Serunkuma alipotea mazima hapo Simba.Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimdfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".
Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Hasa john, wakuogopa sana yule.Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimdfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".
Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Makolo mnapenda uchawi sana. Mnasajili michezaji isiyoeleweka mkipigwa mnakimbilia ulozi why? Hip uchawi umeishawasaidia Nini? Mbona Yanga anawazidi kila kitu isipokuwa makombe ya Pombe? Kama huo Uchawi wenu ungekuwa na faida basi mngeishachukua klabu bingwa Africa.Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".
Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Kwa John Boko kubaki naamini kweli uchawi upo Simba.Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".
Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Yanga ina hazina kubwa sana ya wapumbavuMchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".
Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Usiwe na wasiwasi Mkude ameshaondoka misumari inaamia yangaMchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".
Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Kwa hiyo walioenda kule ni wachezaji sio??Mganga mpya kawaambia waende kilimanjaro, unadhani wamefata nini kama sio kinga..?[emoji23]
Tumia akili kaka, aliyekwambia kinga kutengenezewa ni mpaka wewe uwepo nani..?Kwa hiyo walioenda kule ni wachezaji sio??