Tatizo nyota au? Ni wiki sasa Jealous ya Alikiba haijashika namba 1 trending licha ya views nyingi

Tatizo nyota au? Ni wiki sasa Jealous ya Alikiba haijashika namba 1 trending licha ya views nyingi

Ila mashabiki wa mondi bwana!! Ilipokuwa ikisemwa mondi ananunua views mlitetea hadi tone la mwisho kuwa hilo haliwezekani hata iweje! Sasa mbona mmegeuka this time?[emoji848][emoji848]
Au now hilo linawezekana?
 
Utakatifu wa kiba!!!! Kumbe mlikuwa mnamwona ni mtakatifu!!
Kumbe mlivyokuwa mnashadadia the so-called umalaya wa Mond mlikuwa mna maana ipi kama sio mliamini Kiba alikuwa mtakatifu kwa sababu tu mlikuwa hamuwajui mademu wake?!
 
Kumbe mlivyokuwa mnashadadia the so-called umalaya wa Mond mlikuwa mna maana ipi kama sio mliamini Kiba alikuwa mtakatifu kwa sababu tu mlikuwa hamuwajui mademu wake?!
Labda wewe ndio ulimwona mtakatifu.
 
Ila mashabiki wa mondi bwana!! Ilipokuwa ikisemwa mondi ananunua views mlitetea hadi tone la mwisho kuwa hilo haliwezekani hata iweje! Sasa mbona mmegeuka this time[emoji848][emoji848]
Au now hilo linawezekama?
Tofautisha kati ya organic na inorganic views!!! Ukinunua inorganic views utaumbuka tu, ndo hapo unakuta mtu anakimbiza lakini kwenye trending hayupo kwa sababu ni inorganic views!!!

And guess what... kuna mjanja mmoja hivi sasa ndo anafanya hiyo shughuli US, na inaelekea Google bado hawajaweza kugundua ujanja wake lakini kwa zamani, hao inorganic views walikuwa hawadumu more than 24 hours kabla hawajafyekwa!!!
 
Labda wewe ndio ulimwona mtakatifu.
Mimi ndo nimuone mtakatifu wakati nilikuwa kwenye music industry since early 2000's na hivyo nilikuwa nayajua mambo yake ay ndani ambayo wengine mlikuwa hamyajui!! Na mlikuwa hamyajui kwa sababu kwa asili Kiba ni very secretive!!
 
🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
36cb13ae-f6c6-40f3-9aa3-788011de17f2.png
 
Tofautisha kati ya organic na inorganic views!!! Ukinunua inorganic views utaumbuka tu, ndo hapo unakuta mtu anakimbiza lakini kwenye trending hayupo kwa sababu ni inorganic views!!!

And guess what... kuna mjanja mmoja hivi sasa ndo anafanya hiyo shughuli US, na inaelekea Google bado hawajaweza kugundua ujanja wake lakini kwa zamani, hao inorganic views walikuwa hawadumu more than 24 hours kabla hawajafyekwa!!!
Haya yanawezekana sasa hivi kwa kiba tu eeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tunamtunzia heshima my foot.

Unabana pua kudai unamtumzia heshima mtu ambaye hafahamu hata kuna existence ya kiumbe chenye chuki kama wewe. Embu acha kumtunzia heshima tuone nini kitatokea.

Unajipa umuhimu ambao huna mshamba wewe. Unabana pu -tunamtumzia heshima-
Wewe mwenyewe huna heshima utamtuzia nani? Get lost mshamba
Acha kujifanya unanijua, dadangu!!
 
Mimi ndo nimuone mtakatifu wakati nilikuwa kwenye music industry since early 2000's na hivyo nilikuwa nayajua mambo yake ay ndani ambayo wengine mlikuwa hamyajui!! Na mlikuwa hamyajui kwa sababu kwa asili Kiba ni very secretive!!
Wacha we!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haya yanawezekana sasa hivi kwa kiba tu eeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi kusoma hujui hata picha ukutani huzioni?!

Kuna wakati Diamond wimbo wake ulikuwa na views wa kutosha halafu ukaashindwa ku-trend?! Ingia hata YouTube trending ya Ningeria, utakuta nyimbo pekee zilizo kwenye trending list ni za Diamond!!!

FYI, huyo Kiba mnayedanganyana hapa eti hayupo trending kwa sababu views wake ni wa Nigeria, huko HAYUPO hata kwenye Top 500!!!

Ujinga aliofanya Kiba ni kama ambao aliufanya Konde Boy wiki chache zilizopita!!! Alikuwa na views wa kumwaga lakini alishindwa kumtoa hata Zuchu kwenye #1
 
Hivi kusoma hujui hata picha ukutani huzioni?!

Kuna wakati Diamond wimbo wake ulikuwa na views wa kutosha halafu ukaashindwa ku-trend?! Ingia hata YouTube trending ya Ningeria, utakuta nyimbo pekee zilizo kwenye trending list ni za Diamond!!!

FYI, huyo Kiba mnayedanganyana hapa eti hayupo trending kwa sababu views wake ni wa Nigeria, huko HAYUPO hata kwenye Top 500!!!
Inauma eeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We kashinde youtube ukiview bwana, muendelee kutrend[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Now let's get back to business...

Kwanini Kiba hayupo trending pamoja na kuvuna Views wa kutosha within 24?!
 
Wacha ushamba wewe.

Inorganic traffic hata google wenyewe wanaijua. In fact, google ndo unawalipa wao kuu promote wimbo wako kwenye channel mbali mbali.

Issue ya trending ipo ki nchi. Kama Mondi na Kiba wote wamepata views milioni 5 lakini katika hizo Kiba amepata milioni 2.7 tanzania na the rest Nigeria kwa mfano, then Mondi milioni 3 katika 5 ni za Tanzania, ni obvious Mondi ndo ata trend juu.

Kama hujui kitu ukikaa kimya utafungwa jela wewe jamaa?
We kahaba nimekuambia acha kujifanya unanijua, kima wewe!!! Au unatafuta basha kwa nguvu?
 
Now let's get back to business...

Kwanini Kiba hayupo trending pamoja na kuvuna Views wa kutosha within 24?!
Why you getting jealous[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji443][emoji444][emoji445][emoji442]
 
Back
Top Bottom