Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

Ni kina dada wachache sana, hasa wenye shepu nzuri ambao hawatoi mimba, au kula madawa ya kuzuia mimba au kufanya umalaya mkubwa (japo hawakai kwenye madanguro kama yale ya yaliyobomolewa milango juzi juzi Dar.

Hao wasichana wakishajiona ni wazuri, wanadhani kwamba watapata waume hata kama miaka imeenda. Kwa hiyo, wanajiachia kwa kila mwanaume mwenye dau kubwa.

Hivi mnajua kwamba kila wakati mwanamke anapopokea mbegu za mwanaume tofauti DNA zake zinabadilika? Kama kina mabadiliko makubwa kulingana na idadi ya wanaume "waliompitia" mimba KAMWE haiwezi kukaa !!!
 
Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.

Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?

Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.

I need answers.
Njia za uzazi mpango zinawafanya wawe madume kihisia na ki homone hata kuwafikisha kileleni ngumu coz una do na dume mwenzio ki homorne !

Atashikaje mimba sasa!!?eeh!!?

Baadae itakua common ku test mitambo ndio tunaoa !!
 
Njia za kuzuia mimba ukitoa (calendar, withdraw) zina madhara makubwa ikiwemo tatizo la hedhi, uke mkavu, joto la uke kupungua au kutepeta, uvimbe kwenye kizazi.

BAbu/Bibi zetu hawakutumia njia hizi za kisasa lakini walikua wanazaa watoto kwa kupishana umri vizuri tu.

Njia za kisasa sio salama.
Cc ERoni
 
Kuna kansa ya shingo ya kizazi pia imeibuka miaka ya hivi karibuni. Wanawake kuwa na vitambi mpira na kasi ya wanawake kulazimika kutolewa mfuko wa uzazi, yote haya huenda yakawa na chanzo kimoja chenye vina na matangazo ya (p2, uzazi wa mpango n.k) kwa hisani ya watu wa ...
Madaktari wengi wa hovyo sana siku hizi wanashindwa na manabii hawawezi kuwaondolea wanawake wengi stress.
 
Njia za kuzuia mimba ukitoa (calendar, withdraw) zina madhara makubwa ikiwemo tatizo la hedhi, uke mkavu, joto la uke kupungua au kutepeta, uvimbe kwenye kizazi.

BAbu/Bibi zetu hawakutumia njia hizi za kisasa lakini walikua wanazaa watoto kwa kupishana umri vizuri tu.

Njia za kisasa sio salama.
Cc ERoni
Umeeleza kitaalam sana ephen_. Wewe unatumia njia gani, tuanze na wewe 😅
 
Tatizo linaanzia kwa Wanaume sisi pia tuna shida.

Nikirudi kwa hawa wadada.. wengi wanatumia mavitu mengi sana kuanzia dawa za kuzuia au kutoa mimba, dawa za kubana uchi na kusafisha.

Hapo sijagusia Shisha na ulevi, Sonona na Magonjwa ya Afya ya akili.
Yaani mkuu tatizo ni la wanawake bt wew unatuingiza hadi sisi wanaume

Wanaume wanaingia vip hapa kwa mwanamke mwenyewe kuamua kutumia hivyo vitu na kupelekea kutoshika mimba?

Sijui ni kwanin bt % nyingi ya matatizo ya mwanamke ni lazima mwanaume ahusishwe na kuonekana mwanaume amechangia.. This mentality has to end
 
Back
Top Bottom