Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

Kuna laptop ambazo unaweza ku upgrade processor . Kuna laptop ambazo hauwezi kuupgrade processor . laptop yangu ni Acer aspire E1-531 processor ni B960 lakini iliharibaka nikaweka core i3. Lakini naona computer inazima kila baada ya dakika 30.

Je Kuna mtaalamu yoyote ambaye anaweza kusolve ili tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo linasababishwa na oveclocking ya cpu

1.cpu ina speed kubwa kuliko the processing bridges, hasa bridge ya kaskazini

2.pia processor inazalisha joto kubwa sana, japo hapa si lazima ifike 30 mins ndo ijizime inajizima randomly and suddenly

kipendele namba moja ndo chakuzingatia kwako
Kuna laptop ambazo unaweza ku upgrade processor . Kuna laptop ambazo hauwezi kuupgrade processor . laptop yangu ni Acer aspire E1-531 processor ni B960 lakini iliharibaka nikaweka core i3. Lakini naona computer inazima kila baada ya dakika 30.

Je Kuna mtaalamu yoyote ambaye anaweza kusolve ili tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vi-pc vina tatizo la overheating sana.
Unacheza games sana au matumizi yako makubwa kwenye hicho ki-pc ni yapi?
watu wanashindwa kutofautisha elite book na probook


elitebook ni kwa ajir ya matumizi mepesi ya kawaida, na sio ya kutumika kwenye mazingira magumu



probook ni kwa ajiri ya kazi kubwa na ngumu kulingana na uwezo wa processor pia, then hizi computer zoote ni used na ukiangalia processor zake ni generation za zamani ambazo kuna software za kisasa ni nzito,
hivo yanapata sana moto hata ukiisafisha na ukapaka heatsink fluid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wanashindwa kutofautisha elite book na probook


elitebook ni kwa ajir ya matumizi mepesi ya kawaida, na sio ya kutumika kwenye mazingira magumu



probook ni kwa ajiri ya kazi kubwa na ngumu kulingana na uwezo wa processor pia, then hizi computer zoote ni used na ukiangalia processor zake ni generation za zamani ambazo kuna software za kisasa ni nzito,
hivo yanapata sana moto hata ukiisafisha na ukapaka heatsink fluid

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly.
Hivi vi-pc vinawavutia wengi kwa sababu unakuta kingine kina iCore 7 4th generation.
Sasa jaribu kukifanyisha kazi nzito kina heat ni balaa and kwa kuwa wengi hatujui kufanya cooling chumba kina joto au baridi ambalo haliwezi kufanya cooling ya kueleweka basi ni kina heat kiasi kwamba ukikinyanyua hilo eneo huweki mkono.
.
Na hapa ndipo vinapoanziaga kuzima sijawahi kuona mtu mwenye hiki ki-pc na hakijawahi kuzima tu chenyewe gamer akiwa na haka kanamfia anaona.
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu (zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya.

Karibuni sana wakuu

Pirate
kk me computer yang ina tatz la kujizima zima alf mlango unagoma kutoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu
finally hapo sasa maelezo yametosha kujua tatizo


1. ukiona taa ya chaja inawaka ujue 19volts rail na startup chip iko ok
2.kwa hapo sasa tatizo liko kwenye CHIPSET(NORTH BRIDGE), MEMORY AU CPU

ss kikawaida kama sio fundi sina namna hapo ya kukuelekeza kwa sabab hautanielewa

kwanza inabid kuingiza umeme mdogo kwenye motherboard (chini ya volt 10) ili kuangalia ni kama inashot au la, kwenye hayo maeneo tarajiwa,

pia unaweza tumia multimeter kuangalia short kwa kutumia diode mode au resistance mode



ukishapata eneo lenye shorts ss una narrow down na kuanza kupima pcb compents za eneo lenye shot
-mosphets
-ceramic capacitors
-power suplies
-electrolytic capacitors

hvo ndo mara nyingi vinakuwa na shida



tatizo la computer hizo mara nyingi huwa ni kupata joto kupita kiasi kupelekea kuunguza vital components

i hope i helped, kama si rahisi kuelewa mpelekee fund aliyekaribu na ww

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unatumia windows ngap, na antivirus aina gani,

na ukiplay ina display error gani

mwisho taja specifications za computer yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Window 10
Window defender sijatumia ant-virus nyingine
Nikiplay haionyeshi chochote inakuwa kama inataka kufunguka halafu inakata hapohapo

Ram 8gb
Card reader ni hd 1gb
Processor nimesahau
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu (zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya.

Karibuni sana wakuu

Pirate
Nina pc hp ram 4 gb cpu processor 2.0Ghz storage 212...nlipandishiwa window from 7 to 10.from ther ikakataa kuinstall vlc,microsoft office na software zngne..jamaa aliyepga window akasema ina virus kwa hyo haiwez kuwekwa /kuinstall software.naomba msaada nifanye nin Niweke window 10 ifanye kazi vizuri?
 
Ukitaka Kufanya Installation Inakwambiaje?

Kama Alifanya Clean Installation
(Alifuta Hiyo Partition Yenye OS Ya Awali, Basi Hao Virus Wametoka Kwenye Software Zake)

Ila Kwa Experience Yang Basic Software Kama VLC Na MS Office Hazihitajigi Requirement Nyingi.

Tatizo La Software Ambazo Hazipo Intergrated Na Motherboard Components Mfano: GPU Kama Games, Linaanziaga Na Tarehe Kuwa Wrong

Cha Kufanya:
Tupigie Picha Ikionyesha Hiyo PC Error Unayoipata Unapofanya Installation Ya Hizo Software

Regards

Mtwara Smart
Nina pc hp ram 4 gb cpu processor 2.0Ghz storage 212...nlipandishiwa window from 7 to 10.from ther ikakataa kuinstall vlc,microsoft office na software zngne..jamaa aliyepga window akasema ina virus kwa hyo haiwez kuwekwa /kuinstall software.naomba msaada nifanye nin Niweke window 10 ifanye kazi vizuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
da irritant boy nna Pc yangu ambayo ni Toshiba. Nimekuwa nikitumia windows 10 kwa muda sasa. Tatizo ni kwamba betri yake life span naona ishafika zero kwa maana haitunzi charge. Sasa naweza Hibernate mara nyingi huwa si-shut down, nikakaa hata siku 4 sijaiwasha. Siku nikija kuiwasha au labda ilijizima baada ya umeme kukatika huwa Kuna mlio Fulani inatoa kama king'ora hivi. Ukiizima na kuwasha tena inawaka vizuri tu pasipo huo mlio. Je, tatizo linaweza kuwa ni nini ?

Tatizo jingine ni kwenye Keyboard mfano kwa sasa Escape haifanyi kazi. Nawezaje kufix hili ?
 
Ukitaka Kufanya Installation Inakwambiaje?

Kama Alifanya Clean Installation
(Alifuta Hiyo Partition Yenye OS Ya Awali, Basi Hao Virus Wametoka Kwenye Software Zake)

Ila Kwa Experience Yang Basic Software Kama VLC Na MS Office Hazihitajigi Requirement Nyingi.

Tatizo La Software Ambazo Hazipo Intergrated Na Motherboard Components Mfano: GPU Kama Games, Linaanziaga Na Tarehe Kuwa Wrong

Cha Kufanya:
Tupigie Picha Ikionyesha Hiyo PC Error Unayoipata Unapofanya Installation Ya Hizo Software

Regards

Mtwara Smart


Sent using Jamii Forums mobile app
Wakijaribu kuinstall inaonesha error na kwa sasa sipo nayo karibu ila nkisafiri nitatuma picha mkuu.shukran ase
 
tatizo linasababishwa na oveclocking ya cpu

1.cpu ina speed kubwa kuliko the processing bridges, hasa bridge ya kaskazini

2.pia processor inazalisha joto kubwa sana, japo hapa si lazima ifike 30 mins ndo ijizime inajizima randomly and suddenly

kipendele namba moja ndo chakuzingatia kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
Ya mda mwingine huwa inaweza zima after 24 second. Vipi hamna program ya kuhack iyo system clock ili iyo processocer iwe compatible

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom