Nafurahi hata wewe kaka yangu hilo unalitambua?Huyo ndiyo Babu Aspirin,
Hata hivyo jipe moyo kwani bado watoto wazuri wapo wengi na wengine unawajua mwenyewe...Sina sababu ya kukutajia!!!
Au umesahau?
Babu DC!!
Umeanza lini kuwa abusive?hakuna ujustifiable justification my dear, kama amejustify ina maana ndio justification yenyewe:rant::rant::rant:
ntakutandika bakora asa ivi, naona unaleta utani asubuhi hii:rant::rant::rant::rant:
Kaka,
Haya mambo tunayaongea kutokana na uzoefu au habari za jumla jumla tunaziona na kuzipata kutoka kwenye mazingira yetu. Haina maana kwamba hakuna watu ambao wanaishi maisha yao yote bila kujihusisha na mambo ya cheating...
Ki ukweli wapo wengi sana (na wengine tuko kundi hilo ingawa ni ngumu kumuaminisha mtu mwingine)!!
Ndiyo maana kwenye hili suala namnyooshea mikono NN....Msimamo wake umebaki ni ule ule jana, leo na may be many more years to come!
Babu DC!!
Nafurahi hata wewe kaka yangu hilo unalitambua?
Ni ngumu kumsahau 'mtoto mzuri'...
Aspirin anaifanya ionekane kama vile hakuna mahusiano bila infidelity (Naweza kuwa nakosea kumsoma) ilhali sivyo ilivyo.
thats my girl, sasa tumeelewana; hata mimi niko kwenye hao TUSIOJIHUSISHA KABISA, ASILANI!! ila hapa nazungumzia context yake na kwamba siishi porini
watu tunasahau kabisa post namba wani ya hii sredi, na kuanza kuleta hoja nyingine... nakumbuka thread ya Boss ya namna ya ku-keep nyumba ndogo ilichangiwa; na ya RR ya kupinga nyumba ndogo ilichangiwa... sasa hapa tunataka ku-connect zote mbili ndio tatizo
tumesahau dhima
hapo red hongera mkuu.huwa najiuliza kwanini ufanye kitu unajua kabisa ni kosa na usaliti.mimi nilishajiapiza kama kuna dhambi sitofanya tena ni kutembea na mume wa mtu. hata haina maana ...., sasa tumeelewana; hata mimi niko kwenye hao TUSIOJIHUSISHA KABISA, ASILANI!! ila hapa nazungumzia context yake na kwamba siishi porini
watu tunasahau kabisa post namba wani ya hii sredi, na kuanza kuleta hoja nyingine... nakumbuka thread ya Boss ya namna ya ku-keep nyumba ndogo ilichangiwa; na ya RR ya kupinga nyumba ndogo ilichangiwa... sasa hapa tunataka ku-connect zote mbili ndio tatizo
tumesahau dhima
nyumba ndogo free generation it begins with youDuh, yaani stigma ni kubwa kuliko hali halisi.
MTM nimeiza na 'nataka' jibu hapo juu...
Kaka DC naona umegusia kidogo.
hapo red hongera mkuu.huwa najiuliza kwanini ufanye kitu unajua kabisa ni kosa na usaliti.mimi nilishajiapiza kama kuna dhambi sitofanya tena ni kutembea na mume wa mtu. hata haina maana .
angalia juu kuna post nimemnukuu MTMWapi tena B,
Au nimeanza kung'ang'aniwa na usingizi wa uzeeni asubuhi hii!!
Babu DC!!
nyumba ndogo free generation it begins with you
hapo red hongera mkuu.huwa najiuliza kwanini ufanye kitu unajua kabisa ni kosa na usaliti.mimi nilishajiapiza kama kuna dhambi sitofanya tena ni kutembea na mume wa mtu. hata haina maana .
hapo red hongera mkuu.huwa najiuliza kwanini ufanye kitu unajua kabisa ni kosa na usaliti.mimi nilishajiapiza kama kuna dhambi sitofanya tena ni kutembea na mume wa mtu. hata haina maana .
Umeona eeh! pressure ya nini na kila mtu ana mwili wake?
Waweza epuka pressure lakini ukapata Virus vya HI au Herpatisis
au magonjwa mengine yanayoambukiza kwa njia ya body fluid exchange!
Mimi nilifikiri mkiwa wanandoa mnakuwa mwili mmoja