Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

Haki..... Nimecheka.... Sasa mimba ni mara moja baada ya miaka 3 au minne.... Siku zinazobaki tunataka kukojoaz.... Ila umenena vema, hivi unajua raha yake lakini...😅😅😅😅
Sijui jamani
 
Wanaume lawama zote kwa wanawake, wakati baadhi yao wana low sperm count...
Ushawai kuona mwanaume kwa mwamposa anatafuta mtoto shidah sio mwanaume shidah mara nyingi ipo kwa mwanamke kupokea sperm na kuwa mtot
 
wapo wanaoshindwa kushika kwa mara ya kwanza, sababu mojawapo ni aidha, kulogwa, jini mahaba au ametumia njia za uzazi. wale wanaoshindwa kushika wakati walishawahi kuzaa pia ni jini mahaba, kulogwa au njia za uzazi wa mpango. wazungu tangu kitambo sana wamekuwa na nia ya kupunguza uzazi kwa watu weusi kwasababu wao asilimia kubwa wameshakuwa wazee, wakati africa asilimia kubwa ni vijana, wao familia inaweza kuwa na watoto wawili akizidi sana wanne, ila afrika ni kawaida kuwa na watoto 8 hadi 10, na vijijini huko hadi 12. wanaamini baada ya muda, wanadamu wengi zaidi duniani watakuwa weusi na icho wazungu hawapendi wao waonekane minority. na kuna uwezekano dunia siku za baadaye ikawa na watu weusi na waarabu wengi zaidi.

Weka sawa statistics zako,kuna watu wanazaana kama wachina na wahindi,afrika na waarabu wamepunguza sana kuzaliana.

Naona world population inaenda kuchukuliwa na wahindi na wachina.
 
Wanawake wa ckuiz wanaogopa mimba Sana that's why wengi wamekimbilia family planning methods
 
Njia za kuzuia mimba ukitoa (calendar, withdraw) zina madhara makubwa ikiwemo tatizo la hedhi, uke mkavu, joto la uke kupungua au kutepeta, uvimbe kwenye kizazi.

BAbu/Bibi zetu hawakutumia njia hizi za kisasa lakini walikua wanazaa watoto kwa kupishana umri vizuri tu.

Njia za kisasa sio salama.
Cc ERoni

Umenena vyema kabisa,mimi napinga sana matumizi ya hizi hormonal contraceptives zina vuruga sana mfumo wa uzazi wa mwanamke na shauri mtu anayehitaji kuzitumia hizo awe hana mpango kabisa wa kuzaa.
 
Ma P2 kila siku changanya na Ma K vant, Konyagi, na utoaji mimba holela lazima wanashikaje mimba sasa!

Serious side effects of Option 2​

Along with its needed effects, levonorgestrel (the active ingredient contained in Option 2) may cause some unwanted effects. Although not all of these side effects may occur, if they do occur they may need medical attention.

More common​

  • Heavy or light menstrual bleeding
  • Absent missed or irregular menstrual periods
  • cramps
  • irregular menstruation
  • pain
  • pain in the pelvis
  • stopping of menstrual bleeding
Side effects zote hizi kwa nini uingiaji wa mimba usiwe wa shida na utokaji usiwe rahisi?
kwa wanaotaka kusoma zaidi , soma hapa Postinor-2 (levonorgestrel) emergency contraceptive information | myVMC
 
Kuna pia tatizo la akina mama kujifungua kwa njia ya upasuaji. Kuna wanaopenda kufanya hivyo kwa sababu zao wenyewe kwani wanaomba hivyo lakini WHO inasema sababu za ongezeko ni unene kupita kiasi wa mja mzito au mtoto kuwa mkubwa kuliko nyonga ya mama.
Nini sababu ya unene wa mama na unene wa mtoto tumboni?
  • Ulaji wa vyakula usiofaa
  • kukosa mazoezi
Haya yanasababishwa na wataalamu wa afya wenyewe; wanashauri eti mama akipata mimba apate muda mwingi wa kupumzika! Halafu vile vyakula ambavyo wazee wetu waliwakataza wasichana wasile kuanzia wanapobalehe, sasa hivi wanakula tu kwa kisingizio eti wa zamani walikuwa wachoyo hawakutaka wanawake wafaidi.
Hawatafuti logic na hekima walizokuwa nazo hao wazee. Mtoto alikuwa anakula kila kitu lakini masichana akibalehe tu ndipo anakatazwa kula baadhi ya vyakula ambavyo ndiyo vinasababisha unene wa mama na unene wa mtoto tumboni. - vyakula kama kuku, mayai senene, nyama ya mbuzi nk. Pia akina mama walikuwa wanendelea na kazi kama kawaida na ndiyo maana ilikuwa ni kawaida kusikia mama amejifungua wakati akitoka shambani au mara tu baada ya kutua mtungi wa maji.
 
Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.

Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?

Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.

I need answers.
Hili linaukwer ndani yake ukiangalia saiv wamegundua kuna dawa mbadara wa P2 kuzuia mimba hii sijui wameitoa wapi🤣🤣🤣
Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.

Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?

Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.

I need answers.
 
Ukitaka mwanamke mzuri mwenye rutuba nenda vijijini huko mkuu haya mambo ya p2 na vijiti sidhani kama yapo.

Hawa wa daslaam sio wa kutengenezea familia hasahasa wa kuchezea tu
Aisee huko vijijini ndo hali mbaya..Watoto darasa la sita wanaanza kuweka vijiti na kuchoma sindano.
Kizazi kinaelekea kwisha hiki.
 
Back
Top Bottom