Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Eti maendeleo ya vitu! Tumbafu kabisa apige mbizi tu.
 
Wananchi. Wanashuka wanapita ila magari ndiyo hayapiti wananchi wanafurahia tu
 
Lissu avumilie mangapi.
1. Amepigwa bunduki hakuna hatua yoyote
2. Amenyimwa matibabu...
Kwa hiyo ahalalishe kisasi kwa wapiga kura, busara gani hiyo? Kuingia Chato pia aliagiza barabara kufungwa!

Kuna maisha baada ya uchaguzi. Atafute njia ya kusepa. Hapelekwi huko anakodai kuwapeleka viongozi wa Tume, atakubanwa hapa hapa.
 
Hii inanikumbusha kisa Cha Daudi na Goliath,na Kati ya Daudi na mfalme Sauli.
 
Tunasema wameumbuka huwezi ukashindana na mtu aliyekuzidi mawazo
 
Na hao watu wakiamua wawe Kama yeye unajua Nini kitatokea kwenye hayo Magari.Halafu eti huyu ndiye anaomba awe Rais, wakati vitu vidogo Kama hivi anashindwa kuonyesha uvumilivu wake na Busara zake.
Kwann kiwe kibovu kwa ajili yake
 
Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Yule aliyewakataza watendaji wa kivuko wasimpakie Lisu ili wamzuie ashindwe kwenda ukerewe wao walikuwa wanamkomoa nani
 
Nimesoma lakini hata sielewi, Magari ya Lisu ndio yameuia njia wengine wapite wapi?.
 

Unavuta ugoro wa mavi ya panya wewe! Kwa walidanganya kua kivuko ni kibovu tuanzie hapo kwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…