Tazama hali ya Darasa la Shule ya Msingi Bushekya iliyopo Halmashauri ya Muleba

Mbona shule z a hivyo TZ ni nyingi tu
 
Mitano tena, wapinzani tuliwachelewesha. Sasa wapo wenyewe CCM Mpya, shule zote zitakuwa za standard moja kufuatana, miongozo na matarajio ya wizara ya TAMISEMI iliyo chini ya Ofisi ya Rais kuwa shule ziwe bora kuliko stendi mpya za mabasi na masoko ya kisasa yaliyojengwa kila mkoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…