#COVID19 Tatizo si chanjo au wananchi, tatizo ni viongozi wetu

#COVID19 Tatizo si chanjo au wananchi, tatizo ni viongozi wetu

Hawa jamaa wanaelewa ila wanachokifanya ni kupambana na mtu aliyetangulia mbele ya haki.
Magufuli alikuwa hata zaidi ya kiongozi wake papa na maaskofu alikataa lockdown na kuzuia ibada

Wakati papa alijifungia ndani akisalisha online kuogopa corona!!

Hata Askofu wake Chato alifunga makanisa watu wasiende kysali kisa eti Corona .!!!

Hata siku ya mazishi uwanja mzima hakuna mtu alivaa barakoa isipokuwa Askofu katoliki Jimbo la Dar es salaam!!! Na sista aliyeongozana naye na mapadre!!! Waumini wa katoliki Hakuna aliyevaa barakoa!!! Hongera kwa Askofu AliyemIzika Chato raisi wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania hakuvaa barakoa Wala Nini aliona ujinga Askofu una kibarakoa waumini hawana!!!! akili kichwani unazo kweli? Wakati waumini Ni ma doctor , maprofesa nk hawavai barakoa Wala Nini? Hawajui kuhusu Corona?

Magufuli akionyesha wazi kuwa viongozi wengi wa dini hawamtegemei Mungu tumaini lao liko kwenye barakoa na Chanjo

Nenda mikanisa ya katoliki kibao wavaa barakoa Ni.mapadre na Maaskofu sio waumini!!! Ina maana waumini wanamwamini Mungu kuliko Maaskofu na mapadre was katoliki .Na makanisa wanayoyaongoza sio ya laymen Ni ya wasomi wa dunia ikiwemo udaktari lakini unashangaa Askofu na Padre ndie kibarakoa hakimtoki mdomoni.Ina maana kwa Sasa waumini Wana imani kuu kuliko mapadre na Maaskofu!!!

Magufuli ndio aliwahubiria bila kuhubiri
Actions speaks louder than words.Padre au Askofu kuvaa barakoa kwenye ibada iliyojaa waumini wasio na barakoa .It speaks louder than Homilia au mahubiri ya Padre Au Askofu !!!

Magufuli aliwaumbua Maaskofu na mapadre akiwa hai na hata alipokufa Dar aliwaumbua Maaskofu na Mapdre wa Dar kuwa Ni faithless!!!! Ina maana umati wore ule Hakuna aliyejua kuwa mkusanyiko unatakiwa uvae barakoa isipokuwa Askofu na mapadre tu??? Mmmmmm

Magufuli alisoma seminary alijua kukitokea ombwe anatakiwa ku take over hata Kama sio kiongozi wa dini.Sababu wao hawajashika nafasi yao !!!
 
BBC wanakitengo cha fake news; kazi ya hiko kitengo ni kuangalia what is trending on social media ambacho ni upotoshaji.

Wakishabaina wanatumia mbinu mbali mbali za utangazaji (bila ya kumtaja mpotoshaji, they don’t give air time kwa watu wanaotafuta attention).

Kwenye counter argument watatengeneza short documentary kufafanua jambo, kutakua na special programme kuhusu hiyo topic with expert opinions, hilo swala litaongelea kwenye taarifa ya habari watahojiwa wananchi na kupewa elimu, ata kuja tena expert kwenye taarifa habari kufafanua.

Hiyo ni BBC, kutokana umuhimu wake wa propaganda (na vita ya propaganda ilivyo muhimu) BBC ni moja la swala ambalo halipo kwenye devolution ya muungano wa UK yaani England, Scotland, Wales na North Ireland. Lazima irushwe nchi zote, that’s the only way serikali yao inaweza jibu mashambulizi popote especially yale ya uongo ili kuvunja muungano.

Pamoja na BBC kujibu fake news serikali kupitia wizara husika na yenyewe itakuja na communication strategy zake za counter arguments (they will do that anyway bila ya fake news to raise awareness.

Mfano kama issue afya watakuja na health promotion campaign zao wataangalia sources of social influence kupata habari mahala mbali mbali na aina ya wakazi wenyewe level of education ya maeneo na kupanga communication strategy wanazohitaji, maeneo ya vijijini utakuta leaflets, local radio ma-madokta watatakiwa waende kutoa somo.

Kutakuwa na national media campaign kitu kile kinachofanywa na BBC ila wao watatumia vyombo vingine.

Professional bodies zitatakiwa kusaidia yaani MSD nao waje na campaign zao, sijui chama cha madokta, local authorities nao wawe na promotion campaign zao above and below promotion strategies suitable kutokana na tabia mahala husika kufikisha ujumbe (kwa kuzingatia sababu zinazowafanya watu wasifuate medical advice) kama ni culture tafuta namna, kama ni elimu hafifu toa somo, kama sababu za kidini ingiza viongozi wao, kama kuna poor information access kutokana miundombinu ya mawasiliano hakikisha wataalamu wanaingia field.

Hapo wana ma theory yao health promotion luluki Becker 1974 Health Model Belief, Azjen and Fishbein 1980 Reasoned Action, Tonnes 1990 Health Action To name a few. Hayo yote washayatengezea strategy ya kufikisha ujumbe based on theoretical advice.

Halafu wewe unataka shinda hii vita kwa kumtumia Steve Nyerere; mama ongea na mwanao.

The patheticism ya watu wanaotuongoza kwenye hii nchi is beyond me.

These TANU and ASP cadres are outdated hawajui what’s going on dunia ya leo na sio watu kufuatilia what has evolved since their youths.

Come 2025 vijana tusikubali anyone over 55 years kuwa raisi they don’t have it tumechezewa sana kwanza wengi elimu zao kuunga unga tu.
 
Binafsi naona tatizo la baadhi ya watu kugomea chanjo limesababishwa na serikali yenyewe na ( viongozi wa dini). Kwa kawaida kunapotokea upotoshwaji wowote kwa makusudi au kwa Bahati mbaya utakaofanywa na Kiongozi wa serikali. Kinachofata ni uwajibikaji. Kwa kuwajibishwa au yeye kujiwajibisha mwenyewe. Ni vigumu sana kwa MTU yoyote kukubali maelezo Juu ya chanjo yanayotolewa na watu walewale ambao mwanzo walitumia Nguvu kubwa kupinga uletaji wa chanjo na ubora wa chanjo hizo.

Viongozi hawa wangejiuzulu au kuondolewa na serikali kupisha sura Mpya na maelezo mapya Juu ya ukweli wa chanjo.
Bila kufanya hivyo hofu na Mashaka vitaendelea kuwepo ...lakini pia hawa viongozi hawana confidence ya kueleza hiki wanachotueleza sasa...sababu wanazikumbuka kauli zao
  • Walitumia Nguvu nyingi kutuaminisha na tukakubali na kutekeleza..mfano.
  • Nyungu - mpaka Mawaziri, wabunge wanaposti picha wakipiga Nyungu
  • Michanganyiko ya mapilipili, malimao na tangawizi ...tukapata mpaka na vidonda vya tumbo....
  • Ndege ikatumwa kwenda kuleta dawa ya CORONA,,( picha zikatumwa mitandaoni tena si kwa Bahati mbaya ,waziri anakunywa dawa ya CORONA) ....mpaka Leo kimya.
Bado mkapezipeleka lawama kwa waliokwenda nje kuchanjwa mkasema wametuletea CORONA ya Mpya.

UPANDE WA VIONGOZI WA DINI PIA KUNA TATIZO
Viongozi wa dini ...wakatuaminisha tumeomba na CORONA imekwishwa Tanzania. Leo nao wako kimya, wengine kauli zao zimebadilika, Kwani Mungu kabadilika si ni yuleyule kama alituponya CORONA ya kwanza sasa kwa nini tusimwombe tena Juu ya hii KORONA Mpya ...au Magufuli kaondoka na Mungu wake.

Tena viongozi wa dini wakampa Magufuli certificate ya ushindi, kwa kaishinda korona kwa kumtanguliza Mungu mbele. .Narudia viongozi wa dini na wauliza tena ...Magufuli kaondoka na Mungu?

Wananchi tumechezewa sana....hawa viongozi wa serikali wawajibishwe kama kweli viongozi wetu mnatupenda wananchi wenu...
Walichokifanya hawa viongozi hakistahili msamaha hata kidogo.

Na viongozi wa dini Mungu hatowaacha kamwe mlituaminisha CORONA imekweshwa na sadaka za Shukrani kwa Mungu tukatoa na mkazipokea sadaka zetu.

"sasa najiuliza nani anawalinda hawa viongozi wa serikali waliopotosha taifa??" Na je walifanya upotoshaji huu kwa faida ya nani na kwa nini?...Je ni kwa Bahati mbaya au kwa makusudi..?
TUPO DILEMA
 
..dunia nzima inatumia barakoa halafu yeye peke yake anajidai kidume kupinga barakoa.
Mzungu ni Mungu ? Kwa taarifa yako Sisi tulioshirikiana kuomba Mungu na Magufuli tukiomba bila barakoa Corona isotuguse Tanzania Kama ulaya na Marekani nk wakati maaskofu na mapadri ns wachungaji wengi walikuwa wanavaa barakoa Hadi madhabahuni au altareni wakiendesha ibada wakiiogopa Mungu asiwape Corona kwenye altare au madhabahuni hatutavaa barakoa Hadi Mungu ashuke tumuone akiwa Kavaa barakoa ndio tutavaa atuambie Maombi tuliomba Ni hopeless tuvae barakoa
 
Binafsi naona tatizo la baadhi ya watu kugomea chanjo limesababishwa na serikali yenyewe na ( viongozi wa dini). Kwa kawaida kunapotokea upotoshwaji wowote kwa makusudi au kwa Bahati mbaya utakaofanywa na Kiongozi wa serikali. Kinachofata ni uwajibikaji. Kwa kuwajibishwa au yeye kujiwajibisha mwenyewe. Ni vigumu sana kwa MTU yoyote kukubali maelezo Juu ya chanjo yanayotolewa na watu walewale ambao mwanzo walitumia Nguvu kubwa kupinga uletaji wa chanjo na ubora wa chanjo hizo.

Viongozi hawa wangejiuzulu au kuondolewa na serikali kupisha sura Mpya na maelezo mapya Juu ya ukweli wa chanjo.
Bila kufanya hivyo hofu na Mashaka vitaendelea kuwepo ...lakini pia hawa viongozi hawana confidence ya kueleza hiki wanachotueleza sasa...sababu wanazikumbuka kauli zao
  • Walitumia Nguvu nyingi kutuaminisha na tukakubali na kutekeleza..mfano.
  • Nyungu - mpaka Mawaziri, wabunge wanaposti picha wakipiga Nyungu
  • Michanganyiko ya mapilipili, malimao na tangawizi ...tukapata mpaka na vidonda vya tumbo....
  • Ndege ikatumwa kwenda kuleta dawa ya CORONA,,( picha zikatumwa mitandaoni tena si kwa Bahati mbaya ,waziri anakunywa dawa ya CORONA) ....mpaka Leo kimya.
Bado mkapezipeleka lawama kwa waliokwenda nje kuchanjwa mkasema wametuletea CORONA ya Mpya.

UPANDE WA VIONGOZI WA DINI PIA KUNA TATIZO
Viongozi wa dini ...wakatuaminisha tumeomba na CORONA imekwishwa Tanzania. Leo nao wako kimya, wengine kauli zao zimebadilika, Kwani Mungu kabadilika si ni yuleyule kama alituponya CORONA ya kwanza sasa kwa nini tusimwombe tena Juu ya hii KORONA Mpya ...au Magufuli kaondoka na Mungu wake.

Tena viongozi wa dini wakampa Magufuli certificate ya ushindi, kwa kaishinda korona kwa kumtanguliza Mungu mbele. .Narudia viongozi wa dini na wauliza tena ...Magufuli kaondoka na Mungu?

Wananchi tumechezewa sana....hawa viongozi wa serikali wawajibishwe kama kweli viongozi wetu mnatupenda wananchi wenu...
Walichokifanya hawa viongozi hakistahili msamaha hata kidogo.

Na viongozi wa dini Mungu hatowaacha kamwe mlituaminisha CORONA imekweshwa na sadaka za Shukrani kwa Mungu tukatoa na mkazipokea sadaka zetu.

"sasa najiuliza nani anawalinda hawa viongozi wa serikali waliopotosha taifa??" Na je walifanya upotoshaji huu kwa faida ya nani na kwa nini?...Je ni kwa Bahati mbaya au kwa makusudi..?
Ukiongea suala la kubadilika uwe mwangalifu!! Wote waliopo toka juu hadi chini wa dbadili kauli zao!! Niambie nani ameshikilia kauli yake aliyokuwa nayo akiwa kama mshirika na mshauri wa karibu kabisa wa serikali iliyopita?? Ndiyo maana nasema uwe mwangalifu vinginevyo unataka kuturudisha kwenye sanduku la kura!!!
 
Mzungu ni Mungu ? Kwa taarifa yako Sisi tulioshirikiana kuomba Mungu na Magufuli tukiomba bila barakoa Corona isotuguse Tanzania Kama ulaya na Marekani nk wakati maaskofu na mapadri ns wachungaji wengi walikuwa wanavaa barakoa Hadi madhabahuni au altareni wakiendesha ibada wakiiogopa Mungu asiwape Corona kwenye altare au madhabahuni hatutavaa barakoa Hadi Mungu ashuke tumuone akiwa Kavaa barakoa

..Magu alikuwa ktk ligi na wazungu.

..wazungu wangesema wanaomba MUNGU Magu angesema tuvae barakao.
 
Kikubwa ni kuwawajibisha ili wengine wapate kujifunza maana ya kupewa dhamana ya uongozi.
 
Binafsi naona tatizo la baadhi ya watu kugomea chanjo limesababishwa na serikali yenyewe na ( viongozi wa dini). Kwa kawaida kunapotokea upotoshwaji wowote kwa makusudi au kwa Bahati mbaya utakaofanywa na Kiongozi wa serikali. Kinachofata ni uwajibikaji. Kwa kuwajibishwa au yeye kujiwajibisha mwenyewe. Ni vigumu sana kwa MTU yoyote kukubali maelezo Juu ya chanjo yanayotolewa na watu walewale ambao mwanzo walitumia Nguvu kubwa kupinga uletaji wa chanjo na ubora wa chanjo hizo.

Viongozi hawa wangejiuzulu au kuondolewa na serikali kupisha sura Mpya na maelezo mapya Juu ya ukweli wa chanjo.
Bila kufanya hivyo hofu na Mashaka vitaendelea kuwepo ...lakini pia hawa viongozi hawana confidence ya kueleza hiki wanachotueleza sasa...sababu wanazikumbuka kauli zao
  • Walitumia Nguvu nyingi kutuaminisha na tukakubali na kutekeleza..mfano.
  • Nyungu - mpaka Mawaziri, wabunge wanaposti picha wakipiga Nyungu
  • Michanganyiko ya mapilipili, malimao na tangawizi ...tukapata mpaka na vidonda vya tumbo....
  • Ndege ikatumwa kwenda kuleta dawa ya CORONA,,( picha zikatumwa mitandaoni tena si kwa Bahati mbaya ,waziri anakunywa dawa ya CORONA) ....mpaka Leo kimya.
Bado mkapezipeleka lawama kwa waliokwenda nje kuchanjwa mkasema wametuletea CORONA ya Mpya.

UPANDE WA VIONGOZI WA DINI PIA KUNA TATIZO
Viongozi wa dini ...wakatuaminisha tumeomba na CORONA imekwishwa Tanzania. Leo nao wako kimya, wengine kauli zao zimebadilika, Kwani Mungu kabadilika si ni yuleyule kama alituponya CORONA ya kwanza sasa kwa nini tusimwombe tena Juu ya hii KORONA Mpya ...au Magufuli kaondoka na Mungu wake.

Tena viongozi wa dini wakampa Magufuli certificate ya ushindi, kwa kaishinda korona kwa kumtanguliza Mungu mbele. .Narudia viongozi wa dini na wauliza tena ...Magufuli kaondoka na Mungu?

Wananchi tumechezewa sana....hawa viongozi wa serikali wawajibishwe kama kweli viongozi wetu mnatupenda wananchi wenu...
Walichokifanya hawa viongozi hakistahili msamaha hata kidogo.

Na viongozi wa dini Mungu hatowaacha kamwe mlituaminisha CORONA imekweshwa na sadaka za Shukrani kwa Mungu tukatoa na mkazipokea sadaka zetu.

"sasa najiuliza nani anawalinda hawa viongozi wa serikali waliopotosha taifa??" Na je walifanya upotoshaji huu kwa faida ya nani na kwa nini?...Je ni kwa Bahati mbaya au kwa makusudi..?
Yaani hatari! Mi nilikuwa nabishana na watu hadi basi! Statistics ziliachwa kutolewa ndiyo maana ilikuwa rahisi kuamini corona imeisha! Watz sijui nani katuroga tena amekufa! Hatupimi tunachoambiwa!!!!
 
Back
Top Bottom