joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kweli maisha yanabadilika mjiandae kuwa wavumilivu, kocha mpya wachezaji wapya so kama hamjajiandaa kwa uvumilivu na mkajifanya makocha mtatimu sana wachezaji na makocha wenu.Daah kweli maisha yanabadilika. Vyura leo mmekuwa watu wa kujipiga vifua na kutamba kwa kuwa na Chama ambaye juzi tu mlikuwa mnamuita konokono?
Tunawatizama ila baada ya mechi tano ndipo magalasa na wachezaji wazuri wataonekana.