ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Umakini muhimu, japo wanaokamia sijui masaa ndio wana risk, sie wa dk2 hatuna shida na mtu.🤣Magonjwa hujawaza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umakini muhimu, japo wanaokamia sijui masaa ndio wana risk, sie wa dk2 hatuna shida na mtu.🤣Magonjwa hujawaza?
Aiseee it's truewapo wanaoshindwa kushika kwa mara ya kwanza, sababu mojawapo ni aidha, kulogwa, jini mahaba au ametumia njia za uzazi. wale wanaoshindwa kushika wakati walishawahi kuzaa pia ni jini mahaba, kulogwa au njia za uzazi wa mpango. wazungu tangu kitambo sana wamekuwa na nia ya kupunguza uzazi kwa watu weusi kwasababu wao asilimia kubwa wameshakuwa wazee, wakati africa asilimia kubwa ni vijana, wao familia inaweza kuwa na watoto wawili akizidi sana wanne, ila afrika ni kawaida kuwa na watoto 8 hadi 10, na vijijini huko hadi 12. wanaamini baada ya muda, wanadamu wengi zaidi duniani watakuwa weusi na icho wazungu hawapendi wao waonekane minority. na kuna uwezekano dunia siku za baadaye ikawa na watu weusi na waarabu wengi zaidi.
Dkk 2?!!Umakini muhimu, japo wanaokamia sijui masaa ndio wana risk, sie wa dk2 hatuna shida na mtu.🤣
Mda mrefu tunagundua nini mkuu, dk2 wote hatufiki?😅😅Dkk 2?!!
Na huyo mwanamke unamuachaje? Au ndo wa kununua sio lzm ainjoi?
Weee acha masiharaMda mrefu tunagundua nini mkuu, dk2 wote hatufiki?😅😅
Sie wengine uwekezaji huko ni mdogo sana😅😅Weee acha masihara
Labda uwe vzr huko kwenye fire Play 🏃🏃🏃🏃🤣
kwa aina hii ya wanaume walio ambatanishwa hapa chini utapataje mimba?Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.
Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?
Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.
I need answers.
Haya hili nalo muende mkalitazame msilifumbie machoNiaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.
Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?
Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.
I need answers.
Ndo maana nikakazia kuhusu style ya maisha sio tabia, ulaji,mazoezi na madawa iko tofuti na mjini, vijijini vyakula vingi ni vya asili, mazoezi wanafanya kwenye kazi kutembea nk, madawa wanawake wachache wanatumia uzazi wa mpango ama hizi p2 kiholela ama la madawa mengineyo si sana km town hata takwimu za uzazi kijijini ziko juu kuliko mijini ililetwa kujadiliwa humu wiki chache zilizopita na dar iko mwisho katika hilo si kwamba hawazagamuani ila wanazuia mimba kwa mbinu nyingiIla hivyo vijiji mnavyosema ni vipi
Maana,mmh vijiji vya sikuhizi 🙌
Ile takwimu ilionyesha kagera ni ya tatu toka mwisho katika kuzalianaKwa ninavyoona.
1. Morogoro
2. Kigoma
3. Kagera
4. Singida.
Hapo pako vizuri
Rutuba =kuzaaSijaongelea kuzaliana. Nimeongelea mabinti wenye rutuba
🤣🤣Eti hawazagamuaniNdo maana nikakazia kuhusu style ya maisha sio tabia, ulaji,mazoezi na madawa iko tofuti na mjini, vijijini vyakula vingi ni vya asili, mazoezi wanafanya kwenye kazi kutembea nk, madawa wanawake wachache wanatumia uzazi wa mpango ama hizi p2 kiholela ama la madawa mengineyo si sana km town hata takwimu za uzazi kijijini ziko juu kuliko mijini ililetwa kujadiliwa humu wiki chache zilizopita na dar iko mwisho katika hilo si kwamba hawazagamuani ila wanazuia mimba kwa mbinu nyingi
Basi hao mnawanunua tu sio mpenziSie wengine uwekezaji huko ni mdogo sana😅😅
ripoti ya utafiti please tumechoka na porojo na uzushi wenu humu JF. Acha kuishi kwa hisia ndugu lete ripoti mahsusi!Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.
Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?
Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.
I need answers.
Kwani ili mkae sawa inachukua mda gani?Basi hao mnawanunua tu sio mpenzi
Pole Yao 😁
Haki..... Nimecheka.... Sasa mimba ni mara moja baada ya miaka 3 au minne.... Siku zinazobaki tunataka kukojoaz.... Ila umenena vema, hivi unajua raha yake lakini...😅😅😅😅Hawa wanawake wenyewe mambo ya mimba hawayataki
Wao wanacho kitaka ni kufikishwa mlimani tu tena kule juu kabisa