da irritant boy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 402
- 444
kama inaunguruma sana ni mambo mawili lakin kwa haraka haraka, nadhan fanya kuisafisha itakaa poaPC yangu n aina ya Fujitsu FMV-718NU4 ya kichina China hv tatzo lake n kama hvo kwny picha ila sahv imezima display haionyesh kitu ila feni imaunguruma sana tu naomben msaada tatzo lnaezakua nn View attachment 1442487View attachment 1442490
Sent using Jamii Forums mobile app
ilishawah kutengenezwa motherboard before???Laptop yangu feni inapiga kelele ukisha iwasha tu lakini haichemki shida inaweza kuwa nn?
swali namba mojaPc aina Toshiba R930 inagoma kuconect hdmi to flat sijajua shida natumia window 10 pro
Sent using Jamii Forums mobile app
njoo nkupatie permanent activator kwa mailSalaam wakuu, mie shida yangu ni kuactivate microsoft office 2010 katika pc yangu. Sina product keys. Msaada tafadhali.
pm email yako nkufowadie freeSalaam wakuu, mie shida yangu ni kuactivate microsoft office 2010 katika pc yangu. Sina product keys. Msaada tafadhali.
kuna softwate umeiinstal hivi karibuni inaizid pc uwezo kwa features flaniwakuu nimekutana na hii changamoto msaada wenuView attachment 1449258
Sent using Jamii Forums mobile app
mayai haya, housing zake za moto maana asilimia nyingi zimeshafunuka kutokana na hinges zake na kava la juu kuwa laini mnoHabari za humu wakuu.... Ninahitaji housing ya Lenovo G50!
"utamu wa uji ni kutingisha bakuli"
tumia SDI au DRIVERPACK,Nirekebishe vipi graphics baada ya kupiga window
Maandishi yamekuwa makubwa mno
Nmeshusha windows 10
Sent using Jamii Forums mobile app
righ click kisha turn on bitlockerninataka local disc C na D niziwekee password ,msaada jamani
Swal number mojaswali namba moja
je una uwezo wa kupunguza na kuongeza mwanga kwenye laptop yako???
swali namba mbili
ukiplay videp haziwi pixeleted yani kama inascratch hivi???
kama hayo mswali majibu yake ni ndio bhasi fanya uka update driver ya graphics na itakubali ku display kwa hdmi
lakini pia bonyeza button ya windows na heruf p kwa pamoja kisha chagua duplicate inawezekama imesetiwa kwenye primary display only
Sent using Jamii Forums mobile app
Fungu control pannel,fungua mouse kuna stting zichee pale mwenyew yangu ilizingua ila now iko pouaMsaada maelezo mkuu.
hewalaah sasa hapo inabid uupdate driver ya graphics tatizo litaisha na utakuwa na uwezo wa kuconnect kwenye tv yakoSwal number moja
Kupunguza na kuongeza siwez
Swal no 2
Haijawah kuscratch labda video yenyewe iwe na shida
No 3
Window button + p keys inaleta jibu
Your PC can't project to another screen,try reinstalling the driver or using different video card
Still nahitaj msaada wako ka unaweza kunielekeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sijawahi na haijawahi kuguswa na fundi, ina miaka 4 sasa au ndio imechoka ni acerilishawah kutengenezwa motherboard before???
hiyo hali huwa inatokea ukitwist positive ya feni kutoka 3.3v utumie 5v
au pia huwa inasababishwa na settings za bios kaangalie vizur
Sent using Jamii Forums mobile app
basi fanya kubadirisha feniHapana sijawahi na haijawahi kuguswa na fundi, ina miaka 4 sasa au ndio imechoka ni acer
Naomba msaada pc yangu imezingua
Black screen na vertical linesView attachment 1512823
PC yangu baazi Ya key pad hazitokei