Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Tazama baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza katika majina ya ajira za Ualimu yaliyotolewa. Jina la 'ABADALLAH LEONARD SHONDE lajirudia mara 196

Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.

Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.

Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?

MUNGU TUNUSURU


---

---

---


PIA SOMA:
= > TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020
Bwn. Bichwa Kubwa Jinga (BKJ) ameshazoea kughushi na kutumia nguvu kubwa kuficha Ukweli basi Sasa kila kitu ni forgery tuuuuuu....

Uchaguzi kaiba kura

Uraia wake kafoji

Kabila kafoji na Majina amefoji....

ndo maana haijulikani kama ni Msukuma ama Mhutu

Pumbavu kweli yan
 
Raisi pitia haya majina ya tamisemi yakugushiwa


Toa tamko hizo ajira zifutwe ni uhuni wa kiwango cha hali ya juu
Mwenyewe kaghushi matokeo ya Uchaguzi Mkuu unafikiri hili ataona ni tatizo kwake?

Jina lake ameghushi

Uraia kaghushi

Takwimu za Uchumi anaghushi

Sasa unatazamia Tamisemi Wafanye kitu tofauti na Madudu ya Bwana Bichwa Kubwa Jinga (BKJ)?
 
Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.

Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.

Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?

MUNGU TUNUSURU


---

---

---


PIA SOMA:
= > TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020
Hii pdf unayosambaza imechakachuliwa. Pakua original pdf toka kwa mamlaka husika . Hakuna jina lililojirudia mara 196. Japo hizoe errors nyingine zipo.
 
Hii pdf unayosambaza imechakachuliwa. Pakua original pdf toka kwa mamlaka husika . Hakuna jina lililojirudia mara 196. Japo hizoe errors nyingine zipo.
Hiyo ni pdf mpya wamepandisha leo,hiyo unayosema imechakachuliwa ndio iliyowekwa jana na page zilikuwa 196,ya leo page zimeongezwa hadi 197.
 
Hii pdf unayosambaza imechakachuliwa. Pakua original pdf toka kwa mamlaka husika . Hakuna jina lililojirudia mara 196. Japo hizoe errors nyingine zipo.
Baada ya kuwaumbua mmeupload nyingine
 
Huyu dogo kamaliza 2019 kapata matokeo ya hovyo kabisa, ila kapangiwa kufundisha secondary


Hivi nyie tamisemi mna nini huko


Huu uhuni jamni,

Hii Tanzania tunaenda wapi


Kwamba huko tamisemi kuna wafanyakazi vilaza namna hii hawawezi hata kuchambua mambo
IMG-20201129-WA0000.jpg
IMG-20201129-WA0001.jpg
 
Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.

Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.

Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?

MUNGU TUNUSURU


---

---

---


PIA SOMA:
= > TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020
Mkuuu nakushukuru sana kwa uchambuzii ulionyesha madudu katika
TAMISEMI

Mimi nishaapa sitokuja kuomba kazi za Serikaliii
Naipenda sana nchi yangu hiii ,Nanaujuzi wakutosha kuwahudumia mwananchi wenzanguu na kuwafikisha mahali flani lkn siitaki kujizalilisha.
Kumbukizi yangu ni nipale nilipojitosa kwenda kufanya usaili UTUMISHI KOZI NILIYOSOMA MIAKA MITATUU
nilichojibu nina uhakika ndicho nilichotokanacho darasani na mauzoefu kutoka kazini lkn Mark's nilizopata sijawai pata toka nimeanza shule kumbaruu
Sitokuja kujizalilisha na KUPOTEZA mada wangu bureee.
 
Ajira 13,000, tukiangalia listing yenu page 196 Ajira 7400 ndio zilizotoka ukihesabu ni majina 7840 na sio elfu 13 kama mnavyosema.
Kurasa moja ina majina 40 na kurasa zipo 196 na hapohapo lipo jina limejirudia mara 196 😀

ABADALLAH LEONARD SHONDE jina lake limetokea mara 196.
 
Atajiendeleza akiwa hukohuko kazini cha msingi apate ajira
 
Bado najiuliza ni rushwa ,kujuana au maagizo.
Katika ajira zilizotoka jana za ualimu limetokea jina la Bint Halima Saidi Mohamed na amepangiwa kituo cha kazi mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa katika shule ya msingi Nandembo

Index namba yake inaonyesha P2537-0006/2019
Halima Saidi Mohamed

Swali tunalojiuliza inakuaje mtu aliyemaliza form four mwaka jana apate ajira mwaka huu ya ualimu tena shule ya msingi ambapo ...mafunzo yao huchukua miaka 2 ?

Je ni vigezo gani vilivyotumika binti huyu kupata ajira ?
Au ndo ile RUSHWA NI ADUI WA HAKI ILA NI RAFIKI WA DOLA.
Asante sana kwa umakini na jicho lako, nawaasa wote tulipokee hili kwa namna njema kwa maana ni lenye afya kwetu sote kiunumuishi, be positive, think think vaa viatu vya mtoa hoja, he has a point mamlaka husika ziwajibike, serikali inahitaji umakini hivyo ni vema ikawa makini siku zote hii ni aibu ambayo sio ya lazima na iko ndani ya uwezo wa watendaji. We may equally get more out of this especially dhana ya upendeleo endapo mtajwa hapo Bi. Halima kama hana cheti cha ualimu na kama kanuni haziruhusu.
 
Huyu dada ukiangalia index namba yke unajua ni mtu alio risti huo mwaka 2019 inawezekana alimaliza kitambo akaendelea na chuo akawa ana risti
 
Bado najiuliza ni rushwa ,kujuana au maagizo.
Katika ajira zilizotoka jana za ualimu limetokea jina la Bint Halima Saidi Mohamed na amepangiwa kituo cha kazi mkoa wa Lindi wilaya ya Kilwa katika shule ya msingi Nandembo

Index namba yake inaonyesha P2537-0006/2019
Halima Saidi Mohamed

Swali tunalojiuliza inakuaje mtu aliyemaliza form four mwaka jana apate ajira mwaka huu ya ualimu tena shule ya msingi ambapo ...mafunzo yao huchukua miaka 2 ?

Je ni vigezo gani vilivyotumika binti huyu kupata ajira ?
Au ndo ile RUSHWA NI ADUI WA HAKI ILA NI RAFIKI WA DOLA.
Kaka wengine vipenyo waga wanarudi kusoma kuchunguza
 
Huyu dada ukiangalia index namba yke unajua ni mtu alio risti huo mwaka 2019 inawezekana alimaliza kitambo akaendelea na chuo akawa ana risti
Waambie Mkii, Kuna watu kinachowakera ni Jina Halima. Wala hawaangalii hiyo Index ni P au S na kuna kilaza mmoja akasema kabisa huyu kamaliza shule 2019! What a fooo-lish
Huyo Halima Index yake ni P...... kwa maaana kwamba ni PRIVATE CANDIDATE ambaye hakuwa kwenye mfumo wa Full tym darasani, yaweza kuwa shule alimaliza 2001 lkn katika Hustle za kuweka vyeti vyake vzuri akarudia mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2019. Hapo tatizo liko wapi? Tuache kuhukumu mapema kabla ya kujua uhalisia na kuwachafua wasiokuwa na hatia.
Over
 
Back
Top Bottom