Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni a shida ya VGAJaman nina pc yang ya Ibook G4 sasa tatzo lake ni hua inawaka kwa shida ad niipigepige kidogo kwene Keybord na ikikaa kigogo inazma.. Je tatzo ni nini wadau
Zipo mimi nina lg 3d inasoma externalAah! afadhali
Mwenzenu naomba mnijuze....je kuna deki yenye uwezo wa kutumia external hard drive?
na inaitwaje. Plz!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nina hp laptop inawaka ikikaa mda wa daki 20 inazima ghafla, ukichomoa na kuchomeka waya wa umeme taa mbili zina bling na kuzima kimoja hapo mpaka ipoe, upande wa feni kwa dakika hizo inafanyakazi feni inakuwa inazunguka. Laptop ikizima kuja kuwaka tena mpaka lisaa lipite ndipo itawaka itafanya kazi ndani ya nusu saa inazima. Tatizo itakuwa ni nini?
Km umeweka window 8.1 au 10 ndiyo matatizo yake.Pia PC yangu mkuu inakamata wireless but inachagua. Wirelss kwa simu ya jamaa inakubali but kwa simu yangu inakataa na sikuwah kuunga hapo kabla
Kumbuka window xp ishapigwa stop yaan ishaisha matumizi kwahiyo km utaweza piga window upya km window 7,8 au 10Mkuu PC yangu DELL Inspiron zile za zamani saana sjaitumia muda mrefu. Sa nimeiwasha inawaka vzur Windows XP ila inamandishi mabaya sana mkuu, yan hata ikiandika Googke mandishi hayana mvuto (sio HD). naomba ushauri
Ni vizuri ukienda kweny maduka yanayouza computer. Hii kwa mtu mwisho utauziwa mbuzi kweny gunia.Natafuta computer desktop bland yoyote iwe core i7 ya generation 3 au 4 nitafute kwa namba hii 0655090000
Ni vizuri ukienda kweny maduka yanayouza computer. Hii kwa mtu mwisho utauziwa mbuzi kweny gunia. Unaweza kwenda KariakooNatafuta computer desktop bland yoyote iwe core i7 ya generation 3 au 4 nitafute kwa namba hii 0655090000
Hiyo hard disk ni internal au external?Yakwangu gateway ya zaman kidogo Ila haisom hard disc
Tatizo thermal paste imeisha kwenye processor hivyo joto linalozalishwa linashindwa kupoozwa na feni.Mkuu nina hp laptop inawaka ikikaa mda wa daki 20 inazima ghafla, ukichomoa na kuchomeka waya wa umeme taa mbili zina bling na kuzima kimoja hapo mpaka ipoe, upande wa feni kwa dakika hizo inafanyakazi feni inakuwa inazunguka. Laptop ikizima kuja kuwaka tena mpaka lisaa lipite ndipo itawaka itafanya kazi ndani ya nusu saa inazima. Tatizo itakuwa ni nini?