Anazidi kutengeneza chuki kwa watu.
Tusiendelee na ratiba zetu kisa mtu mmoja na interest zake?
Haiingii akilini.
Police au askari wakiamua kuvunja vioo vya magari na kuamua ku unlock hizo gari then wa park pembeni ili shughuli ziendelee kawaida utasikia poliCCM au askaliCCM.Kumbe wanayataka wenyewe.
Hii ni aibu kwa msafara unaoongozwa mwanasheria kublock public way[emoji615].
Nakiri kusema jeshi la polisi wanatakiwa kuwa na busara sana katika wakati huu. but wakiaamua kutumia sheria Lissu anaenda kukiponza chama cha chadema pakubwa sana na hata kufutwa kabisa.