Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 5,083
- 6,872
Mkuu thanks. Nishafix ili tatizo. Nishaingia boot up option lkn sikuona.Umeenda kujarbu kubadilisha boot up options kwanza mkuu?
Pirate
Na sasa hivi nainstall window kwa flash drive km mwanzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu thanks. Nishafix ili tatizo. Nishaingia boot up option lkn sikuona.Umeenda kujarbu kubadilisha boot up options kwanza mkuu?
Pirate
naomba msaada jinsi ya kudownload window 10
Nipo na MacBook Pro Inatatzo la graphic
hapana mkuuMkuu uliweza,maana tatizo kama lako nimekumbana nalo,
jw library
Habari mkuu. Naomba msaada wa namna ya kuongeza ukubwa wa RAM ambayo ni 3 GB ifikie 4 au 8 GB.Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya
Karibuni sana wakuu
Pirate
Kiongozi mambo vipiHabari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya
Karibuni sana wakuu
Pirate
pc yangu, ina niambiaa unmounted error. kila ninapo jaribu kushusha window haifanikiwi kumaliza process hii...., inaishiaa kusema automatic repair tu....,
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari mkuu. Naomba msaada wa namna ya kuongeza ukubwa wa RAM ambayo ni 3 GB ifikie 4 au 8 GB.
computer ni Dell laptop
Jaribu kuchomoa ram halafu uirudishieNina desktop yangu night Hp compaq
Dual core 2
Ram 2
Nilinua used dsm..... Lakini hivi karibuni nimekuwa Niki iwasha ina piga beep teno na taa nyekundu ina waka.... Alafu ina zima.... Nikaifungua na kuicheki... Nikakuta processer... Haina therm compound imeisha.... But bado sijaongeza... Naomba kama... Kuna ushauri zaidi
Nina desktop yangu night Hp compaq
Dual core 2
Ram 2
Nilinua used dsm..... Lakini hivi karibuni nimekuwa Niki iwasha ina piga beep teno na taa nyekundu ina waka.... Alafu ina zima.... Nikaifungua na kuicheki... Nikakuta processer... Haina therm compound imeisha.... But bado sijaongeza... Naomba kama... Kuna ushauri zaidi