Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I can't breath
Kwenye utawala wa ovyooooMambo ya hovyo kabisa
Wameshafundishwa na kuelewa somo. Kiongozi wa juu unapofanya uhuni wa kufoji wazi wazi unafikiria wa chini yako watakukuheshimu au kuogopa? Hata mimi ningefanya hivyo hivyo. Nchi imeshakuwa vurugu mechi hii kila mtu anatakiwa atumie nafasi yake.
Wakati miaka ya jakaya alikuwa ana ajiri wote waliohitimu,tena bila kutuma maombi,INA maana wao waligoma kwendaAli Maulid Mtawatawa-1997
Beatrice Apolinary Lyimo -1999
Charles Nyagaya John -1995
Miaka 20+ iliyopita alikuwa wapi hadi mwaka huu ndio waajiriwe?
Daby watu tunapomlalamikia Rais sio kwamba huwa hatuna akili, tatizo nambari one nchi hii ni huyu top huyu, ametengeneza system fulani fulani hivi za mizngwe mizengwe na uongo uongo mwingi kiasi kwamba kila mtu ameshaadapt kufanya kazi kwa uongo, kuna system za hovyo zinaelekea kuwa culture nchii hii, mfano kupika data.Hapana sio GPA wala nini....kama haya majina nayoyaona mitandaoni yametoka kwa viongozi wa umma tena wa taasisi nyeti basi tunasafari ndefu...
Na Rais asipoliangalia hili nitakuwa na mashaka na anayokuwa anahubiri kila siku.
Penye ukweli tuseme....nimeona jina la mtu kurudiwa zaidi ya mara 100.
Mshahara hewaMkuu,
Unamacho na uko makini sana; ni kweli hilo jina limejirudia tena kila ukurasa mstari wa kwanza jina hilo ndio linaanza...
Kama kweli kakosea bhas hao sio Tamisemi ni UVCCM Kuna kitu wanafunika Kama sio Covid-19 bhas Kuna kitu kinataka kifunikwe.Huyo aliechapisha nae ni binaadam ana mapungufu yake hivo pengine amekosea tu
Umewahi kufanya kazi popote ndugu? Kwamba huko ofisini huwa mtu mmoja anajifungia ofisini kwake anaandika majina na kuyatoa mtandaoni? Yeye peke yake? Seriously!Ni kweli kuna kadudu mengi kwenye hizi ajira, lakini kwenye jina la huyo msela inaweza kuwa ni makosa ya kiuandishi. Kwenye excel huwa kuna ile ya ku-command heading ya kwenye table itoke kwenye kila page, sasa huyu mwandishi atakuwa alijichanganya badala ya kuhighlight ile line ya kwanza yenye vichwa vya habari aka-highlight kwenye line ya pili. Hayo ndiyo yaliyotokea kwenye hilo jina kujirudia! Wataalam wa excel watanisaidia!