Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Nitafutie kabisa nyumba ya kufikia🤦🤣🤣Uhamisho ss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafutie kabisa nyumba ya kufikia🤦🤣🤣Uhamisho ss
Skia kijana.. WANAUME sahiv tunapitia changamoto ya kubebesha wanawake MIMBA.Yaani mkuu tatizo ni la wanawake bt wew unatuingiza hadi sisi wanaume
Wanaume wanaingia vip hapa kwa mwanamke mwenyewe kuamua kutumia hivyo vitu na kupelekea kutoshika mimba?
Sijui ni kwanin bt % nyingi ya matatizo ya mwanamke ni lazima mwanaume ahusishwe na kuonekana mwanaume amechangia.. This mentality has to end
Vimechangamka sanaIla hivyo vijiji mnavyosema ni vipi
Maana,mmh vijiji vya sikuhizi 🙌
Watupumzishe sasa tutajing’ata kwa kusemwa semwa chaaa!!! 😂😂😂Tunaonewa sana mdogo wangu!yaani tunavyooneka kama majambazi😁😁
Eeeeeh tutafika mbinguni tumechoka sanakwa aina hii ya wanaume walio ambatanishwa hapa chini utapataje mimba?
Kalenda noma sana,Kuna kuzidiwa na hisia hii inakuwaje?Ukikosea kidogo tu leba hii hapa!
Njooni huku Bariadi Simiyu muone kinachofanyika - kuanzia misosi na mengineyo. Yaani ni kufyatua tu sisi hatuna shida 💪💪💪Ndo maana nikakazia kuhusu style ya maisha sio tabia, ulaji,mazoezi na madawa iko tofuti na mjini, vijijini vyakula vingi ni vya asili, mazoezi wanafanya kwenye kazi kutembea nk, madawa wanawake wachache wanatumia uzazi wa mpango ama hizi p2 kiholela ama la madawa mengineyo si sana km town hata takwimu za uzazi kijijini ziko juu kuliko mijini ililetwa kujadiliwa humu wiki chache zilizopita na dar iko mwisho katika hilo si kwamba hawazagamuani ila wanazuia mimba kwa mbinu nyingi
🤣🤣🤣Sijui kama watawezaWatupumzishe sasa tutajing’ata kwa kusemwa semwa chaaa!!! 😂😂😂
Sidhani kama kuna Ke atavumilia dk2, unaweza zabwa makofi kwa mihasira😅Kuridhika inategemeana,maana hata nyie wanaume mmetofautiana utundu,mwingine utajikuta unaelemewa ndani ya dakika zako mbili ulizozisema😅😅
Uvimbe kwenye kizazi ni janga kubwa mno kwa wanawake wa mijini kwa sasaNjia za kuzuia mimba ukitoa (calendar, withdraw) zina madhara makubwa ikiwemo tatizo la hedhi, uke mkavu, joto la uke kupungua au kutepeta, uvimbe kwenye kizazi.
BAbu/Bibi zetu hawakutumia njia hizi za kisasa lakini walikua wanazaa watoto kwa kupishana umri vizuri tu.
Njia za kisasa sio salama.
Cc ERoni
🤣🤣🤝🤝Kuridhika inategemeana,maana hata nyie wanaume mmetofautiana utundu,mwingine utajikuta unaelemewa ndani ya dakika zako mbili ulizozisema😅😅
🤣🤣🤣Nitafutie kabisa nyumba ya kufikia🤦
Sa hata ukielewa la nn km hutaki kuwekeza kwenye hili eneo ,mdada wa dkk 2 tuToa maelezo nielewe, maana hili somo nililiruka shule, au nimuite Joannah msaidiane?
🤭🏃🏃Aiseee Yesu arudi tu khaaaa🙌🙌🙌🙌kwa aina hii ya wanaume walio ambatanishwa hapa chini utapataje mimba?
Sekta hiyo hamna mpinzani kabisa nyie ndo maana nchi hii kisiasa mmekuwa mtaji kwa CCM miaka yote hiyo siku mkiamua kutubadilishia tutawashukuru sana, population ya wasukuma iko juu sana kuliko kabila lolote ukanda mzima nadhani wa Afrika masharikiNjooni huku Bariadi Simiyu muone kinachofanyika - kuanzia misosi na mengineyo. Yaani ni kufyatua tu sisi hatuna shida 💪💪💪
Kuna dawa mwanamke anakunywa mara moja tu asipopata mimba basi huyo labda hana mayai wallahi!
View attachment 2808100
Shida ilikuwa ni elimu. Tulichelewa kidogo ila sasa mambo yanabadilika kwa kasi ndiyo maana hata CCM wanahaha. Mara Gwajima, mara Bashite, mara Biteko...ngoja tuone lakini nadhani kutapambazuka tu muda si mrefu!Sekta hiyo hamna mpinzani kabisa nyie ndo maana nchi hii kisiasa mmekuwa mtaji kwa CCM miaka yote hiyo siku mkiamua kutubadilishia tutawashukuru sana, population ya wasukuma iko juu sana kuliko kabila lolote ukanda mzima nadhani wa Afrika mashariki
Mimi hapa nataka mapacha wa kikeee😂😂Shida ilikuwa ni elimu. Tulichelewa kidogo ila sasa mambo yanabadilika kwa kasi ndiyo maana hata CCM wanahaha. Mara Gwajima, mara Bashite, mara Biteko...ngoja tuone lakini nadhani kutapambazuka tu muda si mrefu!
NB: Ukiona binti huko ana shida ya kupata mimba basi mwambie tu anitafute. Nampa dawa anakunywa mara moja tu tena kijiko kikubwa kimoja basi kwisha kazi....hata mapacha akitaka 😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️