Tazama foleni hii ya wanunuzi wa sukari Morogoro. Juzi Waziri Bashungwa kapitishiwa bajeti ya hovyo iliyoungwa mkono na wanaccm wote Bungeni

Tazama foleni hii ya wanunuzi wa sukari Morogoro. Juzi Waziri Bashungwa kapitishiwa bajeti ya hovyo iliyoungwa mkono na wanaccm wote Bungeni

Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.

Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.

Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.

Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!



Na kweli hapo ni kwa abood....yalivyo matumbafu yatachgua tena ccm
 
Jana nimeenda sehemu asubuhi nataka chai naambiwa hakuna, kuuliza kwanini wanasema sukari hakuna madukani.

Wanawalazimisha wauzaji wa rejareja wauze kwa bei wanazotaka serikali (bei elekezi), wakati hao jamaa walinunua sukari yao kwa bei ya juu toka kwa wauzaji wa jumla, wauzaji wa rejareja walichoamua sasa ni kuificha sukari yao, hawaiuzi wasijepata hasara.

Ndio nikapata akili, naona siku hizi kama taifa tumeanza kurudi nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ya Ijumaa nikwenda sehemu moja hapa Tengeru ambayo inatoa huduma za vyakula, vinywaji na malazi lakini nilipoomba kupatiwa kahawa, niliambiwa hamna sukari kabisa. Nilishangaa kama sehemu kama ile inakosa sukari vipi kuhusu familia ya kawaida huko mtaani! Kweli tunakabiriwa na matatizo mengi, huko COVID19 mara huko sukari mara barakoa!
 
Tatizo la watanzania hawafuati maelezo ya viongozi wao mbona naibu waziri wa viwanda na biashara Stella Manyanya aliisema tutumie asali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lita moja ya sali hii hii iliyochakachuliwa ni elfo 11 kwa Dar. Watanzania wangapi wanaiweza bei hio? Utatumia asali kukandia maandazi? Utatumia asali kutengenezea juisi za matunda?
 
Jana nimeenda sehemu asubuhi nataka chai naambiwa hakuna, kuuliza kwanini wanasema sukari hakuna madukani.

Wanawalazimisha wauzaji wa rejareja wauze kwa bei wanazotaka serikali (bei elekezi), wakati hao jamaa walinunua sukari yao kwa bei ya juu toka kwa wauzaji wa jumla, wauzaji wa rejareja walichoamua sasa ni kuificha sukari yao, hawaiuzi wasijepata hasara.

Ndio nikapata akili, naona siku hizi kama taifa tumeanza kurudi nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
je,ukiificha kisha ikashuka bei inakuaje si ndo utakua umepata hasara mara 2
 
kwani
Kuadimika kwa bidhaa muhimu kama sukari ni moja ya viashiria vya mgogoro wa uchumi. Mgogoro huu unajitokeza mara kwa mara kwenye serikali ya awamu ya tano.

Wasije kusingizia mwezi mtukufu ndo unasababisha uhaba wa sukari wakati hali hii haikuwahi kutokea awamu zilizotangulia na mwezi mtukufu ulikuwepo.
kwani KABLA ya Ramadhani Raia hawanywi chai?...
 
Eti ninyi wataalamu wa uchumi tuelezeni Hii hali ya sasa watu kupanga foleni kununua sukari ndio tumefikia kilele cha ile Tanzania ya viwanda au Donor country tuliyo ambiwa?

Eti anadai alipoingia yeye alikuta Sukari ikiuzwa bei juu akafanikiwa kuishusha hahahaa mlioko huko ktk foleni tujuzeni ukweli wa commedy hii ya kiongozi wa malaika au chaguo la mungu wa Madagascar.

Hello our fellow Kenyan's, are you still wanting leadership exchange with donor country? We will give you him, Libashitel, and Kabudege in advance. Just give us Uhuru inatosha.

Nipo huku Kisiwani Lubondo kama unaswali niulize.

Maendeleo hayanaga vyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya awamu ya tano ilishafeli kitambo kwenye bei elekezi labda wamefaulu kwenye nishat ya mafuta tu kwa kuwa kuna mamlaka ya kudhibit Ewura ambayo ipo kisheria na iliundwa na awamu zilizopita.Ubabe hausaidii Kama huwashirikish wadau.Niwakumbushen tu bei elekez zilizoiaibisha awamu hii ni bei za korosho,ufuta,pamba,kahawa,mbaazi na Sasa bei elekez ya sukari.Tangu awamu hii ianze sukar imekuwa tatixo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mahitaji ya sukari kwa mwaka yakoje?Uwezo wa ndani wa kuzalisha sukari ukoje?Kaisi gani tunahitaji kuagiza toka nje??Yaani maswali haya rahisi tu tunashindwa kuyasolve?? Hadi sukari kilo moja inauzwa 5k?Tena inapatikana kwa taabu kweli kweli wengine hadi wananunua kwa foleni

IMG_20200510_133050.jpg
 
Zanzibar kuna kiwanda kikubwa cha sukari sijui kwanini wasiruhusu iletwe huku bara....

Kiroba cha sukari kilikuwa kinauzwa elfu hamsimi na sita kama sikosei lakini sasa imepanda hadi kufikia elfu 96
Utaambiwa ni sukari ya Magendo kuyoka nje ya nchi.
Hadi muda huu Zanzibar bei ya sukari ni 1700 kwa kilo moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thank god its just sugar! Sukari mara nyingi inakuwa abused katika matumizi na kwa maana hiyo husababisha maradhi badala ya manufaa mwilini.
 
Hivi mahitaji ya sukari kwa mwaka yakoje?Uwezo wa ndani wa kuzalisha sukari ukoje?Kaisi gani tunahitaji kuagiza toka nje??Yaani maswali haya rahisi tu tunashindwa kuyasolve?? Hadi sukari kilo moja inauzwa 5k?Tena inapatikana kwa taabu kweli kweli wengine hadi wananunua kwa foleni

View attachment 1445773
IMG_20200510_133804.jpg
IMG_20200510_133050.jpg
IMG_20200510_133804.jpg
IMG_20200510_133050.jpg
 
Back
Top Bottom