Tazama Baadhi Ya Picha: Kutawazwa kwa Mfalme Charles III

Tazama Baadhi Ya Picha: Kutawazwa kwa Mfalme Charles III

Gari la farasi ni dhahabu tupu......


Hiyo dhahabu ilitokea Ghana (Gold cost) na Geita kipindi cha ukoloni wao huku Afrika.

Walipora mali zetu kishenzi halafu leo wanazitumia "kusimikana" nazo kifahari katika tawala zao za anasa huku sisi tukikodolea macho na shida na umasikini wa kutupwa.

Hao wanayo reserve kubwa ya dhahabu kitu kinachoifanya Uingereza iwe ni miongoni mwa nchi tajiri duniani.
 
Meghan naona ana shida yule ka ndoa ya kwanza ilimshinda hata hii pia itamshinda hafu why wao tu ndio hulalamika kutendewa mabaya Ina maana wao ni malaika hawajawaudhi wengine. Maana kwenye familia kutofautiana hata kugombana ni kawaida mwisho wa siku watu hu reconcile
Umesoma kitabu cha Spare alichoandika Harry?
 
Dunia inakwenda kasi sana huwa ni swala la muda,miaka 100 iliyopita kama ungemuuliza MTU hivi unaona uwezekano wa haya
1.USA kuwa na Rais mwenye damu ya kiafrika
2.Familia ya kifalme kuja na kuwa na damu ya kiafrika.
3.Uingereza kuja kuwa na Waziri Mkuu Mhindi

Kila moja angesema ni ndoto Leo hii yote yametokea,bado kuwa na Papa mweusi.
 
Ila Wanawake inabidi tuwe na huruma wakati mwingine. Hivi unajisikiaje pale mwanaume ameishi na ndugu zake vizuri maisha yake yote Ila baada ya ujio wako mtu anajitenga na nduguze.
Inabidi tujifunze kuwa Kama daraja kuunganisha familia badala ya kuchochea magomvi.
Uko sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom