Tatizo ni nini hasa? Madarasa tayari Wanafunzi hawataki Shule

Tatizo ni nini hasa? Madarasa tayari Wanafunzi hawataki Shule

Mkongwe Mzoefu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
861
Reaction score
2,515
Haya ni maajabu ya Tanzania ya CCM, Sasa hivi inajisifu kujenga madarasa mengi na ya kisasa kwa shule za msingi na sekondari kwa pesa nyingi sana za kukopa, tozo na kodi za kawaida. Pia sasa hivi elimu inasemekana ni bure kote huko yaani msingi na sekondari. Tunawapongeza.

Ajabu ni kuwa kuna wimbi kubwa sana mikoani kwa wanafunzi kugoma kwenda shuleni kwa hayo masomo.

Baadhi ya mikoa walioripoti hadi sasa ni chini ya 50% huku shule moja ya sekondari huko Geita katika wanafunzi 80 waliopaswa kuripoti ni wanne tuu wako shule.

Tatizo ni nini? Mbona taifa linaangamia na waziri mhusika yuko kimya?

Taifa linakubali kuianza safari ya ujingani kimya kimya?
 
Haya ni maajabu ya Tanzania ya CCM, Sasa hivi inajisifu kujenga madarasa mengi na ya kisasa kwa shule za msingi na sekondari kwa pesa nyingi sana za kukopa, tozo na kodi za kawaida. Pia sasa hivi elimu inasemekana ni bure kote huko yaani msingi na sekondari. Tunawapongeza.
Ajabu ni kuwa kuna wimbi kubwa sana mikoani kwa wanafunzi kugoma kwenda shuleni kwa hayo masomo.
Baadhi ya mikoa walioripoti hadi sasa ni chini ya 50% huku shule moja ya sekondari huko Geita katika wanafunzi 80 waliopaswa kuripoti ni wanne tuu wako shule.
Tatizo ni nini? Mbona taifa linaangamia na waziri mhusika yuko kimya?
Taifa linakubali kuianza safari ya ujingani kimya kimya?
Waziri wa Elimu hapeleki mwanae shule ya umma. Wananchi hawshamasishwi umuhimu ws elimu kwa sababu wslioelimika na kuongoza nchi wsnafanya mambo hata punguani hathubutu kufanya.

Ni laana yetu hii. Tukae chini fumuombe Mungu toba kwa kumaanisha.

Tusitishe mwenge wa uhuru kwani ni tambiko la mizimu
 
Swala la mtoto kusoma hizo dumu Fagio nadhani ni upuuzi namba moja shule chafu za hovyo
 
Mi nadhani ni kushuka kwa faida zitokanazo na mtu kupata Elimu ya Sekondari hapa nchini

Wote wanaosoma sekondari wanaamini wanapomaliza wanaweza kupata ajira au wakijiendeleza kidogo kwenye vyuo vya kati pia wanaweza kuzipata hizo ajira

Sekta kubwa inayoweza kuajiri kwa sasa ni Ualimu na vacant zipo na ndio hawaajili

Sasa mtu kashafuta zake ujinga Std VII kwanini aendelee na gharama zisizolipika wala matarajio hamna?

Ushauri ni mrahisi tu; serikali ianze kuziamsha na kuziibua sekta zinazoajili watu sana kwa utatuzi wa muda mfupi mfano ualimu na nafasi zipo sana tu

Ila kwa utatuzi wa muda mrefu; Lazima ifike mahali Elimu yetu ijikite kwenye kumuandaa mwanafunzi kujitegemea na sio kuajiriwa
 
Mwanafunzi anamuona rafk yake anaendesha boda , amenunua kiwanja na watoto wazur anawalamba , akiangalia home Kaka yake aliyemaliza chuo yupo yupo Tu nyumban haeleweki umri umesonga na Hana Raman yyte ya maisha Zaid ya kutokea wadogo zake .... Lazima wakimbie tuu skul
 
Elimu ya bongo imeshakosa mvuto,graduates wengi wapo majumbani wadogo zao wanaona kaka na dada zao wapo tu hawana la kujivunia na usomi wao wa vidato,hata wazazi wengi wameona shule imekua sehemu ya kupoteza muda na mali.
 
Haya ni maajabu ya Tanzania ya CCM, Sasa hivi inajisifu kujenga madarasa mengi na ya kisasa kwa shule za msingi na sekondari kwa pesa nyingi sana za kukopa, tozo na kodi za kawaida. Pia sasa hivi elimu inasemekana ni bure kote huko yaani msingi na sekondari. Tunawapongeza.
Ajabu ni kuwa kuna wimbi kubwa sana mikoani kwa wanafunzi kugoma kwenda shuleni kwa hayo masomo.
Baadhi ya mikoa walioripoti hadi sasa ni chini ya 50% huku shule moja ya sekondari huko Geita katika wanafunzi 80 waliopaswa kuripoti ni wanne tuu wako shule.
Tatizo ni nini? Mbona taifa linaangamia na waziri mhusika yuko kimya?
Taifa linakubali kuianza safari ya ujingani kimya kimya?
Kwani si ni haohao viongozi wa serikali wanasimama majukwaani wakisema hakuna ajira vijana waliosoma wajiajiri walitegemea nini.

Pili kwa sasa umuhimu wa kusoma unapungua sana hasa kwa aina ya mitaala iliyopo wakati mtaa unafursa nyingi mfano kuna bodaboda, mikopo kwa wajasiriamali wadogo, betting na n.k hivi vitu vinawafanya vijana kuvutiwa huko kuliko elimu.

Na tatu ni elimu bure (wakati shuleni michango ni mingi) ..ukishusha kitu thamani hakitakaa kuheshimika tena. wazazi wengi wamekariri elimu ni bure basi uwajibikaji kwa watoto wao umepotea kabisa mtoto anatakiwa kuriport hata uniform hana bad enough mzazi anakutana na michango mingi shuleni.

Shule inapaswa kuwa sehemu ya kumvutia mtoto na sio kumlazimisha kwenda.
 
Tatzo
Waliana kuboresha majengo/miundombin , unapotak kuboresha elimu boresh vyote kwa pamoja kama maish ya watu nidhamu za wanafunz , boresh mazngr ya wafanyakazi

Elimu haitokuj kaa sawa kama mwenendo wa maadali ya wanafunz utakuw F kuanzia nyumbn kuj shule
 
Nachoelewa kuwa Elimu sio madarasa.
Wao wanaamini kuwa na madarasa mengi ndio kukuza elimu.
Kwa hapa tulipo Sasa watoto na vijana hawana Imani na elimu.
Tatizo ni wao wenyewe walioko na mamlaka.
 

Attachments

  • Screenshot_20230111-081237.png
    Screenshot_20230111-081237.png
    201.5 KB · Views: 1
Kila siku wanaambiwa hakuna ajira, unawezaje kulima shamba wakati huna uhakika wa mbolea. Si bora umfundishe ujasiriamali, baada ya miaka 4 anatembelea ndinga Kali, wakati wenzake bado wapo kidato cha NNE.Hayo ndio mawazo yetu sisi wakinga
 
Kusema cha ukweli elimu imeleta majuto kwa wengi. Wasomi walifika mahali wakaonekana kama wametoroka mirembe ikaonekana vijana walioendelea na mambo ya ufugaji na kilimo wameenda vizuri.

Itahitaji juhudi kuwaaminisha watanzania haswa vijijini kwamba elimu ina maana. Sio kwa nadharia bali kwa vitendo. Yaani miaka unayokaa bila ajira ni sawa na gereza la Guantanamo.

Nalaani miaka iliyopita pasipo watoto wa masikini kupewa fursa. Narudia NALAANI NALAANI NALAANI. ndio mana Mungu akafanya aliyofanya.
 
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wasome Ili iweje akati kaka zao wamesoma hadi vyuo wanawaona wanagombana na mazao nyumbani
 
Haya ni maajabu ya Tanzania ya CCM, Sasa hivi inajisifu kujenga madarasa mengi na ya kisasa kwa shule za msingi na sekondari kwa pesa nyingi sana za kukopa, tozo na kodi za kawaida. Pia sasa hivi elimu inasemekana ni bure kote huko yaani msingi na sekondari. Tunawapongeza.

Ajabu ni kuwa kuna wimbi kubwa sana mikoani kwa wanafunzi kugoma kwenda shuleni kwa hayo masomo.

Baadhi ya mikoa walioripoti hadi sasa ni chini ya 50% huku shule moja ya sekondari huko Geita katika wanafunzi 80 waliopaswa kuripoti ni wanne tuu wako shule.

Tatizo ni nini? Mbona taifa linaangamia na waziri mhusika yuko kimya?

Taifa linakubali kuianza safari ya ujingani kimya kimya?
Kinachowatatiza wanafunzi ni NJAA wawapo shuleni,

Wawapo likizo, angalau wanapata mlo mmoja nyumbani,

Tatizo linakuja wakienda shule, asubuhi Hadi jioni wanashinda njaa. Wazazi hawana pesa za kuwapa wanafunzi wawapo shule.

Tuiondoshe CCM madarakani haraka Iwezekanavyo Nchi ipone.
 
Back
Top Bottom