Tazama hali ya Darasa la Shule ya Msingi Bushekya iliyopo Halmashauri ya Muleba

Tazama hali ya Darasa la Shule ya Msingi Bushekya iliyopo Halmashauri ya Muleba

Wakuu salaam kwenu,

Nimeiona hii video imenisikitisha kwakweli. Daah kuna watoto wanasoma kwenye mazingira mabaya sana. Tazama hiyo video chini inaonesha hali ya mazingira ya darasa mojawapo linalopatikana katika Shule ya Msingi Bushekya iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kata ya Mobunda. Hili ni jengo la Darasa la sita.

View attachment 1685121
Ni matumaini wahusika wataifanyia kazi...
 
Wakuu salaam kwenu,

Nimeiona hii video imenisikitisha kwakweli. Daah kuna watoto wanasoma kwenye mazingira mabaya sana. Tazama hiyo video chini inaonesha hali ya mazingira ya darasa mojawapo linalopatikana katika Shule ya Msingi Bushekya iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kata ya Mobunda. Hili ni jengo la Darasa la sita.

View attachment 1685121

Mkuu hii shule sikuna raia wamepita hapo kwanini wasijichange hata darasa moja tu itapendeza sana
 
giphy.gif
 
Hakuna mkaguzi wa majengo? kama wameamua kujenga shule ya udongo si bora na paa wangeweka la kienyeji.

Kama kuta zenyewe zinaliwa na mchwa, jumlisha siku mvua kubwa ikinyesha yenye upepo hizo paa za bati si ni swala muda tu kabla azijaangukia wanafunzi.

An accident waiting to happen, halafu wakitoka hapo watakwambia wanafanya uchunguzi.
 
Wakuu salaam kwenu,

Nimeiona hii video imenisikitisha kwakweli. Daah kuna watoto wanasoma kwenye mazingira mabaya sana. Tazama hiyo video chini inaonesha hali ya mazingira ya darasa mojawapo linalopatikana katika Shule ya Msingi Bushekya iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kata ya Mobunda. Hili ni jengo la Darasa la sita.

View attachment 1685121
Shule hiyo ni mojawapo tu kati ya shule lukuki za serikali zilizochakaa kupindukia.
Siku hizi watu hawako huru kupost picha za mazingira mabovu ya taasisi (Nakumbuka kilichompata Mwalimu aliyepost kwenye social networks madarasa mabovu wilayani Bahi-kwa ndugai).
 
Wakuu salaam kwenu,

Nimeiona hii video imenisikitisha kwakweli. Daah kuna watoto wanasoma kwenye mazingira mabaya sana. Tazama hiyo video chini inaonesha hali ya mazingira ya darasa mojawapo linalopatikana katika Shule ya Msingi Bushekya iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kata ya Mobunda. Hili ni jengo la Darasa la sita.

View attachment 1685121
Wapinzani mmetuchelewesha sana
 
Haya yote walichelewesha wapinzani naamini kwa sasa matatizo yote yataisha nchi nzima maana hatuna wapinzani tena walikua kikwazo cha mendeleyo
 
Wakuu salaam kwenu,

Nimeiona hii video imenisikitisha kwakweli. Daah kuna watoto wanasoma kwenye mazingira mabaya sana. Tazama hiyo video chini inaonesha hali ya mazingira ya darasa mojawapo linalopatikana katika Shule ya Msingi Bushekya iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kata ya Mobunda. Hili ni jengo la Darasa la sita.

View attachment 1685121
MITANO tena 🤣🤣🤣
 
Nimeiona hii video imenisikitisha kwakweli. Daah kuna watoto wanasoma kwenye mazingira mabaya sana. Tazama hiyo video chini inaonesha hali ya mazingira ya darasa mojawapo linalopatikana katika Shule ya Msingi Bushekya iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kata ya Mobunda. Hili ni jengo la Darasa la sita.


Una ujumbe wenye mashiko ila lugha bado ni tatizo
 
Mwenyekiti Serikali ya mtaa, Diwani yupo, Mbunge yupo, DED yupo, Mkuu wa Wilaya yupo, Afisa Tawala Wilaya yupo, Afisa Tawala Mkoa yupo, Mkuu wa Mkoa yupo !!! MITANO TENA
 
Back
Top Bottom