Ryaro wa Ryaro1233
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 353
- 885
Ni ulize Swali Hivi Kivuko ni Cha CCM, serikali au mtu Binafsi. Kwa nini roho Mbaya CCM wanafanya. Hivi Mgemwacha akapanda Kivuko na kwenda kuonana na watanzania wenzake ndo mngepungukiwa nini. Ijulika Fujo za Nchi Hii Chanzo itakuwa CCM...Mungu anawaona CCM. Yaani Chuki, Visasi, uonevu na kila aina ya dhuruma ni CCM,,,Daaa!!!