Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Bwn. Bichwa Kubwa Jinga (BKJ) ameshazoea kughushi na kutumia nguvu kubwa kuficha Ukweli basi Sasa kila kitu ni forgery tuuuuuu....Kusema ukweli hizi ajira ni MAGUMASHI, hazina uhalisia wowote. Jina moja linajirudia mara nyngi na kituo ni kilekile.
Kuna wengine wamemaliza fom4 mwaka 2019 eti na wao wameajiriwa.
Swali: Kwanini hawajaandika vyuo walivyosomea? Kwanini hawajaweka serial number?
MUNGU TUNUSURU
---
---
---
PIA SOMA:
= > TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020
Uchaguzi kaiba kura
Uraia wake kafoji
Kabila kafoji na Majina amefoji....
ndo maana haijulikani kama ni Msukuma ama Mhutu
Pumbavu kweli yan