Hili halina ubishi maana sasa imani ya wanyonge wanaonewa kila siku imerudi kwa kasi mpya kwa wanaCCM...
Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuwapa kura ya ndio CHADEMA ambao wanafanya kazi ya udalali wa siasa.
Kumbuka wapinzani watatumia hoja( matatizo) yanayoibuliwa na Makonda kuwaelimisha Watanzania kuwa CCM imeshindwa!! ogopa mtu anae Kaa kimiya wakati unapayuka!!Hili halina ubishi maana sasa imani ya wanyonge wanaonewa kila siku imerudi kwa kasi mpya kwa wanaCCM.
Kwa mantiki hii CCM itapata ushindi mkubwa mwaka 2025 kwa kila kada ya ugombea.
Pia hata WanaCHADEMA watampigia kura rais. Maana bil 2.7 za ruzuku anatafuna Mbowe na genge lake huku Makamanda wakipiga myayoo.
Wenye akili timamu, wajua kuwa kuwa, hao wote ambao wameshindwa kuwajibika. Ni makada wa CCM, hivyo wenye akili timamu wanaona ubovu wa CCM. wajinga ndio waichagua CCM!Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuwapa kura ya ndio CHADEMA ambao wanafanya kazi ya udalali wa siasa.
CCM mkuu!Kwani hao raia walitelekezwa na serikali ya CHADEMA ?! [emoji23]
Katatua kero ngapi kwani.Hili halina ubishi maana sasa imani ya wanyonge wanaonewa kila siku imerudi kwa kasi mpya kwa wanaCCM.
Kwa mantiki hii CCM itapata ushindi mkubwa mwaka 2025 kwa kila kada ya ugombea.
Pia hata WanaCHADEMA watampigia kura rais. Maana bil 2.7 za ruzuku anatafuna Mbowe na genge lake huku Makamanda wakipiga myayoo.
Yaani kuna nyuzi unasoma mpaka unajiuliza hao walioziandika kweli wana utimamu wa akili!!??Kwani hao raia walitelekezwa na serikali ya CHADEMA ?! [emoji23]
Shetani hajawahi kuwa rafiki yangu.Shujaa wa Africa hayati JPM alikukosea nini?
Ni kweli kabisa yaani natamani nitoke barabarani nipige mayoweeeee kuhusu umahiri wa Makonda. Hakika CCM tunajua kubadili upepo. Hii nafasi walikuwa nayo akina Mbowe. Cha kwanza baada ya kifo cha Dkt Magufuli walitakiwa na mtu wa strategy awaelekeze msimamo wao, walitakiwa baada ya kuona CCM wamemgeuka Dkt Magufuli wakiongozwa na Dkt Samia kwa kauli zake za kubeza na dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli walipaswa wao wamlilie, wafanye hata maombolezo ya miezi kadhaa, waende chato wajifanye kulia, then wangekuja na strategy ya Makonda ya kusikiliza wananchi na shida zao huku wakichangisha watu na kutumia wanasheria walipo kitaa wengi ambao hawana kazi kisimamia hizoHili halina ubishi maana sasa imani ya wanyonge wanaonewa kila siku imerudi kwa kasi mpya kwa wanaCCM.
Kwa mantiki hii CCM itapata ushindi mkubwa mwaka 2025 kwa kila kada ya ugombea.
Pia hata WanaCHADEMA watampigia kura rais. Maana bil 2.7 za ruzuku anatafuna Mbowe na genge lake huku Makamanda wakipiga myayoo.
Ni kweli kabisa yaani natamani nitoke barabarani nipige mayoweeeee kuhusu umahiri wa Makonda. Hakika CCM tunajua kubadili upepo. Hii nafasi walikuwa nayo akina Mbowe. Cha kwanza baada ya kifo cha Dkt Magufuli walitakiwa na mtu wa strategy awaelekeze msimamo wao, walitakiwa baada ya kuona CCM wamemgeuka Dkt Magufuli wakiongozwa na Dkt Samia kwa kauli zake za kubeza na dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli walipaswa wao wamlilie, wafanye hata maombolezo ya miezi kadhaa, waende chato wajifanye kulia, then wangekuja na strategy ya Makonda ya kusikiliza wananchi na shida zao huku wakichangisha watu na kutumia wanasheria walipo kitaa wengi ambao hawana kazi kisimamia hizo
Kesi etc. Ila sasa hahahaha vichwa maji eti yanamdhihaki Dkt Magufuli hahaha, Makonda keshaweza yote na Dkt Samia sasa keshasafishika ni msafi kabisa na hakuna anayekumbuka tena dhihaka zake zidi ya Dkt Magufuli pamoja na yeye kuwa awamu ya 5 chini ya bosi wake. Hakuna mtanzania anayekumbuka kuwa Makamba alihujumu TANESCO ili kumharibia Dkt Samia aonekane hajui kazi hahaha ila siasa acheni tu. Sisi ni Dkt Samia tu 2025.
Bado hujasema! Ccm haijawahi na haitawahi kutegemea sandukua kura kubaki madarakani kwani huo sio utamaduni wao! Usidanganye!Hili halina ubishi maana sasa imani ya wanyonge wanaonewa kila siku imerudi kwa kasi mpya kwa wanaCCM.
Kwa mantiki hii CCM itapata ushindi mkubwa mwaka 2025 kwa kila kada ya ugombea.
Pia hata WanaCHADEMA watampigia kura rais. Maana bil 2.7 za ruzuku anatafuna Mbowe na genge lake huku Makamanda wakipiga myayoo.