Walisema kivuko ni kibovu
Unaandika lugha gani?huoni happy Kuna Rais wapo kwenye Magari na Magari hayawezi kutoka humo. Huyu ndiye anataka raia hao hapa wamchague.
Wafungue watakutana na wakili Lissu itakuwa tamu kesi hiyo.Ajamkomoa mtu wakiamua wanaifungulia CDM kesi ya madai for loss of income kwa kuzuia shughuli zao na swala liko wazi awawezi kataa.
Either meli mbovu au nzima Lissu hana uhalali wa kuzuia njia.
Hakuna shida hapo, kivuko kimetoka ukerwe na magari na mizigo nimefika Mwibara sasa kwakuwa Mwibara kinajulikana ni kibovu kishushe abiria kisha kirudi Ukerewe na mizigo yake kikashushe huko, hapa ni kwamba lengo la kuchukua mizigo na magari toka Ukerewe kwenda Mwibara limetimia ila kutotokana na kivuko kuwa na aleji na Mwibara kimeshindwa kushusha.Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)
Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.
Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.
Angalizo: Tundu Lissu aliambiwa kuwa kivuko ni kibovu na kwa leo kisingefanya kazi kabisa!
Swali, hapo nani kacheza kitoto?
View attachment 1599922
Awezi shinda kesi hiyo miaka 800 na mimi naombea wafanye ivyo waifungulie CDM kesi ya madai, halafu tuone umahiri wa Lissu.Wafungue watakutana na wakili Lissu itakuwa tamu kesi hiyo.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Traffic polisi bebeni hiyo migari breki down walipwe chao,Kivuko walipwe chaokwa Loss na watu binafsi waliokuwa blocked walipwe hasara yao ya kuwa blocked .Yasiachiwe hadi walipe na gharama ya kujaa nayo ipande hourly cost za ulinzi na ghalaHapo sasa anamkomoa nani zaidi yakuvuruga shughuli za wananchi tu.
Halafu hao halmashauri si waite tow trucks shida ipo wapi Lissu akirudi akute magari yake yamebebwa wayafuate ndani ya compound za halmashauri na fine juu za kupaki katikati ya njia; ukiamua unafunga na ofisi zenyewe mapema harudi kesho.
Heck wenye kivuko wakiamua wanamfungulia na kesi ya madai for loss of income of kwa kuzuia shughuli zao.
Vitu vingine ni upuuzi tu, jamaa zero kweli.
Kabisa sio kucheka kucheka nae kila siku.Traffic polisi bebeni hiyo migari breki down walipwe chao,Kivuko walipwe chaokwa Loss na watu binafsi waliokuwa blocked walipwe hasara yao ya kuwa blocked .Yasiachiwe hadi walipe na gharama ya kujaa nayo ipande hourly cost za ulinzi na ghala
HE IS NOT READY TO BE COMMANDER IN CHIEF......imagine Kuna mama anatakiwa kujifungua na kazuiliwa njia kwenda kujifungua Salama VIP kama Kuna wagonjwa Humo au Wazeee wenye umri mkubwa au watoto Wsiostahili Upumbavuu Huu dah HE IS SO SELFISH nimesikitika sana HAPO UNAMKOMOA MAGUFULI AU WANANCHIKwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)
Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.
Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.
Angalizo: Tundu Lissu aliambiwa kuwa kivuko ni kibovu na kwa leo kisingefanya kazi kabisa!
Swali, hapo nani kacheza kitoto?
View attachment 1599922
Hayo ni maendeleo ya vitu..miradi mingi ya ujenzi hapa Tz inafanyika kwa kulipua-lipua.
..kwanini hilo eneo la gati haliruhusu magari kupitishana?
..kwanini hakuna eneo la maegesho ya magari?
Kwanini Lisdu afunge njia?? Haoni kuwa anawakwamisha watu! Inawezekana kweli kivuko kilikuwa kibovu lakini kimetengamaa baada ya kutengenezwa
Wameshakwambia kuwa kivuko ni kibovu, kwa hiyo hata kama asingeweka migari yake hicho kivuko kisingesaidia mwananchi yoyote,HE IS NOT READY TO BE COMMANDER IN CHIEF......imagine Kuna mama anatakiwa kujifungua na kazuiliwa njia kwenda kujifungua Salama VIP kama Kuna wagonjwa Humo au Wazeee wenye umri mkubwa au watoto Wsiostahili Upumbavuu Huu dah HE IS SO SELFISH nimesikitika sana HAPO UNAMKOMOA MAGUFULI AU WANANCHI
Wee. Kichaaa si mlisema kuvuko kibovu hakifanyi Kaz Sasa kelele za niniHapo sasa anamkomoa nani zaidi yakuvuruga shughuli za wananchi tu.
Halafu hao halmashauri si waite tow trucks shida ipo wapi Lissu akirudi akute magari yake yamebebwa wayafuate ndani ya compound za halmashauri na fine juu za kupaki katikati ya njia; ukiamua unafunga na ofisi zenyewe mapema harudi kesho.
Heck wenye kivuko wakiamua wanamfungulia na kesi ya madai for loss of income of kwa kuzuia shughuli zao.
Vitu vingine ni upuuzi tu, jamaa zero kweli.
Okay Let's Wait and Sees kila Msilalamike kwa Sheria za Barbara zitakapochukua mkondo walipiweka magari sio parking Kivuko kiwe kizima ua Kibovu huna mamlaka ya kuzuia njiaaWameshakwambia kuwa kivuko ni kibovu, kwa hiyo hata kama asingeweka migari yake hicho kivuko umeshaambiwa ni kibovu,
sasa kivuko kibovu kitawezaje kuwabeba wajawazito?
Kesi ndio tishioAjamkomoa mtu wakiamua wanaifungulia CDM kesi ya madai for loss of income kwa kuzuia shughuli zao na swala liko wazi awawezi kataa.
Either meli mbovu au nzima Lissu hana uhalali wa kuzuia njia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kimetengamaa baada ya lissu kuondoka? Acha ujingaKwanini Lisdu afunge njia?? Haoni kuwa anawakwamisha watu! Inawezekana kweli kivuko kilikuwa kibovu lakini kimetengamaa baada ya kutengenezwa
That is still a public space isitoshe yeye sio sehemu ya management kujua muda ambao kivuko kitaanza kazi na wala hakuna sheria inayokataza kumnyima mtu services ata kivuko kingekuwa kizima.Wee. Kichaaa si mlisema kuvuko kibovu hakifanyi Kaz Sasa kelele za nini
Hapana ni sehemu ya kudai fidia kwa hasara aliyoiletea kampuni kwa maamuzi yake ya kipuuzi.Kesi ndio tishio
Hakuna kumkomoa mtu ila wahusika wanapewa somo kuwa ujinga hauna faidaHE IS NOT READY TO BE COMMANDER IN CHIEF......imagine Kuna mama anatakiwa kujifungua na kazuiliwa njia kwenda kujifungua Salama VIP kama Kuna wagonjwa Humo au Wazeee wenye umri mkubwa au watoto Wsiostahili Upumbavuu Huu dah HE IS SO SELFISH nimesikitika sana HAPO UNAMKOMOA MAGUFULI AU WANANCHI