Tatizo la wanawake kushindwa kushika mimba linazidi kuwa kubwa

🀣
Mi nataka dawa msukuma, nataka mapacha...
Cha msingi isiwe na masharti km za waganga wa kienyeji
 
Comment yako imejitahidi kudadavua kila kitu. Inshort majibu yote ya mleta mada yapo hapa. Umeeleza kama medical personnel jinsi njia za uzazi wa mpango zinavyoaffect mwili.

Cha kushangaza wengi hawajaizingatia. Hii inatoa taswira ya upeo walionao wachangiaji wengi katika hii platform na jamii kwa ujumla.

Anyway chukua maua yako kwa kutoa elimu malidhawa kabisa [emoji257]
 
Kabla hujamuamini mwanamke kiasi hiki hakikisha ana kiwango cha juu kiakili na form four awe alipata Div one ya pt 7!
Suala la kalenda wewe mwanaume ndie uwe mwalimu wa mwanamke ukimuacha mwenyewe utaumia, hata kama alikuwa mwalimu wa biology hawezi kusimamia suala hilo kwa asilimia 100%
 
🀣
Mi nataka dawa msukuma, nataka mapacha...
Cha msingi isiwe na masharti km za waganga wa kienyeji
Hapana. Hii ni dawa tu naitengeneza mimi mwenyewe unaona. Haina manuizo wala nini ila ina sharti moja tu. Huyo mtunga mapacha wako kuna vyakula itabidi avitumie kwa wiki mbili kabla hajarutubisha hilo yai lako. Na katika hizo wiki mbili asile mbususu wala kupiga nyeto. Akija kukupasua kwenye siku za hatari hata triplets unapata. Nina rekodi nzuri sana na hii dawa nikiwemo mimi mwenyewe kwa mke wangu.
 
Hapo sawa
Nitakutafuta
πŸ˜…
Nipate mapacha wa kike na kiume
 
Hapo unazungumzia hawa wala viepe na soda au?
 

Attachments

  • 20231109_231127.jpg
    89.1 KB · Views: 3
CHAI
 

Asante mkuu[emoji1431][emoji1431]
 
Ukitaka kuyaelewa haya, nenda kasome ripoti ya Henry Kissinger ya mwaka 1973 ila kidogo tu nikudokezee mambo machache.

. NJIA ZOTE ZA UZAZI WA MPANGO

. CHANJO

. UTAMBULISHWAJI WA VYAKULA VYA KIMAABARA

NB. Ukiwa wa kuletewa kila kitu mezani hutofahamu chochote, hata hao unaowaita wataalamu wetu wa afya anza na Waziri wao mpaka huku chini, hakuna siku watakuambia ukweli halisi juu ya hili.
 
 
😁
 
Tatizo ni kubwa kuliko ulivyoelezaaa
 
Chief we una maua yako kwa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…