Tatizo sio Marais waliopita Wala wajao Bali ni Dola kulinda hisia za mtu badala ya vipaumbele vya Taifa

Tatizo sio Marais waliopita Wala wajao Bali ni Dola kulinda hisia za mtu badala ya vipaumbele vya Taifa

RESILIENT KATO

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2024
Posts
1,472
Reaction score
2,766
Tumekua tukikosoa Sana personality za viongozi Kila awamu,tukikemea ubadhirifu,rushwa na wizi wa Rasilimali zetu bila kujua tatizo kuu ni taasisi ya Dola ambayo inalinda utaifa,mipaka na vipaumbele vya taifa hili.

Kila kiongozi anaeingia anakua na vipaumbele binafsi badala ya vya taifa letu na Dola huapa kumlinda Kwa Kila namna hata kwenye makosa na hisia binafsi Dola humlinda huyo mtu!

IPO haja kiapo Cha uongozi kibadilike kisiwe tena kumlinda kwenye Kila kitu Bali kwenye maslahi mapana ya taifa!

Dola inapaswa kuapa kumlinda kiongozi kwenye utekelezaji wa vipaumbele vya taifa na sio kwenye Kila kitu hata hisia binafsi!

Lazima kiongozi aelezwe "Tutakulinda kwenye vipaumbeke vya taifa na sio kwenye mambo binafsi yaliyokinyume na vipaumbele vyetu kama taifa"

Maana yake akivunja Sheria au kutumia kiti chake vibaya atashughulikiwa kama mtu yeyote Baki kisheria na nafasi yake ataipoteza!

Ndio maana tunataka katiba mpya iainishe namna kiongozi atakavyolindwa katika kutekeleza majukumu ya kitaifa na vinginevyo!

Rais hapaswi kuamua matumizi ya pesa za umma kutibu hisia binafsi Bali aongozwe namna ya kutumia fedha hizo Kwa mstakabali wa ustawi wa taifa!!

Taasisi ya Dola na Sheria zinapaswa kuwa juu ya kiongozi na sio kiongozi kuwa mkubwa kuliko sheria!!

Tumakinike!
 
Kawaida Sana 😂
Kwamba!Hali ibaki hivi hivi!?Ili kulinda wakubwa!?wale conservative wa mfumo uliopo ndio wanatukwamisha kama Taifa ,"wanapaswa wakaushwe kimya kimya" kama Tumia akili alivyoandika kwenye operation imesitishwa the state wamesema apewe muda!
 
Kwamba!Hali ibaki hivi hivi!?Ili kulinda wakubwa!?wale conservative wa mfumo uliopo ndio wanatukwamisha kama Taifa ,"wanapaswa wakaushwe kimya kimya" kama Tumia akili alivyoandika kwenye operation imesitishwa the state wamesema apewe muda!
Gen Z ndio watarekebisha 😄😄
 
Nchi za kichoko hizi zilizojaa watu choko ndivyo zilivyo
Dola ndio inafanya compromise na hisia za mtu na kuzilinda badala ya ku check and balance awamu ya uongozi wa kiongozi husika!!

Wanatukosea sana hao jamaa,tusingefika tulipo !
 
Tumekua tukikosoa Sana personality za viongozi Kila awamu,tukikemea ubadhirifu,rushwa na wizi wa Rasilimali zetu bila kujua tatizo kuu ni taasisi ya Dola ambayo inalinda utaifa,mipaka na vipaumbele vya taifa hili.

Kila kiongozi anaeingia anakua na vipaumbele binafsi badala ya vya taifa letu na Dola huapa kumlinda Kwa Kila namna hata kwenye makosa na hisia binafsi Dola humlinda huyo mtu!

IPO haja kiapo Cha uongozi kibadilike kisiwe tena kumlinda kwenye Kila kitu Bali kwenye maslahi mapana ya taifa!

Dola inapaswa kuapa kumlinda kiongozi kwenye utekelezaji wa vipaumbele vya taifa na sio kwenye Kila kitu hata hisia binafsi!

Lazima kiongozi aelezwe "Tutakulinda kwenye vipaumbeke vya taifa na sio kwenye mambo binafsi yaliyokinyume na vipaumbele vyetu kama taifa"

Maana yake akivunja Sheria au kutumia kiti chake vibaya atashughulikiwa kama mtu yeyote Baki kisheria na nafasi yake ataipoteza!

Ndio maana tunataka katiba mpya iainishe namna kiongozi atakavyolindwa katika kutekeleza majukumu ya kitaifa na vinginevyo!

Rais hapaswi kuamua matumizi ya pesa za umma kutibu hisia binafsi Bali aongozwe namna ya kutumia fedha hizo Kwa mstakabali wa ustawi wa taifa!!

Taasisi ya Dola na Sheria zinapaswa kuwa juu ya kiongozi na sio kiongozi kuwa mkubwa kuliko sheria!!

Tumakinike!
Katka vitu,, au threat uliyowahi kuandika hii ndio no moja yako,, safi sana tunataka vijana wenye mawazo kama yako mkuu
 
Huku ni wapi
 

Attachments

  • 20240824_090709.jpg
    20240824_090709.jpg
    83.9 KB · Views: 2
Watu unao waonea huruma hawajionei huruma wenyewe.
Sio huruma Bali kama taifa tunautaratibu Gani wa maana kuhusu udhibiti wa viongozi Kwa mstakabali ujao wa taifa!!?

Hilo la huruma na hisia za mtu sio ishu,ishu ni dola nayo inahisia moyo.badala ya kanuni za kiuongozi!!?

Kama Dola nayo inahisia basi Tatizo ni kubwa!
 
Kwamba!Hali ibaki hivi hivi!?Ili kulinda wakubwa!?wale conservative wa mfumo uliopo ndio wanatukwamisha kama Taifa ,"wanapaswa wakaushwe kimya kimya" kama Tumia akili alivyoandika kwenye operation imesitishwa the state wamesema apewe muda!
Umesema jambo la msingi sana, na tatizo hili kutii kiongozi kwa kila kitu ndio kumepelekea viongozi kuwa miungu watu hasa cheo cha urais. Tatizo hili sioni likiisha iwapo kila kiongozi ataendelewa kuchaguliwa kwa utashi na kuwajibika kwa rais. Hakuna uwezekano wa viongozi kutii sheria na katiba, huku wanapata vyeo kwa hisani ya huyo rais.
 
Umesema jambo la msingi sana, na tatizo hili kutii kiongozi kwa kila kitu ndio kumepelekea viongozi kuwa miungu watu hasa cheo cha urais. Tatizo hili sioni likiisha iwapo kila kiongozi ataendelewa kuchaguliwa kwa utashi na kuwajibika kwa rais. Hakuna uwezekano wa viongozi kutii sheria na katiba, huku wanapata vyeo kwa hisani ya huyo rais.
Hili ni Tatizo kubwa sana!
Kama ujasusi wa Dola unashirikiana na mataifa mengine kama ya America wanashindwaje ku implement check and balance ya uhakika!!?

So sad!
 
Dola ndio inafanya compromise na hisia za mtu na kuzilinda badala ya ku check and balance awamu ya uongozi wa kiongozi husika!!

Wanatukosea sana hao jamaa,tusingefika tulipo !
Kwa katiba, hiyo dola itaendelea kufanya kazi kwa utashi na hisia za viongozi, vinginevyo watatolewa kwenye ulaji.
 
Tumekua tukikosoa Sana personality za viongozi Kila awamu,tukikemea ubadhirifu,rushwa na wizi wa Rasilimali zetu bila kujua tatizo kuu ni taasisi ya Dola ambayo inalinda utaifa,mipaka na vipaumbele vya taifa hili.

Kila kiongozi anaeingia anakua na vipaumbele binafsi badala ya vya taifa letu na Dola huapa kumlinda Kwa Kila namna hata kwenye makosa na hisia binafsi Dola humlinda huyo mtu!

IPO haja kiapo Cha uongozi kibadilike kisiwe tena kumlinda kwenye Kila kitu Bali kwenye maslahi mapana ya taifa!

Dola inapaswa kuapa kumlinda kiongozi kwenye utekelezaji wa vipaumbele vya taifa na sio kwenye Kila kitu hata hisia binafsi!

Lazima kiongozi aelezwe "Tutakulinda kwenye vipaumbeke vya taifa na sio kwenye mambo binafsi yaliyokinyume na vipaumbele vyetu kama taifa"

Maana yake akivunja Sheria au kutumia kiti chake vibaya atashughulikiwa kama mtu yeyote Baki kisheria na nafasi yake ataipoteza!

Ndio maana tunataka katiba mpya iainishe namna kiongozi atakavyolindwa katika kutekeleza majukumu ya kitaifa na vinginevyo!

Rais hapaswi kuamua matumizi ya pesa za umma kutibu hisia binafsi Bali aongozwe namna ya kutumia fedha hizo Kwa mstakabali wa ustawi wa taifa!!

Taasisi ya Dola na Sheria zinapaswa kuwa juu ya kiongozi na sio kiongozi kuwa mkubwa kuliko sheria!!

Tumakinike!
Uko sahihi sana.
Kama ulivyosema katika sehemu ya mwisho kwamba tusingefika huku ambako kiongozi aliyeko madarakani anafanya maamuzi binafsi kwa gharama ya mapana ya taifa huku taasisi zinazopaswa kulinda maslahi ya taifa zikiangalia.
Tatizo letu hili kama nchi linaanzia katika utendaji wa taasisi nyeti ambayo ndiyo inatakiwa kuwa kioo cha kiongozi wa nchi kujiangalia...,TISS. Kwa mfano,iko wazi kabisa kwamba tukiwa na katiba mpya,itamfunga kabisa kiongozi yeyote wa nchi kufanya maamuzi ya kumfurahisha kibinafsi kwa vile wanaohusika na kulinda sera na malengo ya taifa lazima watamshtua kwamba anatoka nje ya reli,..na endapo atalazimisha,taasisi nyingine zenye mamlaka kikatiba zitamfikisha mahakamani. Lakini katika miaka ya karibuni,na hata baada ya Jakaya kuanzisha mchakato wa katiba mpya, ilikuwa ni taasisi ya Idara ya usalama ndiyo iliyovuruga mchakato mzima baadaye kwa logic kwamba uwepo wa katiba mpya ungembana mtu ambaye walitaka awe kiongozi ajaye baada ya Jakaya..na aongoze kwa mtindo walioutaka.
Tunachotaka ni taasisi nyeti kufanya mambo makubwa kwa maslahi ya nchi...kwa sababu linapokuja suala la long term national policies and goals kamwe hatutakiwi kutegemea vyama vya siasa. Hivi vyama vikiingia au kutoka madarakani iwe ni kama formality tu..
Taifa kwanza....,siyo vyama au watu binafsi.
 
Tumekua tukikosoa Sana personality za viongozi Kila awamu,tukikemea ubadhirifu,rushwa na wizi wa Rasilimali zetu bila kujua tatizo kuu ni taasisi ya Dola ambayo inalinda utaifa,mipaka na vipaumbele vya taifa hili.

Kila kiongozi anaeingia anakua na vipaumbele binafsi badala ya vya taifa letu na Dola huapa kumlinda Kwa Kila namna hata kwenye makosa na hisia binafsi Dola humlinda huyo mtu!

IPO haja kiapo Cha uongozi kibadilike kisiwe tena kumlinda kwenye Kila kitu Bali kwenye maslahi mapana ya taifa!

Dola inapaswa kuapa kumlinda kiongozi kwenye utekelezaji wa vipaumbele vya taifa na sio kwenye Kila kitu hata hisia binafsi!

Lazima kiongozi aelezwe "Tutakulinda kwenye vipaumbeke vya taifa na sio kwenye mambo binafsi yaliyokinyume na vipaumbele vyetu kama taifa"

Maana yake akivunja Sheria au kutumia kiti chake vibaya atashughulikiwa kama mtu yeyote Baki kisheria na nafasi yake ataipoteza!

Ndio maana tunataka katiba mpya iainishe namna kiongozi atakavyolindwa katika kutekeleza majukumu ya kitaifa na vinginevyo!

Rais hapaswi kuamua matumizi ya pesa za umma kutibu hisia binafsi Bali aongozwe namna ya kutumia fedha hizo Kwa mstakabali wa ustawi wa taifa!!

Taasisi ya Dola na Sheria zinapaswa kuwa juu ya kiongozi na sio kiongozi kuwa mkubwa kuliko sheria!!

Tumakinike!
Changamoto kubwa ni wengi kutokujua tofauti ya dola na serikali.
Uongozi wa serikali ni dhamana ya muda maalum wakati vyombo vya dola ni vya kudumu.
Serikali ni kikundi cha watu tu wenye dhamana ya kuendesha uongozi wa dola kwa kipindi hicho na watumishi wengi siyo wa serikali ni wa dola (hasa wanaotoa huduma za kitaalam), tofauti na wale wanaoteuliwa kisiasa.
 
Back
Top Bottom