Umenikera!Bado hawajaamua. Ila ni 50-50.
Pole sana.Umenikera!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo unamkubaliii chama? Aaaah sitakiii, ni wee umeandika au umeporwa cm? WoiiiiihNani mnyonge? Nina Chama na Pacome.
Sasa hata nikimkataa bado ni mchezaji wa Yanga.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo unamkubaliii chama? Aaaah sitakiii, ni wee umeandika au umeporwa cm? Woiiiiih
Mkuu pole, jitahidi kumsahau Guede maana ndo keshaenda hivyoπKama anabaki basi ni vyema ila kama anataka hiyo $20,000 kila mwezi wamuache aende cz hana maajabu ya kulipwa hela hiyo.
Msimu ujao sina shauku nao kwasababu Yanga wamemuonea Guede
Halafu hata hawaoni aibuWanafiki mbwa hawa!
Mjukuuuuuuuuu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo unamkubaliii chama? Aaaah sitakiii, ni wee umeandika au umeporwa cm? Woiiiiih
Kuhusu Chama, mie nimeumia sana tena mno, mbona nlikua nasema hapa, ila yeye ni mchezaji anaangalia wapi ulaji wake utakua na faida kwake.Mjukuuuuuuuuu!
Chama ndo nini bana? Aende tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870]
View attachment 3037733
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Nonsense.
Unatwaa vipi kombe kama hatuwezi mfunga ahly,mamelod,experence kwa team zetu bado sanaAziz kama amepata Dili nzuri inabidi tumwache aende kwakua hana mkataba, amefanya Makubwa Yanga Sasa akatengeneze fedha.
Kuondoka kwake haita athir kwa Ligi ya Ndani ila ni pengo kwenye mashindano ya kimataifa hasa malengo ya kucheza nusu/fainali au kutwaa Ndoo.
Nonsense.[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Mimi Aziza hersi mobeto,unyamani mtanipa TSH ngapi nije kusaini haraka?Nipeni Bilioni Saba ili nibakie hamtaki naenda kwa Madiba au kwa Farao na mkinikera zaidi nabakia hapa hapa kwa Tunasuka Upya Kikosi Kikali Sports Club ili muumie zaidi na Wao nitawaomba wanipe tu Milioni 800 kwani ni Timu niliyoipenda hata kabla hamjaniroga kwa Majini yenu na nikaja Kwenu Uchawi Makafara Makubwa Daima Football Club.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Nonsense.
Nonsense Nonsense Nonsense Nonsense.[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Huyu mama hua anawashwa sanaNipeni Bilioni Saba ili nibakie hamtaki naenda kwa Madiba au kwa Farao na mkinikera zaidi nabakia hapa hapa kwa Tunasuka Upya Kikosi Kikali Sports Club ili muumie zaidi na Wao nitawaomba wanipe tu Milioni 800 kwani ni Timu niliyoipenda hata kabla hamjaniroga kwa Majini yenu na nikaja Kwenu Uchawi Makafara Makubwa Daima Football Club.