Kwani ni nani alisababisha haya yote ya Sukari unayoyaona leo?Hili la sukari nalo mpaka Rais alisemee kweli,,? Sukari tu
Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.
Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.
Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.
Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!
ShikamooFoleni ya kununua sukari inanikumbusha miaka ya 80 enzi za Nyerere. Home ndo kulikuwa na duka la kijiji.
Siku ya Ijumaa nikwenda sehemu moja hapa Tengeru ambayo inatoa huduma za vyakula, vinywaji na malazi lakini nilipoomba kupatiwa kahawa, niliambiwa hamna sukari kabisa. Nilishangaa kama sehemu kama ile inakosa sukari vipi kuhusu familia ya kawaida huko mtaani! Kweli tunakabiriwa na matatizo mengi, huko COVID19 mara huko sukari mara barakoa!Jana nimeenda sehemu asubuhi nataka chai naambiwa hakuna, kuuliza kwanini wanasema sukari hakuna madukani.
Wanawalazimisha wauzaji wa rejareja wauze kwa bei wanazotaka serikali (bei elekezi), wakati hao jamaa walinunua sukari yao kwa bei ya juu toka kwa wauzaji wa jumla, wauzaji wa rejareja walichoamua sasa ni kuificha sukari yao, hawaiuzi wasijepata hasara.
Ndio nikapata akili, naona siku hizi kama taifa tumeanza kurudi nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lita moja ya sali hii hii iliyochakachuliwa ni elfo 11 kwa Dar. Watanzania wangapi wanaiweza bei hio? Utatumia asali kukandia maandazi? Utatumia asali kutengenezea juisi za matunda?Tatizo la watanzania hawafuati maelezo ya viongozi wao mbona naibu waziri wa viwanda na biashara Stella Manyanya aliisema tutumie asali.
Sent using Jamii Forums mobile app
je,ukiificha kisha ikashuka bei inakuaje si ndo utakua umepata hasara mara 2Jana nimeenda sehemu asubuhi nataka chai naambiwa hakuna, kuuliza kwanini wanasema sukari hakuna madukani.
Wanawalazimisha wauzaji wa rejareja wauze kwa bei wanazotaka serikali (bei elekezi), wakati hao jamaa walinunua sukari yao kwa bei ya juu toka kwa wauzaji wa jumla, wauzaji wa rejareja walichoamua sasa ni kuificha sukari yao, hawaiuzi wasijepata hasara.
Ndio nikapata akili, naona siku hizi kama taifa tumeanza kurudi nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani KABLA ya Ramadhani Raia hawanywi chai?...Kuadimika kwa bidhaa muhimu kama sukari ni moja ya viashiria vya mgogoro wa uchumi. Mgogoro huu unajitokeza mara kwa mara kwenye serikali ya awamu ya tano.
Wasije kusingizia mwezi mtukufu ndo unasababisha uhaba wa sukari wakati hali hii haikuwahi kutokea awamu zilizotangulia na mwezi mtukufu ulikuwepo.
JF raha sana 🤣 🤣je,ukiificha kisha ikashuka bei inakuaje si ndo utakua umepata hasara mara 2
Utaambiwa ni sukari ya Magendo kuyoka nje ya nchi.Zanzibar kuna kiwanda kikubwa cha sukari sijui kwanini wasiruhusu iletwe huku bara....
Kiroba cha sukari kilikuwa kinauzwa elfu hamsimi na sita kama sikosei lakini sasa imepanda hadi kufikia elfu 96