Kinachowatatiza wanafunzi ni NJAA wawapo shuleni,
Wawapo likizo, angalau wanapata mlo mmoja nyumbani,
Tatizo linakuja wakienda shule, asubuhi Hadi jioni wanashinda njaa. Wazazi hawana pesa za kuwapa wanafunzi wawapo shule.
Tuiondoshe CCM madarakani haraka Iwezekanavyo Nchi ipone.