Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Unashare acount moja na Ukhuty?
 
Nimekuja best, ni dawa rahisi sana kutumia na haina gharama. Kama mtu akihitaji kuitumia anaweza kunitafuta PM.

nimeshawapatia wanawake sita na kati yao wanne wamenipa matokeo chanya wawili bado nadhani walikosea matumizi.
MR TUPO WENGI SANA WENYE HAYO MATATIZO PLZ KAMA INAWEZEKANA TUSAIDIANE NDUGU YANGU.
 
nimekuja best, ni dawa rahisi sana kutumia na haina gharama..
kama mtu akihitaji kuitumia anaweza kunitafuta PM.
nimeshawapatia wanawake sita na kati yao wanne wamenipa matokeo chanya wawili bado nadhani walikosea matumizi.
Ubarikiwe
 

Pole sana, mimi na mwenzangu tulipata tatizo hilo lakini baada ya uchunguzi zaidi ilionekana mbegu zinazotoka kwaajili ya kutungisha mimba zilikuwa chache lakini pia zilikuwa abnormal. Nibudu na mumewako akaenda kupima mbegu/shahawa/manii ili kujua kama zinauwezo wa kutungisha mimba.
 
nimekuja best, ni dawa rahisi sana kutumia na haina gharama..
kama mtu akihitaji kuitumia anaweza kunitafuta PM.
nimeshawapatia wanawake sita na kati yao wanne wamenipa matokeo chanya wawili bado nadhani walikosea matumizi.
My dear nakuja huko pm kwa hii issue aisee.
 
Vipi ulifanikiwa kupata mimba?
 
Je, umepata mtoto? Sio mimba nataka kujua kama ushapata mtoto. Kama bado ni PM nikusaidie njia njema. Sihitaji kukuona wala malipo.
 
nimekuja best, ni dawa rahisi sana kutumia na haina gharama..
kama mtu akihitaji kuitumia anaweza kunitafuta PM.
nimeshawapatia wanawake sita na kati yao wanne wamenipa matokeo chanya wawili bado nadhani walikosea matumizi.
Ina masharti ya kiganga? Samahani lakini mana nina same problem
 
Pole, maumivu yako hata mimi nayahisi.
 
Kwa nini aku-pm unataka kumfanya nini?
 
Kwa nini usubili ashindwe kote?
 
nimekuja best, ni dawa rahisi sana kutumia na haina gharama..
kama mtu akihitaji kuitumia anaweza kunitafuta PM.
nimeshawapatia wanawake sita na kati yao wanne wamenipa matokeo chanya wawili bado nadhani walikosea matumizi.
Nami nitakuchek.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…