#COVID19 Tatizo si chanjo au wananchi, tatizo ni viongozi wetu

#COVID19 Tatizo si chanjo au wananchi, tatizo ni viongozi wetu

baba anjela

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2013
Posts
431
Reaction score
310
Binafsi naona tatizo la baadhi ya watu kugomea chanjo limesababishwa na serikali yenyewe na ( viongozi wa dini). Kwa kawaida kunapotokea upotoshwaji wowote kwa makusudi au kwa Bahati mbaya utakaofanywa na Kiongozi wa serikali. Kinachofata ni uwajibikaji. Kwa kuwajibishwa au yeye kujiwajibisha mwenyewe. Ni vigumu sana kwa MTU yoyote kukubali maelezo Juu ya chanjo yanayotolewa na watu walewale ambao mwanzo walitumia Nguvu kubwa kupinga uletaji wa chanjo na ubora wa chanjo hizo.

Viongozi hawa wangejiuzulu au kuondolewa na serikali kupisha sura Mpya na maelezo mapya Juu ya ukweli wa chanjo.
Bila kufanya hivyo hofu na Mashaka vitaendelea kuwepo ...lakini pia hawa viongozi hawana confidence ya kueleza hiki wanachotueleza sasa...sababu wanazikumbuka kauli zao
  • Walitumia Nguvu nyingi kutuaminisha na tukakubali na kutekeleza..mfano.
  • Nyungu - mpaka Mawaziri, wabunge wanaposti picha wakipiga Nyungu
  • Michanganyiko ya mapilipili, malimao na tangawizi ...tukapata mpaka na vidonda vya tumbo....
  • Ndege ikatumwa kwenda kuleta dawa ya CORONA,,( picha zikatumwa mitandaoni tena si kwa Bahati mbaya ,waziri anakunywa dawa ya CORONA) ....mpaka Leo kimya.
Bado mkapezipeleka lawama kwa waliokwenda nje kuchanjwa mkasema wametuletea CORONA ya Mpya.

UPANDE WA VIONGOZI WA DINI PIA KUNA TATIZO
Viongozi wa dini ...wakatuaminisha tumeomba na CORONA imekwishwa Tanzania. Leo nao wako kimya, wengine kauli zao zimebadilika, Kwani Mungu kabadilika si ni yuleyule kama alituponya CORONA ya kwanza sasa kwa nini tusimwombe tena Juu ya hii KORONA Mpya ...au Magufuli kaondoka na Mungu wake.

Tena viongozi wa dini wakampa Magufuli certificate ya ushindi, kwa kaishinda korona kwa kumtanguliza Mungu mbele. .Narudia viongozi wa dini na wauliza tena ...Magufuli kaondoka na Mungu?

Wananchi tumechezewa sana....hawa viongozi wa serikali wawajibishwe kama kweli viongozi wetu mnatupenda wananchi wenu...
Walichokifanya hawa viongozi hakistahili msamaha hata kidogo.

Na viongozi wa dini Mungu hatowaacha kamwe mlituaminisha CORONA imekweshwa na sadaka za Shukrani kwa Mungu tukatoa na mkazipokea sadaka zetu.

"sasa najiuliza nani anawalinda hawa viongozi wa serikali waliopotosha taifa??" Na je walifanya upotoshaji huu kwa faida ya nani na kwa nini?...Je ni kwa Bahati mbaya au kwa makusudi..?
 
Yaani hapo wangetaka wafanikiwe wangepurunyua wizara ya afya mawaziri na katibu wao yule then wakaingia field upya hapo watu wangechanja.

Huwezi kuhamasisha chanjo mwananchi akaelewa sasa wakati hapo nyuma ni wewe yule yule uliyekuwa unaipinga na kupigia chapuo njia mbadala ikiwemo kujifukiza.

Tanzania hatunaga political responsibility kwenye jamii yetu.
 
Sasa hivi kiongozi wa Dini Ni Gwajima tu.Yeye anasimama pale pale

Wengine wanegeuka . Kiongozi wa serikali anahubiri chanjo na was dini naye anahubiri Chanjo hivi nani wa kuhubiri watu waombr Mungu?

Magufuli tunashukuru kwa Maisha yako ulipoona Kuna ombwe la viongozi wa Dini kutohubiri kuomba Mungu ulienda kwenye nafasi yao haraka ukaishika ukasema watanzania tuingie kuomba Mungu.

Nakupa Taarifa Magufuli huko uliko kuwa Hata Kakobe sasa hivi kageuka kuwa mhubiri wa Chanjo sio maombi Tena.

Magufuli Mwambie Mungu huko aliko kuwa atume watumishi wengine wa kuhubiri kuhusu maombi Tanzania na awaachishe kazi Hawa wengi waliopo wahubiri chanjo.

Tusaidie Magufuli huko uliko kumweleza Mungu.
 
Halaf walivyo wajinga mtu akipinga kwa hoja badala ya kujibu kwa hoja wanajibu kwa vitisho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gwajima stick there

Nchi kwa Sasa Haina kiongozi hata mmoja wa kuhimiza maombi awe wa kisiasa au kidini sio wa Kikristo,kiislamu nk wanaimba chanjo chanjo Chanjo

Litumie hili ombwe kivyovyote
 
Exactly! Hofu ya wananchi kuhusu chanjo inasababishwa na viongozi wenyewe. Mfano siku ile dr sospeter alivyoishiwa nguvu ghafla ktk kongamano la kuhamasisha chanjo.

Haikuwa sahihi kwa viongozi wa ngazi za juu kabisa kuanza kuulizana kama alikuwa amepata chanjo ama la. Jibu lolote ktk swali hili lingezidisha hofu kwa wananchi.

Kama alikuwa kachanja hofu ingezidi maradufu, kama hakuchanja mbona yeye alikuwa mstari wa mbele ktk uhamasishaji.
 
Gwajima stick there

Nchi kwa Sasa Haina kiongozi hata mmoja wa kuhimiza maombi awe wa kisiasa au kidini sio wa Kikristo,kiislamu nk wanaimba chanjo chanjo Chanjo

Litumie hili ombwe kivyovyote
Corona haiangalii wewe ni Kibwetere au hata Kinjeketile Ngwale! ... endeleeni mwisho hauko mbali!
 
Wewe ndio hujielewi. Unaelewa maana ya chanjo inaboost immunity sawa?Au unafikiri inafanya ninin ? unaelewa kzi ya limao, chungwa? je unaelewa hivi muda wote huo huelewi tu uko wapi mwenzetu? Unadhani kwa nini Tanzania, haikuwa na lockdown bado vifo vikawa vichache hivi unalijua hilo? Umelifikiria hilo au unabwabwaja tu? Unajua kwa nini hatukufa sana kwma nchi zinazotunguza we had a Leader who studied Science so he understands waht he was saying. The Leader aliyekuwa mcha Mungu. So yoi can imagine the combination. Kwa hiyo wewe base ti kwenye chanjo somo utalielew baadae.
 
Nyie ndio wanafiki wakubwa MH. Rais alisema msichanje mpaka mjiridhishe na kama hamjajiridhishwa shauri yenu!
 
Sasa hivi kiongozi wa Dini Ni Gwajima tu.Yeye anasimama pale pale

Wengine wanegeuka . Kiongozi wa serikali anahubiri chanjo na was dini naye anahubiri Chanjo hivi nani wa kuhubiri watu waombr Mungu?

Magufuli tunashukuru kwa Maisha yako ulipoona Kuna ombwe la viongozi wa Dini kutohubiri kuomba Mungu ulienda kwenye nafasi yao haraka ukaishika ukasema watanzania tuingie kuomba Mungu.

Nakupa Taarifa Magufuli huko uliko kuwa Hata Kakobe sasa hivi kageuka kuwa mhubiri wa Chanjo sio maombi Tena.

Magufuli Mwambie Mungu huko aliko kuwa atume watumishi wengine wa kuhubiri kuhusu maombi Tanzania na awaachishe kazi Hawa wengi waliopo wahubiri chanjo.

Tusaidie Magufuli huko uliko kumweleza Mungu.
Kilichokwamisha chanjo ni Magufuli alisema hazifai na watu waliokuwa wanamwani Sana,maana alikuwa anachunguza Sana Mambo.

Sasa hawa viongozi waliopo walitakiwa watueleze Sasa imekuwaje zimekuwa salama?

Watupe majibu kwanini chanjo zingine huhitaji kujaza consent form kabla ya kuchanjwa? na hii lazima ujaze kuwa hutaiwajibisha serikali kwa madhara yayoweza tokea?
Siyo kuja na majibu mepesi Kama wanaongea na punguwani eti hiyo form ni kitu Cha kawaida hospitali.
 
Exactly! Hofu ya wananchi kuhusu chanjo inasababishwa na viongozi wenyewe. Mfano siku ile dr sospeter alivyoishiwa nguvu ghafla ktk kongamano la kuhamasisha chanjo.

Haikuwa sahihi kwa viongozi wa ngazi za juu kabisa kuanza kuulizana kama alikuwa amepata chanjo ama la. Jibu lolote ktk swali hili lingezidisha hofu kwa wananchi.

Kama alikuwa kachanja hofu ingezidi maradufu, kama hakuchanja mbona yeye alikuwa mstari wa mbele ktk uhamasishaji.
Walisema alikwenda kupata elimu ya chanjo😁😁😁😁 wao wanafikiri Watanzania ni wajinga wajinga unawageuza kokote unakotaka.

Watatufuta namna ya kumhadaa mzungu kuwa chanjo zimetumika hata kwa kutengeza watu hewa.

Walilikoroga wenye walinywe wenyewe.
 
Binafsi naona tatizo la baadhi ya watu kugomea chanjo limesababishwa na serikali yenyewe na ( viongozi wa dini). Kwa kawaida kunapotokea upotoshwaji wowote kwa makusudi au kwa Bahati mbaya utakaofanywa na Kiongozi wa serikali. Kinachofata ni uwajibikaji. Kwa kuwajibishwa au yeye kujiwajibisha mwenyewe. Ni vigumu sana kwa MTU yoyote kukubali maelezo Juu ya chanjo yanayotolewa na watu walewale ambao mwanzo walitumia Nguvu kubwa kupinga uletaji wa chanjo na ubora wa chanjo hizo.

Viongozi hawa wangejiuzuru au kuondolewa na serikali kupisha sura Mpya na maelezo mapya Juu ya ukweli wa chanjo.
Bila kufanya hivyo ofu na Mashaka vitaendelea kuwepo ...lakini pia hawa viongozi hawana confidence ya kueleza hiki wanachotueleza sasa...sababu wanazikumbuka kauli zao

  • Walitumia Nguvu nyingi kutuaminisha na tukakubali na kutekeleza..mfano.
  • Nyungu - mpaka mawaziri ,wabunge wanaposti picha wakipiga Nyungu
  • Michanganyiko ya mapilipili,malimao na tangawizi ...tukapata mpaka na vidonda vya tumbo....
  • Ndege ikatumwa kwenda kuleta dawa ya KORONA,,( picha zikatumwa mitandaoni tena si kwa Bahati mbaya ,waziri anakunywa dawa ya KORONA) ....mpaka Leo kimya.
-Bado mkapezipeleka lawama kwa waliokwenda nje kuchanjwa mkasema wametuletea KORONA ya Mpya.

UPANDE WA VIONGOZI WA DINI PIA KUNA TATIZO
Viongozi wa dini ...wakatuaminisha tumeomba na KORONA imekwishwa Tanzania. Leo nao wako kimya, wengine kauli zao zimebadilika,Kwani Mungu kabadilika si ni yuleyule kama alituponya KORONA ya kwanza sasa kwa nini tusimwombe tena Juu ya hii KORONA Mpya ...au Magufuri kaondoka na Mungu wake.

- Tena viongozi wa dini wakampa Magufuri certificate ya ushindi, kwa kaishinda korona kwa kumtanguliza Mungu mbele. .Narudia viongozi wa dini na wauliza tena ...Magufuri kaondoka na Mungu?

Wananchi tumechezewa sana....hawa viongozi wa serikali wawajibishwe kama kweli viongozi wetu mnatupenda wananchi wenu...
- Walichokifanya hawa viongozi hakistaili msamaha hata kidogo.

Na viongozi wa dini Mungu hatowaacha kamwe mlituaminisha KORONA imekweshwa na sadaka za Shukrani kwa Mungu tukatoa na mkazipokea sadaka zetu.

"sasa najiuliza nani anawalinda hawa viongozi wa serikali waliopotosha taifa??" Na je walifanya upotoshaji huu kwa faida ya nani na kwa nini?...Je ni kwa Bahati mbaya au kwa makusudi..?


Ni historia nzuri lakini watu inabidi waelewe kitu kimoja hao viongozi wamepiga chanjo na watapona na mwananchi wa kawaidia yuko hatarini kama hajapiga chanjo. Tunatakiwa kufikiria maisha yetu na ndugu zetu tukiweka lawama hazisaidii tuko kwenye vita na huu ugojwa
 
Corona haiangalii wewe ni Kibwetere au hata Kinjeketile Ngwale! ... endeleeni mwisho hauko mbali!
Wazungu na waafrika tunatofautiana immunity kwenye maradhi, mzungu mafua yanamuua Sasa ukigundua chanjo ya mafua unadhani mzungu atachanja ?

Corona ugonjwa wa wazungu ,wachina na ngozi nyeupe kwao wanakufa hovyo .Ni kawaida kukuta mtu anaanguka tu barabarani kwa tatizo la upumuaji sio mmoja sio wawili ni kwa mamia .Wanaanguka tu iwe Italia,ulaya , Asia,au America kusini au kaskazini

Mama Samia hajatutendea haki
Sikatai kunaweza kuwa case Moja mbili tatu lakini kukomalia kila mtu achanje wakati immunity ya waafrika na wazungu tunatofauiana huyu mama na Mulalamula wake balozi wa mambo ya Nchi za nje wa corona Mungu awalaani nyie na vizazi vyenu kwa hili mlilotufanyia watanzania wakati mnajua immunity yetu iko tofauti na wazungu

Mungu huko uliko usije sahau kibaya Cha chanjo mama Samia na Mulalamula walichotufanyia watanzania pia usiwasahau washiririka wao wanaolazimisha chanjo .Ukiwa na adhabu yoyote washushushie wawe watanzania au la.Wawe ndani ya Nchi au la washushushie adhabu ya ghadhabu yako wao na vizazi vyao kwa Jina la Yesu
 
Sasa hivi kiongozi wa Dini Ni Gwajima tu.Yeye anasimama pale pale

Wengine wanegeuka . Kiongozi wa serikali anahubiri chanjo na was dini naye anahubiri Chanjo hivi nani wa kuhubiri watu waombr Mungu?

Magufuli tunashukuru kwa Maisha yako ulipoona Kuna ombwe la viongozi wa Dini kutohubiri kuomba Mungu ulienda kwenye nafasi yao haraka ukaishika ukasema watanzania tuingie kuomba Mungu.

Nakupa Taarifa Magufuli huko uliko kuwa Hata Kakobe sasa hivi kageuka kuwa mhubiri wa Chanjo sio maombi Tena.

Magufuli Mwambie Mungu huko aliko kuwa atume watumishi wengine wa kuhubiri kuhusu maombi Tanzania na awaachishe kazi Hawa wengi waliopo wahubiri chanjo.

Tusaidie Magufuli huko uliko kumweleza Mungu.

..Magufuli alitakiwa ahubiri kujikinga na chanjo, lakini yeye akaenda kuvamia mahubiri na maombi.

..Labda Magufuli alikuwa anajiandalia makaazi mbele ya HAKI, lakini huku nyuma ameicha serikali katika wakati mgumu kuhusu COVID-19.
 
..Magufuli alitakiwa ahubiri kujikinga na chanjo, lakini yeye akaenda kuvamia mahubiri na maombi.

..Labda Magufuli alikuwa anajiandalia makaazi mbele ya HAKI, lakini huku nyuma ameicha serikali ktk wakati mgumu kuhusu covid-19.
Aliona viongozi wa dini hasa dini yake Katoliki hakuna anayehubiri kuomba Mungu wote wako na barakoa tu wakati chanjo haikuwepo na hakukuwa na solution yeyote iliyokuwepo ukitaka afanyaje aangalie tu wananchi wake wakifa wakati HHakuna chanjo wala dawa iliyogunduliwa Wakati ule? Ndio maana akasema tuombe Mungu akaenda Madagascar kutafuta chochote tupone akaongea na ma doctor jamani Ina maana wananchi wangu wafe tu ndio wakaja na kujifukiza na NIMRI na kijuice Cha malimao nk tukanusurika .Sawa wanasema wazungu ok haxikuwa scientific Ni ushirikina mbona tulipotumia hatukufa hovyo mabarabarani Kama wao ulaya? Na marekani kwa wanasayansi?

Kama solution un scientific isoyo na proof yeyote ilitusaidia huyu Mama Samia na Mulalamula kwa Nini watuletee foreign grown solution? Wakati tulikiwa na solution yetu iliyotusaidia?
 
Aliona viongozi wa dini hasa dini yake Katoliki hakuna anayehubiri kuomba Mungu wote wako na barakoa tu wakati chanjo haikuwepo na hakukuwa na solution yeyote iliyokuwepo ukitaka afanyaje aangalie tu wananchi wake wakifa wakati HHakuna chanjo wala dawa iliyogunduliwa Wakati ule? Ndio maana akasema tuombe Mungu akaenda Madagascar kutafuta chochote tupone akaongea na ma doctor jamani Ina maana wananchi wangu wafe tu ndio wakaja na kujifukiza na NIMRI na kijuice Cha malimao nk tukanusurika .Sawa wanasema wazungu ok haxikuwa scientific Ni ushirikina mbona tulipotumia hatukufa hovyo mabarabarani Kama wao ulaya? Na marekani kwa wanasayansi?

Kama solution un scientific isoyo na proof yeyote ilitusaidia huyu Mama Samia na Mulalamula kwa Nini watuletee foreign grown solution? Wakati tulikiwa na solution yetu iliyotusaidia?
Hawa jamaa wanaelewa ila wanachokifanya ni kupambana na mtu aliyetangulia mbele ya haki.
 
Aliona viongozi wa dini hasa dini yake Katoliki hakuna anayehubiri kuomba Mungu wote wako na barakoa tu wakati chanjo haikuwepo na hakukuwa na solution yeyote iliyokuwepo ukitaka afanyaje aangalie tu wananchi wake wakifa wakati HHakuna chanjo wala dawa iliyogunduliwa Wakati ule? Ndio maana akasema tuombe Mungu akaenda Madagascar kutafuta chochote tupone akaongea na ma doctor jamani Ina maana wananchi wangu wafe tu ndio wakaja na kujifukiza na NIMRI na kijuice Cha malimao nk tukanusurika .Sawa wanasema wazungu ok haxikuwa scientific Ni ushirikina mbona tulipotumia hatukufa hovyo mabarabarani Kama wao ulaya? Na marekani kwa wanasayansi?

Kama solution un scientific isoyo na proof yeyote ilitusaidia huyu Mama Samia na Mulalamula kwa Nini watuletee foreign grown solution? Wakati tulikiwa na solution yetu iliyotusaidia?

..yule alikuwa na matatizo na wazungu.

..aligeuza covid-19 kuwa uwanja wake wa kushindana na wazungu.

..wazungu wangesema wamuombe MUNGU yeye angesema tuvae barakoa.

..dunia nzima inatumia barakoa halafu yeye peke yake anajidai kidume kupinga barakoa.
 
Back
Top Bottom