Tatizo sio mitaji tu, hata majina ya biashara ni changamoto sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Umefuata jina au huduma......
pengine kwao neno matako lina maana nzuri kuliko hiyo unayoifahamu wewe

Sawa na watu fulani wa kusini unguja, kwao neno tembo ni matusi ila upande mwengine ni mnyama
 
mbona Arusha kuna bar inaitwa matako bar mitaa ya mianzini hivi
 
Arusha kuna baa inaitwa matako bar na watu wanajaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ