Tatizo lolote la PC/device

Nn husababisha umemewa vcc core kupotea?
mkuu habari, vcc kupotea kuna uwezo mkubwa wa sababu mbili...,

CPU kuwa na short ndio maana umeme unapotea wenyewe, na kupata uhakika hapo lazima uipime VCORE.
Au CPU imekufa.
 
mkuu ni hp model gani?? kwasabab kuongeza mwanga basics kwenye hp ni f2 na f3
 
yes inawezekana mkuu, tafuta recovery software mfano Easus ila lamia upate ambayo ipo full ndio itafanya kazi freshi, na pia inatakiwa ufanyie recovery pembeni mfano external hdd usifanyie kwenye pc hiyo hiyo.
 
hizo zimezuiiwa na administrador usifanye changes yoyote, na njia ya kufanya lamia utoe hiyo system uweke nyingine, au kama ataweza kukutumia admin password ubadilishe settings.

Samahan mkuu naomba unielekeze njia ya kutoa hyo system na je nikipiga windows nyingine itaweza kufanya kazi vyema ingawa usb yake ndo inachangamoto au kama kuna njia nyingine naomba plz
 
Wakuu mimi Pc yangu haipeleki charge ni HP, kuna jamaa kanambia sijui motherbody imekufa, hapa nataka niachane nayo ila ina mwaka mmoja tu [emoji52]
 
Samahan mkuu naomba unielekeze njia ya kutoa hyo system na je nikipiga windows nyingine itaweza kufanya kazi vyema ingawa usb yake ndo inachangamoto au kama kuna njia nyingine naomba plz
yes piga windows nyingine.
 
Wakuu mimi Pc yangu haipeleki charge ni HP, kuna jamaa kanambia sijui motherbody imekufa, hapa nataka niachane nayo ila ina mwaka mmoja tu [emoji52]
kutopeleka moto kwa pc aisababishwi na motherboard peke ake, muda mwingine uwa inasababishwa kati ya charger au battery na kama motherboard basi inawezekana imepiga shoti kwahiyo njia za kupeleka moto zimezingua, na hadi amekwambia ununue nyingine labda kaona ni risk kuitengeneza hiyo mkuu.
 
Jambo mkuu pirate utanisamehe kidogo kwa kiswahili changu cha kikongo

Ok mimi ninatatizo n'a computer DELL juzi nilibadirisha système nilivyo maliza ku instal système Kuna program moja(SMADAV2021) imegoma kutumika
 
Ninatumia PC ya Mcbook Air sasa ni wiki ya pili ina tatizo la kuzima charge ikifika asilimia 70 hivi, hata nikichaji inagoma kuwaka wakati adapta inaonesha kuwa moto umepanda na iko full charge (taa ya kijanni huwaka).

Mfano jana kila nikiwasha inawaka na kuzima huku percentage ikisoma 100. Niliiacha, leo mimeiwasha imewaka na nimeitumia.
Imekuwa ikifanya hivyo mara kwa mara.
Naomba msaada hapo.
 
Jambo mkuu pirate utanisamehe kidogo kwa kiswahili changu cha kikongo

Ok mimi ninatatizo n'a computer DELL juzi nilibadirisha système nilivyo maliza ku instal système Kuna program moja(SMADAV2021) imegoma kutumika

Bila samahani mkuu, kama imegoma inategemeana na version y’a OS y’a hiyo smardav ndio imechangia kugoma kusoma so cheki inayoendana na hiyo OS unayotumia mkuu.
 

Mkuu umejaribu kureset nVram?
Kama bado ni hivi ukiwa unawasha Pc tu bonyeza COmmand, Option, P ,R na inabid uzishikilie kwa muda kidogo hadi utaposikia mlio wa kwanza na wa pili wakati unapowasha pc ndio uziachie kwa pamoja hii uwa inasaidia kuondoa settings zote ambazo zimejisev kwenye memory y’a pc yako na pia inasaidia kusolve vitu vingi sana.
 
Tatizo la Pc kustuck ghafla na kutoa mlio flan kama jenereta uku picha ikiganda ni mpaka uzime uchomoe waya wa cable itulie kwa dakika 10-30,ndio uwashe na ukiwasha ukiangalia movie kwa dakika 35 ,tena ina ganda na kutoa mlio usipo izima haiach italia hivyo mpaka siku nzima.

Je hii husababishwa na nini? na tatuaje??
 

Asante ndugu! Nalifanyia kazi kisha nitarudi kwa mrejesho.
 
Msaada wakuu, Disck top computer aina ya Dell imejikata ghafla haionyeshi kwenye screen yake, ila ukiiwasha inawaka vizuri tu kwenye CPU.
Tatizo ilianza kwenye ujumbe ambao computer ilikuwa inanipa kuwa activity Window,
pleas naomba nisaidiwe namna ya kufanya ili iwake kwenye display yake
 
Same problem mkuu, but me Ni Dell Disck top
 
Mjomba upo?ningeomba unisaidie kidogo kuhusu computer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…