Tatizo nyota au? Ni wiki sasa Jealous ya Alikiba haijashika namba 1 trending licha ya views nyingi

Tatizo nyota au? Ni wiki sasa Jealous ya Alikiba haijashika namba 1 trending licha ya views nyingi

Sponsored product ads should get the best palace in the store, which means for search result pages- the first result.

The advertisers pay to give their products more visibility, and there is no better palace for getting that premium visibility than the top of the page before anything else.

Nb: mondi ana fanbase kubwa zaidi nje kuliko Kiba hivyo hoja yako haina mashiko, ka unabisha Google alafu ulete data hapa kama kuna nchi yeyote jealous imeangaliwa zaidi kuliko iyo

mahaba bana


Nimekuambia kabisa wewe form four, kilichofanya wimbo uwe na watu wengi ni huyo mwimbaji wa Nigeria ambae kwa sasa yuko vizuri kwao!!!

wimbo unaangaliwa sana pia Nigeria, hauwezi kuchukua watazamaji wa Nigeria wakaongea credit kwenye trending Tanzania

wimbo huo pia umeangalia sehemu zingia 90 duniani, so hata kama kina hafahamiki nje....wimbo huu kaung'arisha huyo mnaijeria!!!

sasa story zako za ads sio sijui sporing hazina mashiko

Diamond ka sponsor sana nyimbo zake na vijana wake na bado alikuwa Trending no. 1

acha
 
Tatizo lilianzia hapa👇
Aii si twakesha popo🦇, wakati wanatoka🚶
Aii si twakesha popo🦇, wakati wanatoka🚶
Aii si twakesha popo🦇, wakati wanatoka🚶
Aii si twakesha popo🦇, wakati wanatoka🚶
Iyooooo👀waiona iyo👉, iyo👉, iyo,👉 iyo👉
Wale twaruka priiiii🤸🤣
 

mahaba bana


Nimekuambia kabisa wewe form four, kilichofanya wimbo uwe na watu wengi ni huyo mwimbaji wa Nigeria ambae kwa sasa yuko vizuri kwao!!!

wimbo unaangaliwa sana pia Nigeria, hauwezi kuchukua watazamaji wa Nigeria wakaongea credit kwenye trending Tanzania

wimbo huo pia umeangalia sehemu zingia 90 duniani, so hata kama kina hafahamiki nje....wimbo huu kaung'arisha huyo mnaijeria!!!

sasa story zako za ads sio sijui sporing hazina mashiko

Diamond ka sponsor sana nyimbo zake na vijana wake na bado alikuwa Trending no. 1

acha
Usichokijua wimbo ukiusponsor unapata views wengi bt wanakua inorganic hivo kama kuna wimbo mwingine una organic views na unafanya vizuri hata kama imeizidi views huwezi utoa kwenye trending ndo kilichotokea baina ya Kiba na mondi ila mlokumbatia mateam hua mnakalia kubisha tu bila facts alafu wala hamtaki walau kugoogle mkajifunza
 
mwongo!!! yaani limekutoka tu jibu puuuuuu

Nyie ndo huwa mnakana mpaka mama zenu

usiandike ujinga public hata kama unatumia jina la uongo ni aibu



Trending ni kitu cha nchi fulani na nchi fulani

wimbo wa kiba unaangaliwa na watu wengi wa nje pia kwenye nchi zao, na ni kwa sababu ya collabo na huyo mnigeria.....

Diamond wimbo wake unaangaliwa na wengi wa ndani, akifuatiwa na ali kiba.. .

kuna watu huko chini wana view 48m ila sio watazamaji wa ndani......Trendjng ni idadi ya watazamaji wa mahali husika wanaangalia kwa wingi kiasi gani kwenye video??

usikurupuke kutoa majibu bila utafiti ni uchawi pia
Hivi mnavyosema nyimbo ya alikiba imetazamwa zaid nje mnamaanisha nini?? Na hzo nchi za nje ni zipi?? Maan nyimbo ya diamond imeshika #1 trending kenya, uganda, mozambique na pia imetrend south! Hizi n baadhi tu ya nchi nnazojua mimi!! Sasa hyo ya alikiba ni nje wapi ndo imetazamwa zaid maan hata huko niger alipofanya featuring haijatrend!!
 
Acha ubishi, alichosema jamaa ni moja ya sababu...

View attachment 1885968

Ina maana hao wengi wa nje wameibuka kwenye wimbo wa Jealous?! nataka kusema from nowhere Kiba ameanza kuwa na watazamaji wengi nje kuliko ndani? By the way, Salute haiku-trend?

Listen, watu tunamhifadhi tu Kiba lakini ukweli ni kwamba, hata huko NIgeria ha-trend!! Kumbuka kwamba, Bongo ndo wana vurugu sana na kukimbilia YouTube kuliko Nigeria, na ndo maana records nyingi za 1M huwa zinatokea Tanzania na sio Nigeria!!!

Na mfano halisi kabisa, Naira Marley na Zinoleesky ndio ina-trend namba 1 Nigeria na ipo hewani kwa Saa 17 lakini haijafikisha hata Views 200K!!

Sarkodie na Rollies and Cigars yake ndo inakimbilia 270K hivi sasa na ipo YouTube tangu August 05!!!

Mayorkun mwenyewe huwa anapata views wa kutosha pale tu video zake zinapokuwa posted kwenye Channel ya Label yake (Davido Music World); sasa ndo awe na ubavu wa kupandisha Views za Kiba?!!!

Kwa jinsi Views wa Kiba walivyokuwa wengi within 24 Hours LAZIMA angeingia Trending #1 Nigeria... LAZIMA, lakini hata kwenye Top 10 HAKUGUSA!!

Na hadi ninapoandika, hayupo hata kwenye Top 25!!!

Narudia, tunamtunzia heshima tu kiba lakini ukweli ni kwamba, hata hiyo Top 25 niliyotaja, nimefanya hivyo kwa kumtunzia heshima tu lakini ningetaja namba halisi....!!!
watu mna moyo
nakutumia hela na ya tozo

honestly sojasoma
 


Usichokijua wimbo ukiusponsor unapata views wengi bt wanakua inorganic hivo kama kuna wimbo mwingine una organic views na unafanya vizuri hata kama imeizidi views huwezi utoa kwenye trending ndo kilichotokea baina ya Kiba na mondi ila mlokumbatia mateam hua mnakalia kubisha tu bila facts alafu wala hamtaki walau kugoogle mkajifunza
mtasema yote

mtazoea tu
 
Hivi mnavyosema nyimbo ya alikiba imetazamwa zaid nje mnamaanisha nini?? Na hzo nchi za nje ni zipi?? Maan nyimbo ya diamond imeshika #1 trending kenya, uganda, mozambique na pia imetrend south! Hizi n baadhi tu ya nchi nnazojua mimi!! Sasa hyo ya alikiba ni nje wapi ndo imetazamwa zaid maan hata huko niger alipofanya featuring haijatrend!!
kashika no.1 trending mexico, peru, bolivia, sudan ya kusini, UK na Ghana

ukibisha mchawi
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hivi mnapataga wapi muda wa kufuatilia nyimbo za wasanii huko youtube? Mnalipwa au ni vipi mazee? Tupeane dili kama hii kazi inalipa
 
kashika no.1 trending mexico, peru, bolivia, sudan ya kusini, UK na Ghana

ukibisha mchawi
Nimeangalia hzo nchi zote ngoma ya alikiba haipo trending wala haijawah kuingia!! Usiandike kiushabiki! Af ukiwa unadangaya angalia na vya kudanganya, hv unajua soko la UK lilivyo gumu wewe au unaandika tu??
 
Ukiona wimbo una views nyingi alafu kwenye trending unazidiwa na wimbo wenye views wachache ujue wimbo huo upo sponsored
Duuuh ndio nimejua leo hii hebu fafanua zaidi hapa
 
Acha ubishi, alichosema jamaa ni moja ya sababu...

View attachment 1885968

Ina maana hao wengi wa nje wameibuka kwenye wimbo wa Jealous?! nataka kusema from nowhere Kiba ameanza kuwa na watazamaji wengi nje kuliko ndani? By the way, Salute haiku-trend?

Listen, watu tunamhifadhi tu Kiba lakini ukweli ni kwamba, hata huko NIgeria ha-trend!! Kumbuka kwamba, Bongo ndo wana vurugu sana na kukimbilia YouTube kuliko Nigeria, na ndo maana records nyingi za 1M huwa zinatokea Tanzania na sio Nigeria!!!

Na mfano halisi kabisa, Naira Marley na Zinoleesky ndio ina-trend namba 1 Nigeria na ipo hewani kwa Saa 17 lakini haijafikisha hata Views 200K!!

Sarkodie na Rollies and Cigars yake ndo inakimbilia 270K hivi sasa na ipo YouTube tangu August 05!!!

Mayorkun mwenyewe huwa anapata views wa kutosha pale tu video zake zinapokuwa posted kwenye Channel ya Label yake (Davido Music World); sasa ndo awe na ubavu wa kupandisha Views za Kiba?!!!

Kwa jinsi Views wa Kiba walivyokuwa wengi within 24 Hours LAZIMA angeingia Trending #1 Nigeria... LAZIMA, lakini hata kwenye Top 10 HAKUGUSA!!

Na hadi ninapoandika, hayupo hata kwenye Top 25!!!

Narudia, tunamtunzia heshima tu kiba lakini ukweli ni kwamba, hata hiyo Top 25 niliyotaja, nimefanya hivyo kwa kumtunzia heshima tu lakini ningetaja namba halisi....!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe wa kumtunzia heshima Kiba!! Wonders wonders!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe wa kumtunzia heshima Kiba!! Wonders wonders!!
Hivi hata back in 2014 to 2015 wakati JF kuna ligi kali kati ya Mond na Kiba ulishawahi kuona namsema vibaya Kiba?! Najua Team Kiba kilichokuwa kinawauma ni pale tulipokuwa tunatoa nondo kuhusu Mond, and that's it!!!

Nakumbuka wakati Team Kiba mkishadadia umalaya wa Mond huku mkimuon Kiba mtakatifu, mimi nilikuwa nafahamu wakati huo Kiba alikuwa na watoto 3 kwa mama watatu tofauti, na alikuwa anamtafuna Tunda tena wakati huo Tunda alikuwa kitoto kidogo tu... but I never broke it here!!

Isitoshe, hakuna mpenzi wa muziki Bongo ambae hajawahi kuwa mfuasi wa Kiba kwa sababu ndie hapo b4 alikuwa juu kabla hajaanza ku-flopy kutokana na uzembe wake mwenyewe!!!
 
Hivi hata back in 2014 to 2015 wakati JF kuna ligi kali kati ya Mond na Kiba ulishawahi kuona namsema vibaya Kiba?! Najua Team Kiba kilichokuwa kinawauma ni pale tulipokuwa tunatoa nondo kuhusu Mond, and that's it!!!

Nakumbuka wakati Team Kiba mkishadadia umalaya wa Mond huku mkimuon Kiba mtakatifu, mimi nilikuwa nafahamu wakati huo Kiba alikuwa na watoto 3 kwa mama watatu tofauti, na alikuwa anamtafuna Tunda tena wakati huo Tunda alikuwa kitoto kidogo tu... but I never broke it here!!

Isitoshe, hakuna mpenzi wa muziki Bongo ambae hajawahi kuwa mfuasi wa Kiba kwa sababu ndie hapo b4 alikuwa juu kabla hajaanza ku-flopy kutokana na uzembe wake mwenyewe!!!
Hayo yooote yalisemwa, hakuna lililobakishwa.
 
Hayo yooote yalisemwa, hakuna lililobakishwa.
Issue sio kusemwa bali kusemwa wakati upi; na ndo maana baada ya watu kuweka wazi ndipo simulizi za "utakatifu" wa Kiba zikaishia hapo wakati sie wengine tuliyafahamu hayo hata kabla taarifa hazijawekwa JF!!!
 
Issue sio kusemwa bali kusemwa wakati upi; na ndo maana baada ya watu kuweka wazi ndipo simulizi za "utakatifu" wa Kiba zikaishia hapo wakati sie wengine tuliyafahamu hayo hata kabla taarifa hazijawekwa JF!!!
Utakatifu wa kiba!!!! Kumbe mlikuwa mnamwona ni mtakatifu!!
 
Back
Top Bottom