pirate
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 718
- 703
- Thread starter
- #581
Mkuu sijajua vizur bei za vitu za kila sehem, kwa ushaur kwenye mkoa ulioko nenda kwa fund wa computer nna uhakika ataweza kulitatua tatizo, maana hapo vyote vyatakiwa vibadilishwe.Pc yangu inarusha kwa mbaali kwenye sehemu ya keyboard..na ukihitaji kuongeza ram kutoka 2gb mpka 4gb ni sh ngapi!