Tatizo ujasiri wa jaji Warioba huonekana pale tu kwenye tawala zenye uhuru wa kujieleza

Tatizo ujasiri wa jaji Warioba huonekana pale tu kwenye tawala zenye uhuru wa kujieleza

Kwa hiyo unampangia Warioba ni muda gani aseme?

Busara maana yake ni pamoja na kujua ni wakati gani wa kusema.
Wanataka afikiri wanavyotaka wao, a.k.a kujizima data, yaani nayeye awe ana ahirisha kufikiri kizalendo
 
W
Sio angeweza alimkosoa sana tu. Watu huwa wana tabia ya kusahau

Mimi nadhani mtu kama warioba kwa umri alionao wala hata haihitaji kupambana nae. Ni kuacha aseme tu yale anayotaka basi
Wapi WARIOBA alithubutu kumkosoa Jiwe?
 
Wabongo wengi hamnazo,Leo mnajitia wajaanja kukokosoa mmesahau kabisa ule mkono wa chuma.
Uhuru wa kujieleza na demokrasia uko kwa chawa pekee.
Msijitoe akili kwa mambo yaliyo wazi.
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Ulitaka apigwe tena? 🤣🤣 Tena kichapo cha mbwa koko. Anapenda kuwaonea waswahili wa pwani 🤣🤣🤣. Anatumwa na mke wake yule mchaga🤣🤣
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Endeleeni kumtumia nyie chadema labda wanachama waliosajiliwa watapanda kidogo kuwa laki 5
 
Machawa wanaibuka kumjibu Jaji Joseph Sinde Warioba. Jibuni hoja.zake na bahati mbaya mzee warioba huwa ananyoosha maelezo.
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Warioba alipobana kimya JPM karudisha namba, Warioba alipopata uhuru wa kusema JK anadunda hadi leo. Kwa hiyo kuwa na amani SSH htakufa, ataishi.

Vv
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Jiwe alimwambia anawashwa labda humjui Warioba.
 
ni muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,

hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.

Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.

Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?

mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
Okkkk nimewaaelewa sasa idhu ni kipi hajawa waziri hahaa
 
That means anaangalia the right time, hiyo tu peke yake inaonyesha huyu mzee ni genius! Haropoki tu lazima apate wakati sahihi azumgumze na chawa wote wanafufuka makaburini kama huyu hapa
 
Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Watasema wengi wa aina yako, ila hakuna mtu wa kumjiu moja kwa Moja Joseph Sinde warioba, Pia nikukumbushe Ex-PM Warioba Ni ver special, Nyie nzi wa Kijani hamuwezi ona maana hakuna Mavi pale!
 
Watasema wengi wa aina yako, ila hakuna mtu wa kumjiu moja kwa Moja Joseph Sinde warioba, Pia nikukumbushe Ex-PM Warioba Ni ver special, Nyie nzi wa Kijani hamuwezi ona maana hakuna Mavi pale!
Ana u special yule muhuni tuh kama wahuni wengine,kinachomsumbua WARIOBA ni Njaa na kupenda Attention,uzee umekuja vibaya kwake.
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Mjahidina mna hali ngumu. Assad naye katimka.
 
Back
Top Bottom