Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

Dr Restart endocrine disruptors hazihusiki hapa? maana naskia zinasababisha low sperm count kwa wanaume.....
Zinahusika.

Na siyo unasikia, bali zimethibitika rasmi kwamba zinasabisha siyo tu low sperm count lakini pia sperm quality.

Lakini, swali la muhimu ni je ni kwa kiwango gani? Jibu lake linategemeana na sababu kadhaa. Ikiwemo kiwango cha exposure cha kemikali husika na mambo mengine kama genetics. Ndiyo kusema, endocrine disruptors inasabisha low sperm count kwa kiwango kidogo sana.

Lifestyle ya mtu ikiwemo ulaji usiofaa, kutofanya mazoezi na magonjwa ya zinaa pamoja na kutobalance kwa hormones ndiyo sababu haswa za kiwango kidogo cha mbegu.
 
Zinahusika.

Na siyo unasikia, bali zimethibitika rasmi kwamba zinasabisha siyo tu low sperm count lakini pia sperm quality.

Lakini, swali la muhimu ni je ni kwa kiwango gani? Jibu lake linategemeana na sababu kadhaa. Ikiwemo kiwango cha exposure cha kemikali husika na mambo mengine kama genetics. Ndiyo kusema, endocrine disruptors inasabisha low sperm count kwa kiwango kidogo sana.

Lifestyle ya mtu ikiwemo ulaji usiofaa, kutofanya mazoezi na magonjwa ya zinaa ndiyo sababu haswa za kiwango kidogo cha mbegu.
Namaanisha yaani, zinahusika kwa wanawake kutoshika mimba?
 
Umalaya

Wanawake wamekuwa na mabwana na madanga wengi na wote anafanya nao ngono

Imagine manzi ana madanga 7 kwa mwezi atafanya ngono mara ngapi

Mwisho wa siku analazimika kutumia hizo mbinu za kuzuia mimba. Matokeo kushika mimba inakuwa changamoto

Amini mwanamke akiwa na mtu mmoja hahitaji hizo mambo maana kalenda tu na labda condom inatosha
Mkuu,
Kalenda na withdrawal ndio mpango mzima. Kondom ni heri nikalala zangu ndani.
 
M
Umalaya

Wanawake wamekuwa na mabwana na madanga wengi na wote anafanya nao ngono

Imagine manzi ana madanga 7 kwa mwezi atafanya ngono mara ngapi

Mwisho wa siku analazimika kutumia hizo mbinu za kuzuia mimba. Matokeo kushika mimba inakuwa changamoto

Amini mwanamke akiwa na mtu mmoja hahitaji hizo mambo maana kalenda tu na labda condom inatosha
Mkuu what are you talking about? watu wamekuwa wakilana all the time since Adam, istoshe Hawa ndio alitaka azagamuliwe, so Toka enzi hizo walikuwa wakiliwa vizuri tu ni vile hakukua na wasapu au gesti nyingi kama skuizi ila vichaka vina habari zao.
 
Namaanisha yaani, zinahusika kwa wanawake kutoshika mimba?
Sisi sote ni binadamu siyo?

Kemikali yeyote inayomuathiri mwanaume bila shaka itamuathiri mwanamke.

Lakini kwa muktadha wa afya ya uzazi, tunatofautiana juu ya athari zenyewe.

Ndiyo kusema, endocrine disruptors huwaathiri wanawake kwa namna yao. Kwa wanawake hubadili mzunguko wa hedhi, matatizo wakati wa ujauzito na kuongeza uwezekano wa kupata saratani ya matiti. Zipo athari nyingine kibao.
 
Zinahusika.

Na siyo unasikia, bali zimethibitika rasmi kwamba zinasabisha siyo tu low sperm count lakini pia sperm quality.

Lakini, swali la muhimu ni je ni kwa kiwango gani? Jibu lake linategemeana na sababu kadhaa. Ikiwemo kiwango cha exposure cha kemikali husika na mambo mengine kama genetics. Ndiyo kusema, endocrine disruptors inasabisha low sperm count kwa kiwango kidogo sana.

Lifestyle ya mtu ikiwemo ulaji usiofaa, kutofanya mazoezi na magonjwa ya zinaa pamoja na kutobalance kwa hormones ndiyo sababu haswa za kiwango kidogo cha mbegu.
Ni nini hizo endocrine disruptor?
 
M

Mkuu what are you talking about,?watu wamekuwa wakilana all the time since Adam,istoshe Hawa ndio alitaka azagamuliwe,so Toka enzi hizo walikuwa wakiliwa vizuri tu ni vile hakukua na wasapu au gesti nyingi kama skuizi ila vichaka vina habari zao.
Mzee tunakulana tangu enzi hizo sikatai, wanachoogopa mademu wengi miaka hii ni mimba
 
Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.

Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?

Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.

I need answers.
wapo wanaoshindwa kushika kwa mara ya kwanza, sababu mojawapo ni aidha, kulogwa, jini mahaba au ametumia njia za uzazi. wale wanaoshindwa kushika wakati walishawahi kuzaa pia ni jini mahaba, kulogwa au njia za uzazi wa mpango. wazungu tangu kitambo sana wamekuwa na nia ya kupunguza uzazi kwa watu weusi kwasababu wao asilimia kubwa wameshakuwa wazee, wakati africa asilimia kubwa ni vijana, wao familia inaweza kuwa na watoto wawili akizidi sana wanne, ila afrika ni kawaida kuwa na watoto 8 hadi 10, na vijijini huko hadi 12. wanaamini baada ya muda, wanadamu wengi zaidi duniani watakuwa weusi na icho wazungu hawapendi wao waonekane minority. na kuna uwezekano dunia siku za baadaye ikawa na watu weusi na waarabu wengi zaidi.
 
Ni nini hizo endocrine disruptor?
Endocrine disruptor ni kemikali zinazoingilia mfumo wa endocrine mwilini.

Endocrine huhusika katika utengenezaji na uhifadhi wa hormone mwilini. Hapa unazungumzia tezi ya pituitari, thyroid, adrenali, nk

Hizo kemikali zinapatikana katika dawa za kuulia wadudu mashambani, kwenye plastiki, dawa za kuifadhi na kutunza chakula, nk.

Sasa zikiingilia huo mfumo, zinasabisha athari kadha wa kadha.
 
Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.

I need answers.
Kisamaki ndio nini mkuu? Sisi wa vijijini hatujaelewa hili neno linauhusiano gani na kushindwa kushika mimba?
 
Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.

Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?

Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.

I need answers.


Swala la afya ni personal, kutunza afya ni jukumu lako.
 
Tatizo linaanzia kwa Wanaume sisi pia tuna shida.

Nikirudi kwa hawa wadada.. wengi wanatumia mavitu mengi sana kuanzia dawa za kuzuia au kutoa mimba, dawa za kubana uchi na kusafisha.

Hapo sijagusia Shisha na ulevi, Sonona na Magonjwa ya Afya ya akili.
It's true kwenye madawa hapo!
 
Back
Top Bottom