Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

wapo wanaoshindwa kushika kwa mara ya kwanza, sababu mojawapo ni aidha, kulogwa, jini mahaba au ametumia njia za uzazi. wale wanaoshindwa kushika wakati walishawahi kuzaa pia ni jini mahaba, kulogwa au njia za uzazi wa mpango. wazungu tangu kitambo sana wamekuwa na nia ya kupunguza uzazi kwa watu weusi kwasababu wao asilimia kubwa wameshakuwa wazee, wakati africa asilimia kubwa ni vijana, wao familia inaweza kuwa na watoto wawili akizidi sana wanne, ila afrika ni kawaida kuwa na watoto 8 hadi 10, na vijijini huko hadi 12. wanaamini baada ya muda, wanadamu wengi zaidi duniani watakuwa weusi na icho wazungu hawapendi wao waonekane minority. na kuna uwezekano dunia siku za baadaye ikawa na watu weusi na waarabu wengi zaidi.
Aiseee it's true
Sbb nyingine ni ya kiroho
Spiritual wife/husband is real
 
Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.

Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?

Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.

I need answers.
kwa aina hii ya wanaume walio ambatanishwa hapa chini utapataje mimba?
 

Attachments

  • IMG_20231108_140242.jpg
    IMG_20231108_140242.jpg
    37.4 KB · Views: 5
  • IMG_20231008_162312.jpg
    IMG_20231008_162312.jpg
    63.4 KB · Views: 6
Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.

Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?

Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.

I need answers.
Haya hili nalo muende mkalitazame msilifumbie macho
 
Ila hivyo vijiji mnavyosema ni vipi
Maana,mmh vijiji vya sikuhizi 🙌
Ndo maana nikakazia kuhusu style ya maisha sio tabia, ulaji,mazoezi na madawa iko tofuti na mjini, vijijini vyakula vingi ni vya asili, mazoezi wanafanya kwenye kazi kutembea nk, madawa wanawake wachache wanatumia uzazi wa mpango ama hizi p2 kiholela ama la madawa mengineyo si sana km town hata takwimu za uzazi kijijini ziko juu kuliko mijini ililetwa kujadiliwa humu wiki chache zilizopita na dar iko mwisho katika hilo si kwamba hawazagamuani ila wanazuia mimba kwa mbinu nyingi
 
Ndo maana nikakazia kuhusu style ya maisha sio tabia, ulaji,mazoezi na madawa iko tofuti na mjini, vijijini vyakula vingi ni vya asili, mazoezi wanafanya kwenye kazi kutembea nk, madawa wanawake wachache wanatumia uzazi wa mpango ama hizi p2 kiholela ama la madawa mengineyo si sana km town hata takwimu za uzazi kijijini ziko juu kuliko mijini ililetwa kujadiliwa humu wiki chache zilizopita na dar iko mwisho katika hilo si kwamba hawazagamuani ila wanazuia mimba kwa mbinu nyingi
🤣🤣Eti hawazagamuani
Nimecheka
Ni kweli dear
 
Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.

Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?

Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.

I need answers.
ripoti ya utafiti please tumechoka na porojo na uzushi wenu humu JF. Acha kuishi kwa hisia ndugu lete ripoti mahsusi!
 
Matumizi holela ya vidhibiti mimba,utoaji mimba na ufuska ndio sababu kubwa.Binti anachezea usichana wake weee!!!,Jua likizama anajifanya anataka kuolewa na kutulia Kwenye ndoa na kupata Watoto Wakati alishajiharibu kizazi.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Hawa wanawake wenyewe mambo ya mimba hawayataki
Wao wanacho kitaka ni kufikishwa mlimani tu tena kule juu kabisa
Haki..... Nimecheka.... Sasa mimba ni mara moja baada ya miaka 3 au minne.... Siku zinazobaki tunataka kukojoaz.... Ila umenena vema, hivi unajua raha yake lakini...😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom