ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,420
- 1,842
Ni kina dada wachache sana, hasa wenye shepu nzuri ambao hawatoi mimba, au kula madawa ya kuzuia mimba au kufanya umalaya mkubwa (japo hawakai kwenye madanguro kama yale ya yaliyobomolewa milango juzi juzi Dar.
Hao wasichana wakishajiona ni wazuri, wanadhani kwamba watapata waume hata kama miaka imeenda. Kwa hiyo, wanajiachia kwa kila mwanaume mwenye dau kubwa.
Hivi mnajua kwamba kila wakati mwanamke anapopokea mbegu za mwanaume tofauti DNA zake zinabadilika? Kama kina mabadiliko makubwa kulingana na idadi ya wanaume "waliompitia" mimba KAMWE haiwezi kukaa !!!
Hao wasichana wakishajiona ni wazuri, wanadhani kwamba watapata waume hata kama miaka imeenda. Kwa hiyo, wanajiachia kwa kila mwanaume mwenye dau kubwa.
Hivi mnajua kwamba kila wakati mwanamke anapopokea mbegu za mwanaume tofauti DNA zake zinabadilika? Kama kina mabadiliko makubwa kulingana na idadi ya wanaume "waliompitia" mimba KAMWE haiwezi kukaa !!!