Tatizo la Yanga ni Engineer Hersi ..wamuangalie anawaangusha

Tatizo la Yanga ni Engineer Hersi ..wamuangalie anawaangusha

NguoYaSikuKuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
681
Reaction score
1,020
Hivi Yanga mmempa kazi ya kusajili wachezaji na makocha huyu Engineer Hersi kwa kigezo kipi? Kwa sababu ukiangalia hana uzoefu wa kutosha katika sekta hii. Huyu mtu anasajili wachezaji almost wote free agents na mbaya zaidi ni wachezaji ambao asilimia kubwa sio wa kuweza kuipa yanga ubingwa.

KOCHA NABI:
Hivi ulikuwa na ulazima GSM na Hersi kumleta Coach ambaye hana uwezo wa kuzungumza kiengereza na mbaya zaidi hana uzoefu wa soka la Afrika mashariki. Huyu Kocha hana maajabu hata huko Al Merrikh walimfukuza baada ya mechi chache sana.
Binafsi naona ukanda wetu huu wa CECAFA bado tuna makocha wazuri sana .


Je, Yanga waliona kitu gani kwa kocha huyu asiyejua hata Kuongea na wachezaji?


WACHEZAJI :
Embu angalia wale wachezaji wa Yanga waliosajiliwa misimu hii yote tangu Hersi ameanza kusajili wengi hawadumu na wanabadilishwa kila msimu. Kifupi Yanga hawana kamati bora ya usajili zaidi ya kumtegemea Hersi.

Wachezaji wote wapya waliokwama kwa sababu wameondoka bila mazingira mazuri huko walipotoka. Hii ni ka sababu ni free agents na Klabu zimepuuzia kutoa vibali vyao mapema.

USHAURI:
1. Engineer Hersi abaki kama muwezashaji na suala la kusajili wachiwee watu wenye uzoefu.
2. Yanga watafute scouts ambao wanawalipa na wnaweza kupata wachezaji wazuri sana wa Kigeni na nafuu kuliko hawa mediocore wa AS VITA.
 
Hivi Yanga mmempa kazi ya kusajili wachezaji na makocha huyu Engineer Hersi kwa kigezo kipi? Kwa sababu ukiangalia hana uzoefu wa kutosha katika sekta hii. Huyu mtu anasajili wachezaji almost wote free agents na mbaya zaidi ni wachezaji ambao asilimia kubwa sio wa kuweza kuipa yanga ubingwa.

KOCHA NABI:
Hivi ulikuwa na ulazima GSM na Hersi kumleta Coach ambaye hana uwezo wa kuzungumza kiengereza na mbaya zaidi hana uzoefu wa soka la Afrika mashariki. Huyu Yanga hana maajabu hata huko Al Merrikh walimfukuz baada ya mechi chache sana. Binafsi naona ukanda huu wetu wa CECAFA bado tuna makocha wazuri sana .
Je, Yanga waliona kitu gani kwa kocha huyu asiyejua hata Kuongea na wachezaji?


WACHEZAJI :
Embu angalia wale wachezaji wa Yanga waliosajiliwa misimu hii yote tangu Hersi ameanza kusajili wengi hawadumu na wanabadilishwa kila msimu. Kifupi Yanga hawana kamati bora ya usajili zaidi ya kumtegemea Hersi.

Wachezaji wote wapya waliokwama kwa sababu wameondoka bila mazingira mazuri huko walipotoka. Hii ni ka sababu ni free agents na Klabu zimepuuzia kutoa vibali vyao mapema.

USHAURI:
1. Enginner Hersi abaki kama muwezashaji na suala la kusajili wachiwee watu wenye uzoefu.
2. Yanga watafute scouts ambao wanawalipa na wnaweza kupata wachezaji wazuri sana wa Kigeni na nafuu kuliko hawa mediocore wa AS VITA.

Mfadhili mkuu anataka ajue hela yake inakwendaje, maana upigaji wote uko hapo kwenye usajili, ndio maana anaweka mtu wake pale.
 
Tatizo kila anayejua kusoma,kuandika na kuongea ashakuwa Kocha,scounts muwekezaji yaani anajua kila kitu.Imefungwa Barcelona 8-0 itakuwa Yanga cha ajabu mno ni nini kama hujui mpira kaa kimya waache wanajua wawekeze ubaki kuwa mshabiki tu ....tusipende kuwakatisha taama watu kama Hersi mwisho tutakosa wanamichezo huko mbele sababu ya watu kama nyie
 
Mfadhili mkuu anataka ajue hela yake inakwendaje, maana upigaji wote uko hapo kwenye usajili, ndio maana anaweka mtu wake pale.
Ndio maana awe muwezeshaji. Suala la mikataba iwe wazi na upigwaji utapungua.
 
Tatizo kila anayejua kusoma,kuandika na kuongea ashakuwa Kocha,scounts muwekezaji yaani anajua kila kitu.Imefungwa Barcelona 8-0 itakuwa Yanga cha ajabu mno ni nini kama hujui mpira kaa kimya waache wanajua wawekeze ubaki kuwa mshabiki tu ....tusipende kuwakatisha taama watu kama Hersi mwisho tutakosa wanamichezo huko mbele sababu ya watu kama nyie
Barca wifelishwa na watu na wameshawatimua wotee, Kuanzia sports director Eric Abidal.
 
Hivi Yanga mmempa kazi ya kusajili wachezaji na makocha huyu Engineer Hersi kwa kigezo kipi? Kwa sababu ukiangalia hana uzoefu wa kutosha katika sekta hii. Huyu mtu anasajili wachezaji almost wote free agents na mbaya zaidi ni wachezaji ambao asilimia kubwa sio wa kuweza kuipa yanga ubingwa.

KOCHA NABI:
Hivi ulikuwa na ulazima GSM na Hersi kumleta Coach ambaye hana uwezo wa kuzungumza kiengereza na mbaya zaidi hana uzoefu wa soka la Afrika mashariki. Huyu Yanga hana maajabu hata huko Al Merrikh walimfukuz baada ya mechi chache sana. Binafsi naona ukanda huu wetu wa CECAFA bado tuna makocha wazuri sana .
Je, Yanga waliona kitu gani kwa kocha huyu asiyejua hata Kuongea na wachezaji?


WACHEZAJI :
Embu angalia wale wachezaji wa Yanga waliosajiliwa misimu hii yote tangu Hersi ameanza kusajili wengi hawadumu na wanabadilishwa kila msimu. Kifupi Yanga hawana kamati bora ya usajili zaidi ya kumtegemea Hersi.

Wachezaji wote wapya waliokwama kwa sababu wameondoka bila mazingira mazuri huko walipotoka. Hii ni ka sababu ni free agents na Klabu zimepuuzia kutoa vibali vyao mapema.

USHAURI:
1. Engineer Hersi abaki kama muwezashaji na suala la kusajili wachiwee watu wenye uzoefu.
2. Yanga watafute scouts ambao wanawalipa na wnaweza kupata wachezaji wazuri sana wa Kigeni na nafuu kuliko hawa mediocore wa AS VITA.
Ndo maana imeundwa kamati mpha ya usajili ya kina bin Kleb, seif magar wapo ndan... Hii ni kamati ya mashindano na kwenye usajili itasimama yenyewe ... Hersi atakuwa anasign chaque tu
 
Tatizo kila anayejua kusoma,kuandika na kuongea ashakuwa Kocha,scounts muwekezaji yaani anajua kila kitu.Imefungwa Barcelona 8-0 itakuwa Yanga cha ajabu mno ni nini kama hujui mpira kaa kimya waache wanajua wawekeze ubaki kuwa mshabiki tu ....tusipende kuwakatisha taama watu kama Hersi mwisho tutakosa wanamichezo huko mbele sababu ya watu kama nyie
Huyo hersi na GSM yake wana miaka mingapi Yanga? Na mafanikio yapi waliyoyaleta kwa kipindi chote hiko? Mambo mengine ni kutumia akili asijipe upovu wakati vitu vipo wazi. Hata kama ingekuwa ni watu waliokuwa na lengo la kuwekeza kwenye kujenga timu basi Yanga ingekuwa imeshakuwa imara. Ila kila msimu ni kubomoa kujenga upya haujamaliza kujenga unabomoa tena unajenga upya. GSM hawatafanya mageuzi yeyote kwa Yanga labda mfumo mpya wa uwekezaji uanze ila sio kwa huyo failure GSM
 
Ndo maana imeundwa kamati mpha ya usajili ya kina bin Kleb, seif magar wapo ndan... Hii ni kamati ya mashindano na kwenye usajili itasimama yenyewe ... Hersi atakuwa anasign chaque tu
Ndio kitu muhimu ... Kamati isajili sio mtu mmoja anawaletea watu wa AS VITA kila siku.
 
Huyo hersi na GSM yake wana miaka mingapi Yanga? Na mafanikio yapi waliyoyaleta kwa kipindi chote hiko? Mambo mengine ni kutumia akili asijipe upovu wakati vitu vipo wazi. Hata kama ingekuwa ni watu waliokuwa na lengo la kuwekeza kwenye kujenga timu basi Yanga ingekuwa imeshakuwa imara. Ila kila msimu ni kubomoa kujenga upya haujamaliza kujenga unabomoa tena unajenga upya. GSM hawatafanya mageuzi yeyote kwa Yanga labda mfumo mpya wa uwekezaji uanze ila sio kwa huyo failure GSM
Mfanikio yao yapo kwenye mauzo ya jezi zaidi. Hawawezi kuvunja mkataba hata wa 150M zaidi ya kuchukua free agents.
 
Mfadhili mkuu anataka ajue hela yake inakwendaje, maana upigaji wote uko hapo kwenye usajili, ndio maana anaweka mtu wake pale.
GSM sio wafadhili, mkataba wao ni mauzo ya jezi. Mengine wakiyafanya ni kuuingilia uongozi
 
Tatizo kila anayejua kusoma,kuandika na kuongea ashakuwa Kocha,scounts muwekezaji yaani anajua kila kitu.Imefungwa Barcelona 8-0 itakuwa Yanga cha ajabu mno ni nini kama hujui mpira kaa kimya waache wanajua wawekeze ubaki kuwa mshabiki tu ....tusipende kuwakatisha taama watu kama Hersi mwisho tutakosa wanamichezo huko mbele sababu ya watu kama nyie
Lakn barcelona hijawah kukaa miaka 5 bila kikombe kikubwa pamoja na kufungwa

Kwa hyo tusubir miaka mingapi ili tuje kuchukua ubingwa had Sasa n miaka 5 yanga Haina ubingwa wowote Zaid kombe la mapinduz ambalo halitupelek popote

Club bingwa bila ubishi n hisani ya Simba na namungo ndio wametufikisha hapa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo kila anayejua kusoma,kuandika na kuongea ashakuwa Kocha,scounts muwekezaji yaani anajua kila kitu.Imefungwa Barcelona 8-0 itakuwa Yanga cha ajabu mno ni nini kama hujui mpira kaa kimya waache wanajua wawekeze ubaki kuwa mshabiki tu ....tusipende kuwakatisha taama watu kama Hersi mwisho tutakosa wanamichezo huko mbele sababu ya watu kama nyie
Ukisikia utopolo, msukule ni ww Sasa. Kwahiyo bora liende. Yanga Vs Barcelona. Are you serious!
 
Sio engineer pekee.uongozi,wachezaji,wanachama,shabiki na wawekezaji. wote wanapaswa kujitathimini upya
 
Back
Top Bottom