Tazama Baadhi Ya Picha: Kutawazwa kwa Mfalme Charles III

Gari la farasi ni dhahabu tupu......


Hiyo dhahabu ilitokea Ghana (Gold cost) na Geita kipindi cha ukoloni wao huku Afrika.

Walipora mali zetu kishenzi halafu leo wanazitumia "kusimikana" nazo kifahari katika tawala zao za anasa huku sisi tukikodolea macho na shida na umasikini wa kutupwa.

Hao wanayo reserve kubwa ya dhahabu kitu kinachoifanya Uingereza iwe ni miongoni mwa nchi tajiri duniani.
 
Umesoma kitabu cha Spare alichoandika Harry?
 
Dunia inakwenda kasi sana huwa ni swala la muda,miaka 100 iliyopita kama ungemuuliza MTU hivi unaona uwezekano wa haya
1.USA kuwa na Rais mwenye damu ya kiafrika
2.Familia ya kifalme kuja na kuwa na damu ya kiafrika.
3.Uingereza kuja kuwa na Waziri Mkuu Mhindi

Kila moja angesema ni ndoto Leo hii yote yametokea,bado kuwa na Papa mweusi.
 
Uko sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…