Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kiongozi wa nchi anakuwa na wapambe wa kila namna. Hawa wanakuwa na jukumu la kumjuza mkuu wa nchi juu ya masuala muhimu ya taifa analoongoza .
Hata akina Nkwame Nkurumah walipotoshwa na baadae wakajikuta wanapinduliwa. Maana kiongozi akipotoshwa huwa hasimamii kweli na madhara yake hufanya maamuzi yasiyofaa.
Ni wazi kuwa ili kiongozi wa nchi atawale vizuri lazima apate washauri wazuri ambao watamchana ukweli. Huko nyuma viongozi walipinduliwa kwa mitutu na bastora lakini miaka hii ya ulimwengu wa kidigital mapinduzi hufanyika ndani ya mioyo ya wananchi na hapo wananchi humkataa mkuu wa nchi kwa kila namna.
Hata akina Nkwame Nkurumah walipotoshwa na baadae wakajikuta wanapinduliwa. Maana kiongozi akipotoshwa huwa hasimamii kweli na madhara yake hufanya maamuzi yasiyofaa.
Ni wazi kuwa ili kiongozi wa nchi atawale vizuri lazima apate washauri wazuri ambao watamchana ukweli. Huko nyuma viongozi walipinduliwa kwa mitutu na bastora lakini miaka hii ya ulimwengu wa kidigital mapinduzi hufanyika ndani ya mioyo ya wananchi na hapo wananchi humkataa mkuu wa nchi kwa kila namna.