Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Umewahi kufanya kazi popote ndugu? Kwamba huko ofisini huwa mtu mmoja anajifungia ofisini kwake anaandika majina na kuyatoa mtandaoni? Yeye peke yake? Seriously!
Niko kazini mpaka sasa hivi. Lakini hiyo ndiyo shida ya watu wa serikali wana uvivu wa kusoma documents. Wanapenda kusema tuma hivyo hivyo bwana imetosha.
 
Huyo aliechapisha nae ni binaadam ana mapungufu yake hivo pengine amekosea tu
Kwa hiyo boss hafanyi proof reading ya kile alichokichapa typist/ personal secretary wake? Kwa kitu mhimu kama hiki ni zaidi ya hatari. Typist anaweza chomeka orodha yake kama boss wake ni dhaifu kiasi hicho.

Dosari kama hizo zinatosha wahusika kuwekwa pembeni (kutumbuliwa) mara moja na uchunguzi zaidi wa kina kufanyika ukihusisha pia takukuru.
 
Bado najiuliza ni rushwa ,kujuana au maagizo.
Katika ajira zilizotoka jana za ualimu limetokea jina la Bint Halima Saidi Mohamed na amepangiwa kituo cha kazi mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa katika shule ya msingi Nandembo

Index namba yake inaonyesha P2537-0006/2019
Halima Saidi Mohamed

Swali tunalojiuliza inakuaje mtu aliyemaliza form four mwaka jana apate ajira mwaka huu ya ualimu tena shule ya msingi ambapo ...mafunzo yao huchukua miaka 2 ?

Je ni vigezo gani vilivyotumika binti huyu kupata ajira ?
Au ndo ile RUSHWA NI ADUI WA HAKI ILA NI RAFIKI WA DOLA.
20201128_195426.jpg
 
Kwan halima Mohammed ni mmoja tu Tanzania nzima
Wee nae kilaza kweli embu angalia index no yake ya form inaonyesha kamaliza shule mwaka 2019
Au mwenzetu hukufika hata form 4 ila kama umefika utaona mfano S.101.202.2017 huyu unajua kamaliza 2017 sasa mtoa mada anamaanisha index no ya huyo Halima inaishia na 2019 je alisoma chuo kwa miaka mi ngapi na kumaliza hiyo kozi iwe certificate au diploma
 
Bado najiuliza ni rushwa ,kujuana au maagizo.
Katika ajira zilizotoka jana za ualimu limetokea jina la Bint Halima Saidi Mohamed na amepangiwa kituo cha kazi mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa katika shule ya msingi Nandembo

Index namba yake inaonyesha P2537-0006/2019
Halima Saidi Mohamed

Swali tunalojiuliza inakuaje mtu aliyemaliza form four mwaka jana apate ajira mwaka huu ya ualimu tena shule ya msingi ambapo ...mafunzo yao huchukua miaka 2 ?

Je ni vigezo gani vilivyotumika binti huyu kupata ajira ?
Au ndo ile RUSHWA NI ADUI WA HAKI ILA NI RAFIKI WA DOLA.
atajiendeleza akiwa kazini mkuu acha wivu mtoto wa mkulima mwenzio katoboa
 
Hapo kuna mambo mawili ambapo mojawapo ni jawabu/sahihi

1. Inawezekana kumetokea erros/mistake kwenye uandishi wa index number.
2. Ni magumashi tu yametumika ili kumpatia ajira huyu binti.

Ila mpaka kufikia hatua hii nakubaliana na wote ambao wanadought kuhusu hizi ajira..
Maana kama wamekosea basi inaonesha dhahiri ni namna gani wizara husika(OR-TAMISEMI) imekosa umakini kwenye kazi zake hasa jambo muhimu kama hili LA kutengeneza maisha ya watu.

Kama hawajakosea, basi TAMISEMI Kuna madudu mengi sana tena wanafanya madudu yao bila kutumia akili, au walidhani watu sio wafuatiliaji kwa hivi vitu kana kwamba tutashindwa kuona..?
Sasa kuanzia leo wafahamu kuwa JF ndo sehemu pekee tunayopatikana Great thinkers hatushindwi kitu
 
Back
Top Bottom