliana nikiwa nimevaa mpira wa kiume. Wengi walishauri nibadilishe aina ya mpira ninaotumia.
Nilibadilisha lakini hali ikawa ni ileile tena kuzidi awali. Kuna member mmoja ni specialist wa magonjwa ya uke na kizazi nilimuona na alishauri nijaribu kuacha kutumia mpira nione itakuwaje pia alinipa na jelly ya kupaka ukeni.
Na kweli, kwani baada ya kuacha tatizo lilikata kabisa. Ila sasa nimepumzika mwaka mmoja na safari hii limerudi kwa kasi sana mpaka najishangaa. Nilijaribu kuanza kutumia mpira lakini wapi.
Btw ushauri wako nimeuzingatia. Nitajaribu tafuta hyo tube.
Uke kuvimba nadhani ni kawaida as long as baada ya muda unakuwa ok. Epuka kuingiza kidole huko ikulu, ndio inaleta maambukizi. Kama maumivu hayaongezeki ukipapasa na kuminya tumbo taratibu, inamaanisha kuna shida ndani. Huenda ukahitaji ultrasound ama hiyo culture nnayoongelea. Pole my dear, shemeji unaweza kumleta kwangu kwa muda nikutunzie ndoa, wasije wakamuiba mapapa ya mjini
Madame...kwa maelezo haya ni wazi utakuwa una infections,ima UTI,candida albicans au trichomoniasis vaginalis,nenda kafanye VDRL,ukikutwa na treponema pallidum itakuwa ni 7bu tosha ya wewe kupata maumivu wakati wa ku do au baada.
Jamani acheni utani hata mke wangu Ana hii tatizo,nimempeleka kwa wataalam lakini hawajagundua kitu,ultrasound kacheki wapi wanasema.hana tatizo kabisa,ila mwisho wa mechi atashinda anaumwa siku nzima,hebu tusaidieni jamani.
Mkuu, hilo ni kweli kabisa.
Mie mwenyewe nimecheki btw hakuna kitu.
Embu tuambie kidogo historia ya ugonjwa wako, je umekuanza tangu umeanza kushiriki tendo au kipindi cha hivi karibuni? Na vipi huwa linakuuma endapo utamwagiwa shahawa ndani ya uke au hata ukitumia kondomu? Naomba tuanzie hapo BTW pole sana na tatizo kuwa na imani kuw siku moja utapona
Madame ukipata dawa ni pm na mimi nimsaidie wife,maana siku hizi hata.game nacheza kwa kuvizia sana,
Asante nitonye.
Nitumie mpira au nisitumie, maumivu yako palepale. Zitolewe nje au ndani bado nitapata maumivu makali tu.
Japo mwanzo nilihisi mafuta mafuta yaliyopo kwenye mpira wa kiume yanachangia. Ila baada ya uchunguzi, nikagundua siyo.
Jaribu kumuona dokta ukapate kwanza vipimo huenda ukawa na maambukizi kwenye via vyako vya uzazi. Halafu jamaa kama ana ndude ndefu mwambie aingize nusu ili isiguze mlango